goodlif1600
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 806
- 889
Walimu wamefarijika sana baada ya kumsikia Mh. Rais akisema kwamba swala la teaching allowance amelichukua na anakwenda kulifanyia Kazi.
Tunafahamu mama yetu akisema siku zote anatenda, ameboresha miundombinu ya shule kwa kujenga madarasa, maabara, mabweni hatimae sasa anakwenda kuweka historia kwa kugusa moja kwa moja maslahi ya mwalimu.
Walimu ndiyo kundi lenye watumishi wengine na kundi linafanya Kazi kubwa inayogusa maslahi mapana ya taifa. Mwalimu huandaa watalaamu wanaokwenda kuhudumia kwenye kada mbalimbali kwa ajili ya kujenga na kukuza uchumi wa Taifa.
lkn kubwa zaidi future ya Taifa lolote like ipo mikononi mwa walimu kwa sababu watoto wetu ambao ni taifa la Kesho tunawategea walimu ndo wawaandae kwa kuwapa elimu na kuwalea kwa maadili mema.
Kusikiliza vilio vya walimu na kuvifanyia Kazi imekua ni jambo jema sana na imezidi kuwaaminisha watanzania kwamba Mh. Rais mama yetu Samia suluhu Hasan ni msikivu.
Tunafahamu mama yetu akisema siku zote anatenda, ameboresha miundombinu ya shule kwa kujenga madarasa, maabara, mabweni hatimae sasa anakwenda kuweka historia kwa kugusa moja kwa moja maslahi ya mwalimu.
Walimu ndiyo kundi lenye watumishi wengine na kundi linafanya Kazi kubwa inayogusa maslahi mapana ya taifa. Mwalimu huandaa watalaamu wanaokwenda kuhudumia kwenye kada mbalimbali kwa ajili ya kujenga na kukuza uchumi wa Taifa.
lkn kubwa zaidi future ya Taifa lolote like ipo mikononi mwa walimu kwa sababu watoto wetu ambao ni taifa la Kesho tunawategea walimu ndo wawaandae kwa kuwapa elimu na kuwalea kwa maadili mema.
Kusikiliza vilio vya walimu na kuvifanyia Kazi imekua ni jambo jema sana na imezidi kuwaaminisha watanzania kwamba Mh. Rais mama yetu Samia suluhu Hasan ni msikivu.