Naomba kupewa wasifu wa gari hizi mbili Toyota Rav 4 kilitime na premio nataka nifanye maamuzi. Japo ni gari mbili zenye utofauti lkn nilichoangalia ni ulaji wa mafuta, upatikanaji wa spea na uimara wa gari husika kama ningekuwa vzr mfukoni ningechukua zote ila ndo hivyo napaswa kuchagua moja.
Kama kichwa Cha mada kinavojieleza hapo juu kama Kuna mtu ana POS NMB wakala na haitumii au amefunga biashara naomba aniuzie.Itakua vyema kama yupo maeneo ya DODOMA Au BABATI
Walimu wamefarijika sana baada ya kumsikia Mh. Rais akisema kwamba swala la teaching allowance amelichukua na anakwenda kulifanyia Kazi.
Tunafahamu mama yetu akisema siku zote anatenda, ameboresha miundombinu ya shule kwa kujenga madarasa, maabara, mabweni hatimae sasa anakwenda kuweka historia...
Huyu ni the gifted ALIKIBA mashabiki zake wengi wanamuita "King wa bongo fleva" nimeanza kumsikiliza siku nyingi since 2007 ndo nilipata fursa ya kumsikiliza kwa mara ya kwanza kwenye nyimbo yake ya Cinderella leo
Ni 2021 nasikiliza recent release yake inaitwa "Ndombolo ". Aisee nasema ukweli...
Habari za jioni Wana JF wenzangu
Nimekua nafuatilia show za wanamuziki na matukio mbalimbali yanayoendelea nchini kwetu napenda nitoe tafakuri yangu juu ya hizi shows wanazoalikwa wanamuziki kwenda kuperform kwenye hafla hasa hizi za kisiasa naona Kama zinatawaliwa Sana na WASANII kutoka label...
Habari ndugu Wana JF
Nimekua nikifuatilia habari na matukio yanayoendelea hapa nchini kiukweli nimpongeze Rais wetu Samia kwa kuamua kuongoza nchi kwa kutumia Sheria na utawala bora.
Wote tumeshuhudia akijenga mahusiano mazuri na nchi nyingi huko duniani lakini ameonyesha njia katika kutatua...
Hii ndo ipo ivyo Mara nyingi wapinzani wako wanaweza wawe na sababu za msingi kukupinga au wasiwe na sababu za msingi ila ni watu walioamua kukupinga ili waone haufanikiwi katika Jambo unalolitekeleza kwa wakati huo. Utakapo haribu mambo yakaenda vibaya wao ndo furaha yao watatoka na kusema...
Tangu nimeanza kufuatilia mziki huu wa Kitanzania, Bongo fleva nimesikiliza nyimbo za wanamuziki wengi.
Lakini huyu mwanamuziki Ana taste flani ukiwa unamsikiliza iko unique Sana. He knows how to sing, kiukweli tukiachana na drama au siasa kwenye mziki it's not a shame to say hata ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.