Habari wana JF,
Baada ya tathmini ya muda mrefu kuhusu masuala ya Sat tvs na jinsi wtu wanavyohangaika kutwa kucha kutafuta elimu hiyo, nimeona mimi nami kuanzisha mada hii ili niweze kuwafahamisheni kidogo ninachoelewa kuhusu masuala ya sat tv.
Kwa uzi huu utajishughulisha zaidi na sattelites...
kwa wale wenye ungo ulioelekezwa intelsat906 pale zinapopatikana tvs za bongo mnaweza kufurahia epl la liga leo sebuleni kwenu mki rescan receiver zenu au kwa kuweka 4136 v 7200 kama decoder zenu ni dvbs2 mpeg4 compatible. Wenye mediacom muwe wapole. Ting AAL-003 decoder bwana, we acha tu.
Habari Jamii. Poleni kwa msiba wa Kanumba ingawa naona kama maigizo vile. Naomba mnisaidie,nataka kununua mojawapo ya bidhaa nilizoandika hapo juu na nimesha fanya mawacliano na kampun hucka. Hivi nikiamua kununua itanilazimu kulipia kodi? Na uki2mwa kwa DHL nitaupokelea wapi mzigo wangu? Aidha...
lawyers please help answer the following qn"in the ligth of modern formulation of the rule of law,how far is the application of the doctrine of law in tz.with practicle example lets substantiate our argument.i wish the late JK wud hv come from infinity to join Jf.bse jf is more than just ujamaa...
Hi waungwana.Naomba mnisaidie ni wapi ninaweza nikanunua battery la dell d620 kwani nililo nalo halinifai kabisa kwani limekwisha sana,yaani haliwezi hata kutunza charge hata kwa dakika 20.Mnaweza kuona jinsi ninavyokerwa nayo.
Baada ya ngojangoja ya muda mrefu ss hatimaye majina yametolewa hii leo.Wanafunzi wamepangwa ktk makundi mawili A&B.Kama ckosei ni kundi A tu ndio waliopata mikopo na B wamekosa.Kwa mtazamo wangu camini kabisa kama hawa wa2 hawana vigezo.
Habari JF.Baada ya kupitia forums mbalimbali na kuongea na wa2 kadhaa imenishawishi kuandika thread hii.Sasa ninaweza kusema kwamba inawezekana kupata channels za dstv bure.Camini kama hakuna mwana JF yeyote anayenufaika na mpango huo kwa sasa ila inawezekana waka2shirisha nyuma ya screen,lengo...
Wa2 wengi wamejitolea muda wao mwingi kuandika makala anuai kuhusu TING vs STARTIMES.Wa2 hao nawapongeza na kuwashukuru sana kwani maandishi yao yamenifanya na mimi ninunue decoder tajwa hapo juu.Concern yangu leo ni kuwashirikisha mazuri ya decoder hiyo.Kwa kuanza decoder hiyo inaweza...
Hi JF.Mi nilifanikiwa kudownload na kuinstall norton internet security 2011trial version siku tatu zilizopita.Badaye niliamua kuweka product keys ambazo zilionekana zimepitwa na wakati.Nilipojaribu kuweka keys nyingine nilishindwa kuweka kwani baadhi ya vitufe kwenye keyboard viligoma kuandika...
Habari jf.Nime uninstall firmware ya modem yangu tatizo linalopelekea modem kutoonekana ktk pc yangu.Kwa yeyote mwenye firmware hiyo naomba anifanyie attachment kwenye thread hii.Thnx
Ninapoandika thread hiii ninatumia modem yangu niliyochakachua muda si mrefu.kwa sasa natumia mtandao wa airtel kuwa online.if u dont bother pm me and i will help u at my conviniency .:majani7::majani7::majani7:
Habari Jf.Mi nna diploma in clinical medicine .Malengo yangu mwaka huu ni kurudi chuoni MUHAS/SUA.Nime2mia muda mwingi kutafuta forms tajwa hapo juu bila mafanikio.Ninashimdwa kuelewa kuwa tatizo ni mimi au tu wao hawana tena program kwa diplnma holder.Kama kuna anayefaihamu jinsi ya kuzipata...
Hapa tutakuwa tunajadili maujanja ya FTA TV channels,nini kimetoka nini kimeingia katika ulimwengu wa fta tvs/radio.This thread aims at helping people especially from areas other than dar,mz,arusha,tanga and dodoma who use satellite dishes for tv reception.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.