goodlif1600
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 794
- 865
Habari ndugu Wana JF
Nimekua nikifuatilia habari na matukio yanayoendelea hapa nchini kiukweli nimpongeze Rais wetu Samia kwa kuamua kuongoza nchi kwa kutumia Sheria na utawala bora.
Wote tumeshuhudia akijenga mahusiano mazuri na nchi nyingi huko duniani lakini ameonyesha njia katika kutatua changamoto mbali mbali zilizokua zikiwakibili wafanya biashara nchini pia ameonyesha nia kwenye swala la watumishi wa umma wamepandishwa vyeo wale wanaokidhi vigezo na ameahidi mwakani atawaongeza mishahara, posho na marurupu mengine.
Mpaka hapa ametuonyesha mwanga watanzania yeye ni kiongozi wa namba gani nilichokiona hata wapinzani wamekua washabiki wazuri wa mama yetu mh.Rais kwaio nimeona ni vyema nikawaomba watulie waachane na haya Mambo ya KATIBA ili mama afanye kazi.
Lengo ni kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi ili Taifa liwe na maendeleo katika nyanja zote kwa manufaa ya watu wote na sio chadema kushika dola.
Nimekua nikifuatilia habari na matukio yanayoendelea hapa nchini kiukweli nimpongeze Rais wetu Samia kwa kuamua kuongoza nchi kwa kutumia Sheria na utawala bora.
Wote tumeshuhudia akijenga mahusiano mazuri na nchi nyingi huko duniani lakini ameonyesha njia katika kutatua changamoto mbali mbali zilizokua zikiwakibili wafanya biashara nchini pia ameonyesha nia kwenye swala la watumishi wa umma wamepandishwa vyeo wale wanaokidhi vigezo na ameahidi mwakani atawaongeza mishahara, posho na marurupu mengine.
Mpaka hapa ametuonyesha mwanga watanzania yeye ni kiongozi wa namba gani nilichokiona hata wapinzani wamekua washabiki wazuri wa mama yetu mh.Rais kwaio nimeona ni vyema nikawaomba watulie waachane na haya Mambo ya KATIBA ili mama afanye kazi.
Lengo ni kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi ili Taifa liwe na maendeleo katika nyanja zote kwa manufaa ya watu wote na sio chadema kushika dola.