goodlif1600
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 794
- 865
Hii ndo ipo ivyo Mara nyingi wapinzani wako wanaweza wawe na sababu za msingi kukupinga au wasiwe na sababu za msingi ila ni watu walioamua kukupinga ili waone haufanikiwi katika Jambo unalolitekeleza kwa wakati huo. Utakapo haribu mambo yakaenda vibaya wao ndo furaha yao watatoka na kusema unaona tuliwambia hafai huyu .
Wanaokupinga Ni watu muhimu Sana kwenye maisha ya kila mmoja wetu hii huongeza hamasa ya kupambana ili ufanikiwe uwakomoe. Lakini ghafla ukiona wapinzani wako wameanza kukusifu inabidi ukae chini ujiulize .
Wanaokupinga Ni watu muhimu Sana kwenye maisha ya kila mmoja wetu hii huongeza hamasa ya kupambana ili ufanikiwe uwakomoe. Lakini ghafla ukiona wapinzani wako wameanza kukusifu inabidi ukae chini ujiulize .