Search results

  1. Bizzmc

    Makuruta waandikisha vitambulisho kuweni na nidhamu huku uraiani mnakera sana

    Inaskitisha sana hawa jamaa wanajiita wajeda makuruta kiukweli wanawadharirisha sana watu ktk zoezi bila kujali umri wanajiona mungu watu inakera sana but kumbukeni huku vijijini mtaumia watu wanalalamika sana kudharirishwa Bila sababu vijijin mtalogwa minguvu pelekeni makambin huko so bored...
  2. Bizzmc

    Ili ufanikiwe kwa kitu chochote unachofanya hasa fani au kipaji chako soma haya zingatia tia akilini

    1.Kwanza jitaidi sana usiwe mchoyo wa knowladge ulionayo kwa wenzio kuwa muwazi pengine unaweza ukawa una tango umekaa nalo.. 2.Jitaidi sana kuwa mtu wa practical sana na kujipangia project mbalimali binafsi za kuzifanya bila kusimamiwa.. 3.Epuka sana kujifanya unajua yote na umeshakamilika...
  3. Bizzmc

    Maana ya neno nyang'au

    Anayejua maana ya neno 'nyang'au' naomba anipe maana wadau. Asanteni.
  4. Bizzmc

    Diploma holders kuna yoyote hawa heslb wamemuona maana naona wenge haziishi

    guys hivi kuna mtu yoyote alietokea diploma kapangiwa mkopo tujuzane manake mpaka sasa about loan no direction raisi mtukufu na waziri wa elimu tunawaomba angalieni hili watu wachache wanawatesa wenzao kwa pesa zao tena vigezo visivyo na maana yoyote mara umri mara nini kwa kifupi bodi ya mikopo...
  5. Bizzmc

    watasomaje wadogo zetu kwa hali eee raisi wetu angalia hili upya

    UTOAJI WA MIKOPO KWA WANAFUNZI MWAKA 2016/2017 Baada ya kukamilisha zoezi la Uchambuzi wa maombi ya Mikopo 88,163 yaliyopokelewa hadi kufikia tarehe 11 Agosti, 2016. Jumla ya Wanafunzi wapya 20,183 wamepangiwa Mikopo. Upangaji huu umezingatia vigezo vilivyomo katika mwongozo wa utoaji wa...
  6. Bizzmc

    Sharti jipya kwa waombaji mikopo katika fani za kipumbele 2016-2017

    Serikali ipo katika mkakati wa kuwabana wanafunzi wanaopewa mikopo katika fani za kipaumbele, kutumikia katika utumishi wa umma nchini kwa muda fulani ili kuhakikisha dhamira ya serikali ya inatimia. Fani hizo ni sayansi za tiba na afya, ualimu wa sayansi na hisabati, uhandisi wa viwanda...
  7. Bizzmc

    Serikali hii imeamua kupunguza wasomi Tanzania

    Kuna kitu mi sijaelewa katika hii serikali hasa katika elimu. Wamebania sana vijana kupata nafasi za kusoma ngazi za juu katika fani mbalimbali hasa za ufundi na teknolojia na hata kwa waliofaulu nafasi za vyuo zimebanwa. Utaona admission capacity watu 20, jaman hivi hiyo Tanzania ya viwanda...
  8. Bizzmc

    Msaada shule nzuri ya advance kwa masomo ya sayansi Mbeya

    Jamani hii ni serious issu naombeni msaada kwa yoyote anaeijua shule nzuri inayofaulisha sana wanafunzi wa masomo ya sayansi advance mkoani Mbeya please ni serious utani majungu yakaushie.
  9. Bizzmc

    Jambo na vijambo komedi episod wamerudi tena

    kutana na kazoa a.k.a chauroho....na wakali kibao wa commedy nadhani ilikuwa inaoneshwa e.a tv miaka kama 3 iliopita na sasa wameludi kwa episode mpya kama unamkubali kazoa stay tuned jamaa nawakubali sanaaa
  10. Bizzmc

    bod ya mikopo mwisho tarehe 30 kupokea maombi ktk system au na posta pia

    jamani mi nlikuwa nauliza kwa wanaojua hivi bodi ya mikopo inaposema mwsho tarehe 30 kupokea maombi inaansha ni mwisho kwenye system tu au hata posta au ukichelewa kutuma hard copy ulioprint haitapokelewa ............(majungu matusi achana nayo kama hujiskii kucomment kausha).
  11. Bizzmc

    Kweli tutafanikiwa kwa mabadiliko ya kuingia vyuo kwa diploma GPA 3.5 kupanda juu, tuoneeni huruma

    Daaaa! Sasa kwa wengine ndoto ya kwenda chuo kikuu imebaki kuwa ndoto kwa hawa wakubwa kuweka hiyo kwamba gpa 3.5 kwenda juu mtu wa diploma na form 6 point 4 kupanda. Jamani kweli tutafika halafu imetolewa leo watu wameomba mikopo halafu hawana sifa ya 3.5 eeeeee Mungu wetu angalia kundi la...
  12. Bizzmc

    Utamjuaje kama ni mbongo ...wengi wapo hizi

    1.hawapend ukweli 2.Hawakosagi maneno hata kwa wasichokijua 3.mabingwa wa kujitetea na kuongea sana hata non sense 4.nguvu nyingi kufuatilia maisha ya watu 5.Kujisifia mbwembwe umefika 6.Kufikili kuwa na wapenzi wengi ujanja 7.starehe kupenda sana kuliko kazi 8.kutopenda mafanikio ya mtu...
  13. Bizzmc

    Bongo movie: Pesa yangu ndio kifo changu

    Kweli bongo movies badala ya kusonga tunarudi nyuma saaana hiyo ni movie Flan ya action ila ukiangalia utacheka sana hivi why tunafeli kuandaa movie za kimataifa vituko tu jambaz bila koti kubwa miwani mieusi na aongee kwa ukali au sura mbaya yaaan pumba tu bora niangalie katoon sjui why...
  14. Bizzmc

    Huna haja ya kulia ukiachwa

    Kama imetokea umeachwa na mtu umpendae inaumiza sana mwanzo lakin badili tu namna ya kuwaza na kuwazua huyo sio malaika wala nn na hayupo pekeake na haujazaliwa nae futa machozi na shukuru sana amini amekupa nafasi adimu saaaana ya kumtafuta mtu sahihi zaid na bora zaid yake so jipe furaha songa...
  15. Bizzmc

    Kuna haja sasa yakuanzishwa hospital za kutibu stress za mapenzi tu

    Ni sahihi kwamba Moja ya kitu kinacholeta umaskin uzee shida na migogoro ni mapenzi kuachana kulumbana stress mpaka mtu anakosa nguvu kiutendaji kunahaja kwel ya kuwepo maspecialist wa hii inshu maana ni taaabu sasa vijana kwishi ney hata mambo yamsingi hawawaz anapokutana na hiyo stress
  16. Bizzmc

    Hivi unanipigia pigia simu kwani unanidai jamani?

    Kwel kama mwanaume inatakiwa ikifika wakat uwe na maamuz magumu na moyo wa chuma.... Umeachwa na mpnz unampenda bado ktk harakati za kuyajenga anakuchana ati unanipigia pigia simu kwani unanidai jaman...... Hapo kama mwanaume maamuz gani kuchukua ya busara hasira upole au kikatili na bado...
  17. Bizzmc

    Basi bwana usiku ulipofika sasa....

    Ilikuwa vgumu sana kujua na kutambua nini kinaendelea kadri siku znaposonga wakat wa kupumzika yaaan usiku Ilikuwa ni kama muda wa sindano yenye maumivu makali sana yanayosababishwa na ndoto ya aina moja ya kutisha sana guys hivi nini maana ya tafsiri ya ndoto ya nyoka usiku mtu kuota manyoka...
  18. Bizzmc

    Ati vijana wasikuiz wanaonekana wazeee kwa sababu

    At kweli kwamba vijana skuiz sura zao na umri haviendani wanazeeka mapema na nikiwa kwa gari naelekea Dodoma nkamskia mtumish wa mungu at dhambi huzeesha sana mmmm mie kwa upande wangu msongo wa mawazo vyakula kujitunza kazi ngumu na mapenz hasa mapenz ya stress ndo vnachangia na ile kitu ya...
Back
Top Bottom