Utamjuaje kama ni mbongo ...wengi wapo hizi

Bizzmc

Senior Member
May 2, 2016
187
184
1.hawapend ukweli 2.Hawakosagi maneno hata kwa wasichokijua 3.mabingwa wa kujitetea na kuongea sana hata non sense 4.nguvu nyingi kufuatilia maisha ya watu 5.Kujisifia mbwembwe umefika 6.Kufikili kuwa na wapenzi wengi ujanja 7.starehe kupenda sana kuliko kazi 8.kutopenda mafanikio ya mtu 9.ulalamishi na ubishi hata usio msaidia 10.Ubinafsi kiburi
 
24b75e7a6fc16549f1d8e337e103a6d6.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom