kalooo
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 270
- 154
Maisha ni hatua iliyojaa Mafumbo Mazito na yenye ukweli wa kuweza Kuaminiwa Badae.
Yapo Makanisa Mengi ila Kanisa Katoliki duh huwezi Ukalikimbia popote,Utajishebedua tu kumbe wew ni Mkatoliki mzuri tu kuliko Hata hao wa kipaimara.
Kanisa hili Lina jina kuu la Mama la Makanisa,halijazuka tu hivi, Ni Kanisa la Yesu na Ni Kanisa la Mungu, Dhana hii wengi hatuijui kwa Kufikiri kupondwa Pondwa Kama lenyewe linavyowapondaponda wanafunzi wao na Makanisa kuwa Ndo lenye namba 666 hii dhana ipuuzwe na Ni ya Uongo, Kanisa zima haliwezi kuwa na kukoswa kuelewa dhana ya namba 666 Ni wachache tu Hata wanaoweza kuelewa hizo 6 zipo tatu Kama ilivyo utatu mtakatifu yaani Mungu Mwana na Roho Mtakatifu.
Mungu yupo hai, Mwana Yupo hai na Roho takatifu Ndo Ile tuisubiliayo Kama tunavyosubili hizo ole tulizoahidiwa ambapo Leo ipo moja,Bado ya pili na ya tatu.
Niko bado mle mle Kwenye Mataifa teule, Kumbe Misri,Israel na Mbongo akitulia naye Ni Taifa Teule sema anashobo tu, Basi kila Taifa limepewa Ngazi zake, Misri ya Kale ya Musa Zilikuwepo 12,Kwenu Ni chache Saba au nane Kama kila Ilivyo awamu na Zama zake,Awamu hii Ni ya 6 Kwenye Taifa litegemealo kuelea angani ama siyo juu ya Mlima kirimanjaro ili kila Mtu apate kufanya marejeo,au Maungamo kwa Mungu.
Basi leo kwetu Kuna TEC nao Wapo vizuri tu Chini ya Katoliki,Unaweza ukawatupia Lawama Kubwa lakini Wako Strong kuliko Unavyofikri.Huo ustrong usifikri bure tu Bali Hata kuyajua yajayo, Hata sisi tunaojishebedua tumeokoka bado Ni dhana tu Kama hatujawajua Hawa Katoliki.
The same Mtu akimbie afu akakae kule mwisho wa siku akutwe na aulizwe ivi Wewe ulifikri umenikimbia,Au useme Mimi Ni mtakatifu Hadi Zama zote bila Wao huwezi Hata kwa Punje au wingi wa Mali zako za rohoni uwakimbie.
Yesu huwakuta Wao kila ajapo Huyo Thomas wa kila Mda na Akishinda kwa kile kiinukacho na kuijaza mbingu kwa Moshi wake baada ya Saba ugawe kwa mbili hizo siku Basi kwa idhini ya Mungu Wao humuita Hilo jina la Yesu kwa kielelezo Cha kuwa Cheo kikuu kwa Mungu Katika waja aliowanemesha na Mambo ya Mbinguni.
Dhana ya Kanisa,Elimu,Afya,Huduma ya Jamii,Na kumtangaza vema Mungu na familia takatifu ya Yesu Hawa wako vizuri.
Hata zile Fumbo za Daudi na malaika huvishinda Vita vipenzi vyao kwa Elimu ya Kuimba nyimbo hao Mama zao wamchao Mungu kwelikweli.
Mzee wangu anasimulia kuwa aliokotwa na mapadri wazungu wakamlea Huku wakimfundisha elimu ya Mungu,Mda huo kaja kusimuliwa alikuwa na miaka mitano na hajui pa kwenda wazazi wake walifariki wakamuacha mdogo na hajui na miaka ya zamani familia zilikuwa Mbali Mbali Sana Hivyo alikutwa manusura kufa.Sasa umeokoka Sawa Hata usijue fadhila ya Hawa Jamaa? Duh huenda si mcha Mungu.Ila kiukweli Hawa ukifikiria mchango Wao Kwenye Afya,Elimu na Uchaji wa Mungu lazima Kanisa Hili uliombee kwa Mungu,Huliombei kwa kuwa Kuna Kitu limekufanyia Hapana ila dunia inahitaji Amani na utulivu ili kuzipata huduma za Jamii.Sasa utawakimbiaje Hawa?
Wapo watakaosema sisi tunaongozwa na Roho Mtakatifu,Nao wako Sawa ila Si Katika Mtazamo mkubwa wa mapana na marefu,Utaanguka kwaa puuuu,ukiangali hatua ndefu hutaweza kusimama bila Wao.
Uhuru Kwa Nyerere Na alimopita Kwa Aristide Maranta mpaka tunakuja Kuupata hela ya Nauli na utambuzi wa Nini Uhuru Sasa Ni wao Wenyewe,utakuwa na Mimi kuwa Hata Nyerere Alipewa Sh.600 Mda huo aende UNO kudai Uhuru,Huku Kwa Elimu nzuri ya Mabadiliko ya Tanganyika ijitawale lilianza kuacess lenyewe hili Kanisa .Ivi Wewe utalikimbiaje.
Mimi Mwenyewe Nimeziona mbingu sita ya Kwanza mpaka ya 6 lakini nimekubali na wote tunasadiki kwalo maana TEC ipo na Bakwata Leo ipo.
Lakini Katika Uislamu Hata Mtume Mohamed alikuwa Safarini Lakini waliomtambua Huyu ndiye Msaidizi Ni Katoliki,wakoKatika kusimamia Ustawi wa Mbingu hizi Katika utimilifu wa Saba za nguvu kwa Watu wa Nchi ya Saba wasubiliao Taa iliyopitia tabu nyingi isimamishwe juu Kama vile Mwenge uwekwavyo Mlima Kilimanjaro uyamulikie Mataifa kwa Haki,Kweli,Upendo na Moyo wa Kiasi ili mataifa yakapate Amani Katika Ustawi wa Jamii moja,Mungu mmoja na Zama moja Katika Matoleo ya kila Kizazi.
Katoliki ivi ukoje Wewe,Huenda tukawajue na upeo Kidogo ila ukweli unao we we, kwa kuashilia Ushindi kwa mataifa Mengine hasa ya Milango 12 ambapo Milango Miwili ya mwisho ikiambatana na Ishara nzuri ya Mashuhuri ya mzee aliyeishi miaka 2025 Katika kufufuka akiwa Kitoto kichanga Huko itakiwako Tumaini Hili la Milele na Milenia tena.
Watu wake Watapata Ishara ya Kumlaki Huyu mtoto Kama isemavyo Isaya7 itakayokuweko baada ya utimilifu wa Isaya53 , Kaa Thelasini na tatu ya ukamilisho Katika Utukufu wa Tumbo lililomzaa kwa idhini ya Mungu ushirika wa Roho Mtakatifu kwa Mfalme wa Isaya8 akikuombea Maombezi Mema.
Ni Kweli kikuu kinatikiswa tu kwa Mda Ila hurudi Katika mshindo Mkuu,Na Happ ndipo Najua Petro alikuwa mwamba,Kwa Imani huwezi kusema Yesu alisema Juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa Langu Wewe uone Kama Kawaida yaani ile poa tu,Siyo poa Aise Ni High High ,walakini ukweli Katoliki Luka urukavyo utawakuta wap kila Kanisa na dini.Sehemu muhimu ya kujipima unguli wako lifanye Kanisa Hili ulitikise duniani,Hakika Ni Masihi tu Ndo aliyerudisha heshima hii Yake Kama lenyewe lilivyomtambulisha.
Yapo Makanisa Mengi ila Kanisa Katoliki duh huwezi Ukalikimbia popote,Utajishebedua tu kumbe wew ni Mkatoliki mzuri tu kuliko Hata hao wa kipaimara.
Kanisa hili Lina jina kuu la Mama la Makanisa,halijazuka tu hivi, Ni Kanisa la Yesu na Ni Kanisa la Mungu, Dhana hii wengi hatuijui kwa Kufikiri kupondwa Pondwa Kama lenyewe linavyowapondaponda wanafunzi wao na Makanisa kuwa Ndo lenye namba 666 hii dhana ipuuzwe na Ni ya Uongo, Kanisa zima haliwezi kuwa na kukoswa kuelewa dhana ya namba 666 Ni wachache tu Hata wanaoweza kuelewa hizo 6 zipo tatu Kama ilivyo utatu mtakatifu yaani Mungu Mwana na Roho Mtakatifu.
Mungu yupo hai, Mwana Yupo hai na Roho takatifu Ndo Ile tuisubiliayo Kama tunavyosubili hizo ole tulizoahidiwa ambapo Leo ipo moja,Bado ya pili na ya tatu.
Niko bado mle mle Kwenye Mataifa teule, Kumbe Misri,Israel na Mbongo akitulia naye Ni Taifa Teule sema anashobo tu, Basi kila Taifa limepewa Ngazi zake, Misri ya Kale ya Musa Zilikuwepo 12,Kwenu Ni chache Saba au nane Kama kila Ilivyo awamu na Zama zake,Awamu hii Ni ya 6 Kwenye Taifa litegemealo kuelea angani ama siyo juu ya Mlima kirimanjaro ili kila Mtu apate kufanya marejeo,au Maungamo kwa Mungu.
Basi leo kwetu Kuna TEC nao Wapo vizuri tu Chini ya Katoliki,Unaweza ukawatupia Lawama Kubwa lakini Wako Strong kuliko Unavyofikri.Huo ustrong usifikri bure tu Bali Hata kuyajua yajayo, Hata sisi tunaojishebedua tumeokoka bado Ni dhana tu Kama hatujawajua Hawa Katoliki.
The same Mtu akimbie afu akakae kule mwisho wa siku akutwe na aulizwe ivi Wewe ulifikri umenikimbia,Au useme Mimi Ni mtakatifu Hadi Zama zote bila Wao huwezi Hata kwa Punje au wingi wa Mali zako za rohoni uwakimbie.
Yesu huwakuta Wao kila ajapo Huyo Thomas wa kila Mda na Akishinda kwa kile kiinukacho na kuijaza mbingu kwa Moshi wake baada ya Saba ugawe kwa mbili hizo siku Basi kwa idhini ya Mungu Wao humuita Hilo jina la Yesu kwa kielelezo Cha kuwa Cheo kikuu kwa Mungu Katika waja aliowanemesha na Mambo ya Mbinguni.
Dhana ya Kanisa,Elimu,Afya,Huduma ya Jamii,Na kumtangaza vema Mungu na familia takatifu ya Yesu Hawa wako vizuri.
Hata zile Fumbo za Daudi na malaika huvishinda Vita vipenzi vyao kwa Elimu ya Kuimba nyimbo hao Mama zao wamchao Mungu kwelikweli.
Mzee wangu anasimulia kuwa aliokotwa na mapadri wazungu wakamlea Huku wakimfundisha elimu ya Mungu,Mda huo kaja kusimuliwa alikuwa na miaka mitano na hajui pa kwenda wazazi wake walifariki wakamuacha mdogo na hajui na miaka ya zamani familia zilikuwa Mbali Mbali Sana Hivyo alikutwa manusura kufa.Sasa umeokoka Sawa Hata usijue fadhila ya Hawa Jamaa? Duh huenda si mcha Mungu.Ila kiukweli Hawa ukifikiria mchango Wao Kwenye Afya,Elimu na Uchaji wa Mungu lazima Kanisa Hili uliombee kwa Mungu,Huliombei kwa kuwa Kuna Kitu limekufanyia Hapana ila dunia inahitaji Amani na utulivu ili kuzipata huduma za Jamii.Sasa utawakimbiaje Hawa?
Wapo watakaosema sisi tunaongozwa na Roho Mtakatifu,Nao wako Sawa ila Si Katika Mtazamo mkubwa wa mapana na marefu,Utaanguka kwaa puuuu,ukiangali hatua ndefu hutaweza kusimama bila Wao.
Uhuru Kwa Nyerere Na alimopita Kwa Aristide Maranta mpaka tunakuja Kuupata hela ya Nauli na utambuzi wa Nini Uhuru Sasa Ni wao Wenyewe,utakuwa na Mimi kuwa Hata Nyerere Alipewa Sh.600 Mda huo aende UNO kudai Uhuru,Huku Kwa Elimu nzuri ya Mabadiliko ya Tanganyika ijitawale lilianza kuacess lenyewe hili Kanisa .Ivi Wewe utalikimbiaje.
Mimi Mwenyewe Nimeziona mbingu sita ya Kwanza mpaka ya 6 lakini nimekubali na wote tunasadiki kwalo maana TEC ipo na Bakwata Leo ipo.
Lakini Katika Uislamu Hata Mtume Mohamed alikuwa Safarini Lakini waliomtambua Huyu ndiye Msaidizi Ni Katoliki,wakoKatika kusimamia Ustawi wa Mbingu hizi Katika utimilifu wa Saba za nguvu kwa Watu wa Nchi ya Saba wasubiliao Taa iliyopitia tabu nyingi isimamishwe juu Kama vile Mwenge uwekwavyo Mlima Kilimanjaro uyamulikie Mataifa kwa Haki,Kweli,Upendo na Moyo wa Kiasi ili mataifa yakapate Amani Katika Ustawi wa Jamii moja,Mungu mmoja na Zama moja Katika Matoleo ya kila Kizazi.
Katoliki ivi ukoje Wewe,Huenda tukawajue na upeo Kidogo ila ukweli unao we we, kwa kuashilia Ushindi kwa mataifa Mengine hasa ya Milango 12 ambapo Milango Miwili ya mwisho ikiambatana na Ishara nzuri ya Mashuhuri ya mzee aliyeishi miaka 2025 Katika kufufuka akiwa Kitoto kichanga Huko itakiwako Tumaini Hili la Milele na Milenia tena.
Watu wake Watapata Ishara ya Kumlaki Huyu mtoto Kama isemavyo Isaya7 itakayokuweko baada ya utimilifu wa Isaya53 , Kaa Thelasini na tatu ya ukamilisho Katika Utukufu wa Tumbo lililomzaa kwa idhini ya Mungu ushirika wa Roho Mtakatifu kwa Mfalme wa Isaya8 akikuombea Maombezi Mema.
Ni Kweli kikuu kinatikiswa tu kwa Mda Ila hurudi Katika mshindo Mkuu,Na Happ ndipo Najua Petro alikuwa mwamba,Kwa Imani huwezi kusema Yesu alisema Juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa Langu Wewe uone Kama Kawaida yaani ile poa tu,Siyo poa Aise Ni High High ,walakini ukweli Katoliki Luka urukavyo utawakuta wap kila Kanisa na dini.Sehemu muhimu ya kujipima unguli wako lifanye Kanisa Hili ulitikise duniani,Hakika Ni Masihi tu Ndo aliyerudisha heshima hii Yake Kama lenyewe lilivyomtambulisha.