Nguvu ya Uongo Inautafunaga Ukweli?

kalooo

JF-Expert Member
Jun 14, 2016
270
154
Je Ukweli Ni nini? Utengamano baina ya uthibitisho na uhalisia?hayakuwa mafunuo ila kufunika mpaka juu.

Au Ni wingi wa ushahidi wa Wengi zidi ya Jambo?

Au Kusema Jambo lisivyo kwa namna Jambo lilivyokuwa?

Je ukweli ukichanganywa na uongo hubaki ukweli?

Nataka kujua mamah!

Hapa Tulipo baadhi ya makundi,Kwa mfano katika Jamii kunaweza kupendwa kufanyia kazi umbeya,uongo na hata masuala ambayo hainijuzu niseme.

Na watu wengi wameathiriwa na mambo Hayo imefikia hatua mbaya zaidi ya kupambanua ukweli Ni upi na uongo Ni upi katika Jamii fulani?

Na mtu mmoja unakuta hawezi kuamini kuwa Ugonjwa hupimwa na Daktari na si kila mtu anaweza Kusema una Ugonjwa fulani na Nini sababu na hatima ya yote.

Mishipa na ubongo imethoroteshwa kwa majungu na uvumi,

Mjadala wa Jambo kwa Tafakuri ya Kina na mwelekeo sawia Nikakoswa katika makundi.

Nikaona mfano huu, chini ya kitanda Kuna Uvungu na ndani ya mtungi Imo kata,Ukweli wa kitanda anaujua kunguni.

Na Kama ndivyo kunguni ataskilizwa mbele ya watu na damu yake.

Nalo likanipasua kifua Nikaona mtu asiye na wake naye akaitwa mwendawazimu kwa kuficha aibu ya mamlaka mbele ya madaraka.

Nikapata majibu ya Umma,Wengi ukweli wanaufahamu ila wanaogopa kusema wasije kuchukiwa na watu.


Madaraka Nayo nikaona niyaulize,Wewe madaraka ulitoka wapi juu ya Hali hii, Mbona unatumika vibaya? Kuna vitu unavifanya vimevumilika kwetu hata usipotangaza twaona swa tu.

Madaraka akasema hapa nilipo Ni Jamii Check, Wewe Chek kwanza utaelewa mwishoni.

Na mwishoni Ni wapi?madaraka aliyeyameza mamlaka,Akajibu Ulipo Tupo.

Ndipo nikaona,Huwezi Kusema Uongo Kama huujui ukweli.

Maana uongo Ni kupindisha ukweli,Nikasikitika na wana wa watu waongozwao kujua yajao.

Hawapati Kusema ili Mungu atukuzwe juu ya kazi yake?

Na atakaposema,mfano Leo hawatamchukia Kwa ukamili na utimilifu Kama mwanzo alivyosema wa majuma ya Siku msitatili,hayo Saba hasa katika machimbuko ya bahari na nchi?

Je hekima haitanena juu ya njia kuu za mji,mahala pa kuyaingilia malango ya mji,pale palipo inuka na katika kurudi kwenye njia kuu zake?

Hakika uhasidi hautokani na Kutofahamiana ila kule kufahamiana baina ya mtu na mwenzake.

Basi nikaziona njia za Mungu zi kamili Wala hazichunguziki,zikawa sababu ya uhasidi kuzidi.



Na mmoja dhariri katika Mavazi na chakula akasema haya mawili yafahamu,Mjini watu wanamipango yao,Tulia.

wewe ukihitajika utaitwa,

Ni Kama hili,tunaishi kwa kwa kuupaka mgongo wako mafuta kwa chupa, Nikauliza mgongo wangu upi?


nikaambiwa Niangalie kundi la waovu na wema lipi Lina mafuta mengi ?



Nikasema ,Ndipo nikatulizwa kwa kusemwa Mtafutaji na muombaji nani awe na akili? Nikasema mwombaji.

Ndipo nikajibiwa sasa punguza shobo sisi tunajua kuishi na watu kuliko unavyofikiri.Wewe kazi Yako Kuomba.Nami nikaomba kujua geni siku zote.

Nani uongo,Na yakajiandaa kuulizwa je Mbona mtu yule hatumuoni hapa?

Yakajiandaa na Jibu,Huku yanasema kwa sauti ya kwapa sisi Ni sisi,mtu wenu anaona aibu Sana ndomaana anakataa kwenda na sisi,kwani munamjua vema?wasijue uso wa Mungu kwa auonaye ni utimilifu wa vitabu vyote na sheria,methali,nahau na vitendawili[popo mbili zavuka mto],na hiyo mbembe yenye jicho katikati yake.

Nimekunzwa na injili ya mwokozi Yesu mnazarayo Na nikanemeshwa ilinishinde magumu/vikwazo na korani ya Mungu, kwa mtume Mohammed,Ningekuwa mmoja ningesita tuko wengi,Hatukwami ng'o, watoto wa Afrika nguvu moja,nyuma mwiko mbele daima.

Sisi ni wewe,AMINA Mkuu.

Akajibu okay Nimeelewa, mwanangu vumilia wewe Ni mtoto wa familia yet usione aibu ndivyo walivyo watoto wa nyumba hii.Hapo juu hakikisho.

Huo Ni Uongo unaotafuna Ukweli ili kinyonge kisipewe haki yake,Majini kwa ndimi za Moto yakashinda kwa muda.

Alipoulizwa mtoto Akajibu Mimi Ni mtu kweli siko kamili siko kamili ila ukamilifu wangu nitakapokuwa naishi na majini.

Majini yakacheka,Na aje kwetu tumunyoshe.

Na akanyoshwa Kama moja inayoweza kupinda juu muda wowote Kama 7.

Nini moja na Saba,Utulivu kumjua Mungu ili mwanadamu ajitenge na uongo.

Palipo na Uonevu Mungu hutengeneza njia ili uongo ujitenge,ndivyo miji ikapata hukumu kwa majungu,fitina na uongo kupingana na ukweli.

Nyumba iliyokoswa ukarimu,wageni hawaji.Nikaona Ni vema nitulie niomba huruma kwa makosa yetu nikasema,Ewe Bikira Maria nami ni mwanafunzi niko harusini pamoja na musa na wa mizani katika mfungo;Unihurumie mimi na Dunia nzima kwa Mateso makali ya Mwanao.

Naye mtu akasema,Ukweli Ni duara Zima, Nusu duara si Ukweli.Nimekamilisha Ukweli huu;Msingi wa Dunia Ni Neno la Mungu,Na Silaha kwa askari wa Mungu Ni Neno la Mungu.

Seema;Nikaelewa hivi,Darasani Ni kukaa Kimia siyo makelele.

Nguvu ya Uongo inavyotafuna Ukweli Ni Mungu pamoja nasi.

Sisi Ni wakina nani?Ni Mungu tu pamoja nasi.

Nikacheka,Uthibitisho ukoswe maarifa?

Maarifa yamkoseshe maskitiko?

Ewe hekima simama imara,Ewe ufahamu tulizana tuli.Tena mgonjee Mungu akwelekeze Nini maana ya Hilo,Ukae pembeni usilete ugomvi wa Nyama ili uilinde nchi na Imani Yako.

Ewe mbingu sema Siku ya kuzaliwa kwangu katika wiki ya mavuno ya wengi na mwaka wa Upya wa mambo.

Je Mungu si mmoja kwangu?na ajapo wasimpapanie,Hawa rarua Hawa kumbatia.

Nikaona uzuri wa Jambo Ni shilingi,akiiona pande hii ataiokota,na pande ile akiiokota.

Lipi gumu kumshinda Mungu,Na kusudi la Mungu liwe na wasiwasi kutimia kwake?

Akajibu binadamu dhariri aokotaye majalalani,Akasema Dunia Ni kidogo Sana ila uongo unaifanya Dunia iwe kubwa.

Ona nakula watupacho watu,Tena nakaa majalalani,Nimekubali watu wapo,Kwani nimekataa ukweli haupo,ila unapotosha na wazembe kufikri Sana.

Mimi Ni chizi kweli anko au mtazamo wao
Wakunipuuza kwa mazoea yao,ila Mungu Yupo kwenye hii Dunia mpya,Wewe Anko nikwambie Akili Ni Uchafu,Chafuka.

Akasema,hutengenezwa kwa matusi na manyanyaso kwenda kuvumbua katika vitabu.Nakainama kidogo chini.

Nikamuuliza wewe Bi Aisha,Akili Ni Uchafu,ndio Akasema Nyingi utawakwaza watu na ambao hawana watakuumiza moyo.

Moyo wako ukikwazika utakuwa msafi Anko? Hapana bi. Aisha.Ndo hivo Mimi niende nikavue Joho la sh.300,Ukavue Joho Aisha? Nauli ya ubalozi Ni Sh. 300 Anko,Sitaki kumkwaza mtu.

Nami nikaiona Siri ilimofichwa,Nikamtukuza Mungu maana Roho ndo afahamuye yajayo na yaliyo moyoni mwa watu na Yaliyo ya Mungu.

Nikayachukia majivuno miongoni mwa watu,Nikainuka kurudi kutafakari,Akili ikanipeleka Nyumbani nikakiona kile kitabu kilichofunguliwa mbele na nyuma nilichokibandika ukutani( nikakisoma,Nami nilitamani Sana kuwaona ili tufarijiane mimi na ninyi kila mmoja kwa imani yake ila nikauzuiwa kwa muda ili nipate kujazwa karama za rohoni Kama alizokuwa nazo Yesu kristo,nikapate kuwa na matunda kwenu Kama yaliyokuwepo kwa mataifa mengine,Kuu Ni kuwa hivi sasa imani yenu ndo ile inahubiriwa Dunia nzima). Nawaambie ya kuwa Mungu akiniruhusu nitakuja Kwa haraka sana,sasa bado kidogo natembea na kuangalia huku na huku kama mwendawazimu ili niyapate mafungu ya rohoni ambayo baba aliyahifadhi katika roho za watu wake.

Vita vingi nimeshinda,naomba Mungu pia nitakapofika huko niwakute waheri kwa maheri wangu.

Nakumbuka,mwanzo wa safari ya kiimani,iliyohuishwa na Bibi kizee dhariri kweli kweli aliuetukanwa na waliokuwa karibu nami(ndugu zangu Ni wale wanao itii sauti ya Mungu)baada ya kuwa kiroho zaidi mazungumzo yake mpaka auseme Mwisho wa ulimwengu huu.

Hayo Nayo Nikayakumbuka nikaiona Siri ya Mungu ilimojificha.Humo kwenye mabaki ya chakula na majalala,nikaona mazuri yaliyotuliza ghadhabu ya Mungu.

Niende au nirudi,vyote Ni kwenda ila naja ndo safari inaanza,Naondoka ndo safari imekwenda.
Nini kinijulishacho,Nao Ni Moshi juu ya Mbingu ya nchi na bahari,Nini Mungu kutukuzwa nalo Ni pamoja na Tetemeko la usiku ule baada ya Siku tatu.

Na wao wakayaona yote,yaliyokuwepo baada ya mwanamke wa neno,Nini kitachomjulisha mtu huyu ni mwanamke wa neno,Aikimbiliaye msitari wa riadha ya Fifty,fifty katika Tanzania, Tanzania yenye kupendwa.

Nini fifty,fifty? nikaona upo ushuhuda Wa Polepole katika Jana na leo kwa Wasafi wa moyo,Nini Jana na leo? Ni ukamilifu wa kizima.

Nikaona hakuna uzima ila ule kamili,94+950 utaona 50 kasoro ya Kuwafundisha watu Hekima,Nini uzito wake,Ni wastani wa Jumla yake katika utimilifu kwanza wa 60 na miezi na Tarehe ndani ya fifty,fifty.

Nini Mungu pamoja nasi? Nayo Hekima ikashinda pakubwa katika sisi siyo milima wala visima, tukiwa kama people.

Ni Nini Mungu Pamoja nasi?,Kwa dada Chemical na utafiti wa nyimbo za asili ndani ya mitumbwi na Beka ipo imani Asali,Ni upendo,Ni hivi nashinda mechi zangu kwa msaada wa baba Mungu,uongo ukajitenge.

Hekima huhifadhi,na ufahamu huongezewa Nayo maaarifa Ni wingi wa uthibitisho katika huzuni nao ukarimu wa kuwahifadhi wageni nikauona ni mlango wa kuingia mbinguni ulioachwa majumbani na wazee wa mbinguni.

Ni pambano zito la viwili,uongo uliodumu na ukweli uliopuuzwa.

Nini ukweli uliopuuzwa,Hakuna Wengi wawakubalio hao wachache wanaoujua,hao wa mathematics,story.Sasa Yupo Mungu Mkombozi wa kutufuta machozi mamah,Sasa Wake up Tanzania.

Ni hao wanaoujua Nao wameuficha kwa mafumbo na nahau na vitetandawili,ala,aliwa/yuala, aliwa, aliye meza ndoano ya vitu vizuri,ainukaye baharini.

Dunia Ni hadaa maana yenyewe hudumu daima,ulimwengu shujaa,hujengwa baada ya pambano.

Nayo dharau haimo katika ukweli,mbinguni.

ukikibalika nawe utadumu milele na milele ya ulimwengu mwingine.

Wananchi watupelekao mbinguni wanataka Amani na wenyenchi nao wako mbinguni wanataka amani idumu duniani kama mbinguni ,yote ni kwa sababu imani ipo juu yetu.Kwa Mungu hakuna wala nchi.


Ewe mwenye nchi,kundi dogo ni heri kama ilivyo ungejiandaa ili kumpokea bibi harusi siku hiyo,maana kwako ilikuwepo wiki ya masiku 9,Tangu wingu la kidini kujaza mafuriko katika mabonde hiyo siku ya 12 ya mwezi tatu,iliyoleta pambano la wenye nchi na wananchi siku ya 40,Ipo heri kwa yule atakayezaliwa tena kwa roho na kwa moto muda baada ya pambano hilo,Na sisi tunasema kama asemavyo Mungu kwa Gabriel,25 ya mwezi nne baada ya Subira ikawa,Tangazo,Tangazo.

Basi kama Mungu kote na muda wote aishivyo(Quru13,Quru9 na 2Timo3,Luka12 na Ufunuo2) basi mbingu zitasema kwa ajili ya Muda wa Subira ya watu,Na Hao Tip Top Wapanda milima japo ni kundi dogo katika maandalizi ya hekima kubwa wao wazidi kuomba ili wafunguliwe siku hiyo kwa Surati Rahman,Siku hiyo wataelewa Kichwa,kifua na Tumbo na ndio kukanyaga mabaki kwa Miguu yake,na kile kilichotokea Baada ya Tofasri hiyo ndani ya 22-28 ya mwezi nne wa kalenda ya 1991.
15 April,three difficult walls to pass,thus the Tatu bila of Juma nature to the good friend day(brotherhood),friday,to derby saturday.
 
Back
Top Bottom