Bizzmc
Senior Member
- May 2, 2016
- 187
- 184
jamani mi nlikuwa nauliza kwa wanaojua hivi bodi ya mikopo inaposema mwsho tarehe 30 kupokea maombi inaansha ni mwisho kwenye system tu au hata posta au ukichelewa kutuma hard copy ulioprint haitapokelewa ............(majungu matusi achana nayo kama hujiskii kucomment kausha).