Serikali hii imeamua kupunguza wasomi Tanzania

Bizzmc

Senior Member
May 2, 2016
187
184
Kuna kitu mi sijaelewa katika hii serikali hasa katika elimu. Wamebania sana vijana kupata nafasi za kusoma ngazi za juu katika fani mbalimbali hasa za ufundi na teknolojia na hata kwa waliofaulu nafasi za vyuo zimebanwa.

Utaona admission capacity watu 20, jaman hivi hiyo Tanzania ya viwanda itatokea kwa kuendeshwa na waomi wachache? Binafsi naona ishu ya elimu haina mwelekeo zaidi ya kuharibiwa tu.
 
that means wana mpango wa kuchukua form six wengi kuliko diploma, hio admission capacity ni ya diploma holders..

their mentality is "kama una diploma that means huko nyuma hukupafom vyema.. so wao wanaona IF YOU NEEDED A SECOND CHANCE TO PROVE YOUR GREATNESS, YOU WERE NEVER GREAT IN THE FIRST PLACE."

thats a fucked up mentality, bcoz you dont know what a person's been thru in the first place.
 
ila six waliopiga poa ni hati zaidi nao wamebana sana sayansi haya diploma za sayansi wamebana nazo mi naamin mziki wa dip za sayans ni ngumu hizo cut point zao sasa tutazidi kuludi nyuma sio kwenda mbele kwa akili za mtu mmoja na figisufigisu zake ..............
 
that means wana mpango wa kuchukua form six wengi kuliko diploma, hio admission capacity ni ya diploma holders..

their mentality is "kama una diploma that means huko nyuma hukupafom vyema.. so wao wanaona IF YOU NEEDED A SECOND CHANCE TO PROVE YOUR GREATNESS, YOU WERE NEVER GREAT IN THE FIRST PLACE."

thats a fucked up mentality, bcoz you dont know what a person's been thru in the first place.

Wao wenyewe walifikia hzo degree bila kuunga unga kwenye diploma,? Wengine wana mpaka PHD za kuunga pia.

Hamna kitu kibaya kwa kiongozi mwenye wivu wa mwenzake kupata....,, Kiongozi mwenye wivu kwamba njia aliyotumia kufanikiwa na mwenzake asiitumie afanikiwe ni mbaya sana.

Au kiongozi ambaye hataki watu wasifanikiwe siyo kiongozi huyo.
 
Wao wenyewe walifikia hzo degree bila kuunga unga kwenye diploma,? Wengine wana mpaka PHD za kuunga pia.

Hamna kitu kibaya kwa kiongozi mwenye wivu wa mwenzake kupata....,, Kiongozi mwenye wivu kwamba njia aliyotumia kufanikiwa na mwenzake asiitumie afanikiwe ni mbaya sana.

Au kiongozi ambaye hataki watu wasifanikiwe siyo kiongozi huyo.
unamaanisha mshua wake jescha
 
Tatizo wakishavuka mto wanaona wengine hata mkiishia kwenye midomo ya mamba sawa tu watafanya figisu vyote, hasa sisi walimu mmoja wetu akipata cheo kikubwa basi atawakandamiza wenzake badala ya kuwasapoti na kuboresha masilahi yao, sasa wacheZe tu na elimu yetu ila adhabu yao ni 2020.
 
acha tu.. kwa kifupi ni kwamba wanataka wale wenye diploma warudi hukohuko walipopatia diploma kujiendeleza zaidi.. wanaona kama vyuo vinavyotoa diploma vipo kibiashara zaidi kwa hizi tetesi kwamba wanawafaulisha wanafunzi wao, kwa muonekano huu hata ukiwa na GPA kubwa unaonekana kama umepewa.
form six wanaonekana kama wana uwezo zaidi kutokana na kwamba pepa waliofanya ni moja na wasahihishaji hawawajui watahiniwa so ule ufahulu waliopata unaonekana ni halali kuliko wa yule wa diploma.
 
1471316884800.jpg
 
Kuna kitu mi sijaelewa katika hii serikali hasa katika elimu. Wamebania sana vijana kupata nafasi za kusoma ngazi za juu katika fani mbalimbali hasa za ufundi na teknolojia na hata kwa waliofaulu nafasi za vyuo zimebanwa.

Utaona admission capacity watu 20, jaman hivi hiyo Tanzania ya viwanda itatokea kwa kuendeshwa na waomi wachache? Binafsi naona ishu ya elimu haina mwelekeo zaidi ya kuharibiwa tu.

Asili ya wa roma(wakatoliki) ni kutawala, na kuwatawala wasio elimika? mkisoma wote watawatawalaje?
 
Nilipoangalia Kozi Za Afya Hususan Bachelor Of Pharmacy, Nimeona Kuwa Vyuo Vimetoa Nafa Kidogo Sana Kwa Mfano Chuo Kama CUHAS wanachukua 10 tu, MUHAS 10, KIU 20, St JOHN 50.
Total ni 90.

Sasa Diploma Holders 90 tu Ndiyo Wanaotakiwa Kusomea Bachelor Of Pharmacy Kwa Mwaka Wa Masomo 2016/2017.

Hapo Natabiri tu Kuwa Hata Yule Mwenye GPA ya 3.5 huenda Kuwa Asipate Chuo Kusomea Kozi Hii Kutokana Na Ushindani Wa GPA, labda Pengine Kuanzia GPA ya 3.7 and Above.
 
Nilipoangalia Kozi Za Afya Hususan Bachelor Of Pharmacy, Nimeona Kuwa Vyuo Vimetoa Nafa Kidogo Sana Kwa Mfano Chuo Kama CUHAS wanachukua 10 tu, MUHAS 10, KIU 20, St JOHN 50.
Total ni 90.

Sasa Diploma Holders 90 tu Ndiyo Wanaotakiwa Kusomea Bachelor Of Pharmacy Kwa Mwaka Wa Masomo 2016/2017.

Hapo Natabiri tu Kuwa Hata Yule Mwenye GPA ya 3.5 huenda Kuwa Asipate Chuo Kusomea Kozi Hii Kutokana Na Ushindani Wa GPA, labda Pengine Kuanzia GPA ya 3.7 and Above.
Tatizo lenu mlikuwa mnacheza na shule. Msiilaumu serikali bali ni uzembe wenu. Nina mdogo wangu diploma ana first class ( ila ni baada ya kumshauri sana asome maana alikuwa mwanzoni mzembe analala, haheshimu lecturer etc), ila mwisho wa siku ananishukuru sana, maana anaweza omba popote na halalamiki kama ninyi wazembe wazembe. Na elimu bora ipewe heshima yake maana mlizoea kudharau elimu sasa muisome namba tu
 
Mlikuwa mkiambiwa someni mnaishia kunyonga nyonga viuno mtaani kama pangaboi la kiitaliano na kunyoa viduku kama baloteli....

Kwa hili namuunga mkono magu mpaka mnyooke... Kusoma hamsomi mnashinda instagram kudiscus Ali kiba hajamsalimia diamond ... Wema sepetu hajavaa pichu .....

Heko serikali
 
Tatizo lenu mlikuwa mnacheza na shule. Msiilaumu serikali bali ni uzembe wenu. Nina mdogo wangu diploma ana first class ( ila ni baada ya kumshauri sana asome maana alikuwa mwanzoni mzembe analala, haheshimu lecturer etc), ila mwisho wa siku ananishukuru sana, maana anaweza omba popote na halalamiki kama ninyi wazembe wazembe. Na elimu bora ipewe heshima yake maana mlizoea kudharau elimu sasa muisome namba tu

wew hujion ulivo mzembe unasema wenzako tuu em jiangale kwanza sio unaropoka tuu
kwa nchi yenye mfumo mbovu wa elimu kama tz kuanzia mtaala wafundishaji wasimamiaji wasahishaji hadi wapangaji wa matokeo af unaita wenzako wazembe
 
labda wanahofia wasomi wanazidi kuwa wengi na ajira hazisomeki hivyo wanatengeneza kizazi chao cha wasomi watakaowaburuza
 
Tatizo lenu mlikuwa mnacheza na shule. Msiilaumu serikali bali ni uzembe wenu. Nina mdogo wangu diploma ana first class ( ila ni baada ya kumshauri sana asome maana alikuwa mwanzoni mzembe analala, haheshimu lecturer etc), ila mwisho wa siku ananishukuru sana, maana anaweza omba popote na halalamiki kama ninyi wazembe wazembe. Na elimu bora ipewe heshima yake maana mlizoea kudharau elimu sasa muisome namba tu

Acha Dharau! Siku Zote Unatakiwa Uwe na Adabu Katika Maongezi!!

Huyo Mdogo Kasoma Kozi Gani Na Chuo Gani??
Kuna Kozi Nyengine Ni Za Kutiririka tu hakuna Shida, Na Kuna Vyuo Vyengine GPA Zinategemea Na Ada Yako Uliyolipa! So, Huwezi Kucompare Mambo Kirahisi Hivyo!!
Ukamchukua Mtu Aliyesoma C.O ukaifananisha GPA yake Kuwa Kuipata ni Sawa na Yule Aliyesoma Tourism.

GPA za Kozi Za Afya ni Ugumu wa Pekee Ufahamu Hilo.

By the Way!! Mantiki Ya Reply Yangu namba #15 haikuwa Kulaumu GPA ufahamu Hilo!! ilikuwa Ni Kuonesha Kuwa Vyuo Vya Afya Vimetuekea Admission Capacity Kidogo Sana Kwa Sisi Diploma Holders.

Ukada Wako Usikufanye Ufikirie Kukuzisha Makalio tu, Pia uweze KumQuote Mtu Kwa Ufahamu! Pumbavu Zako..
 
Back
Top Bottom