Search results

  1. Pure Scientific

    Kuna wanawake waliosalimika

    Nauliza kwa uzuri tu. Hivi kuna mwanamke asiyejiuza kwa sasa? Naombeni msinifikirie vibaya.
  2. Pure Scientific

    Napata Mshahara wa laki 3, nataka niache kazi nikajiajiri

    Wakuu, Mimi nikijana ninafanya kazi kwenye taasisi moja nchini kama Volunteer kwa muda wa miezi sita sasa. Mwanzo nilikuwa nafanya kazi kwenye moja la shirika kubwa na mshahara mzuri sema mkataba uliwahi kuisha. Hivyo Sehemu nayofanyia kazi kwa sasa nalipwa laki 3 ambayo hiyo hela...
  3. Pure Scientific

    Kwanini kumekuwa na wimbi la Manabii wa uongo?

    Kwanini kumekuwa na wimbi kubwa la manabii wa uongo? Wanawafanya watu wasifanye kazi, muda mwingi watumie katika ibada kuliko kazi.
  4. Pure Scientific

    Natoa pikipiki ya Mkataba

    Habari nina pikipiki Used ina mwaka mmoja. Natafuta kijana wa kumpa mkataba Awe ana nipa Elfu 10 kwa siku. Baada Ya miezi nane nitampa kadi. Eneo liwe Dar.
  5. Pure Scientific

    Kauli chafuzi TikTok, vijana tafuteni hela (Godfather)

    Habari. Kuna mwamba mmoja TikTok anaitwa Godfather, ana kauli mbiu yake moja ya "Vijana tafuteni hela". Kiuhalisia mimi kwa upande wangu naona anachoongea ni kweli, sema changamoto ni kwenye uwasilishaji Tu. Vijana wamecharuka na kuanza kumpiga majungu kwa kuwa, anamiliki Crown na hela...
  6. Pure Scientific

    Naombeni Ushauri nahitaji kwenda kusoma nje course ya Afya

    Habari wakuu.. Mimi mhitimu wa Ordinary diploma in Nursing and Midwifery overall GPA 4.5 Advance Level sikusoma. Form Four Nina Division Three. Ndoto yangu kubwa na wazo langu ni kusoma abroad course mojawapo ya afya. Je una lipi la kunishauri na ninaanzia wapi kufuatilia scholarship ili...
  7. Pure Scientific

    Ushawahi Kufanya maamuzi gani Magumu bila kujutia

    Za masiku wakubwa na Wadogo jf, Kiuhalisia kwenye Maisha inaweza kutokea ukafanya maamuzi hadi jamii yako ikakushangaa. Nilipohitimu kidato cha nne mwaka 2014 nilifanikiwa kufaulu vizuri kwa Divs 2 na kupangiwa shule moja ya serikali kiuhalisia sikuweza kwenda nikaenda shule moja ya advance...
  8. Pure Scientific

    Siku ya Muuguzi (Nesi) Duniani jambo gani la kipekee unajivunia kutoka kwao?

    Habari zenu Wakuu. Tuendelee kumshukuru Mungu kwa kutupa uhai Tukiwa Tunaendelea kupambana na hili janga. Leo Tarehe 12/5 kila mwaka siku ya Wauguzi Duniani. Wauguzi au Nesi wamekuwa na msaada mkubwa kwa mgonjwa yoyote pindi anapokuwa katika eneo la kupata Huduma. Wameweza kupambana sana...
  9. Pure Scientific

    Nipo Hapa namuangalia mchungaji Lusekelo

    Habari wakuu... Nipo hapa ninasikiliza Lusekelo chanel 10.. Nimeshindwa kumuelewa hata anachozungumza. Hakuna kifungu hata kimoja cha bible anatumia. Anaongea kwa jazba hadi kutukana kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Pure Scientific

    Huu ndio wakati sahihi wa shule na vyuo kufunguliwa

    Habari Wakuu. Kiuhalisia sasa ni Muda sahihi wa serikali kufungua shule kuanzia shule za msingi hadi vyuo vikuu kama likishindikana hili basi Madarasa ya mtihani yangerudi kwenye system ya Elimu. Kwanini Naongea Haya.. 1. Turitarajia ugonjwa tuone ukiwa kwenye peak kubwa ya maambuzukizi...
  11. Pure Scientific

    Wizara ya Elimu isipokuwa makini mfumo wa Elimu unaenda kuharibika na hii likizo ya Corona

    Nina kama hoja mbili ambazo nataka tuhojiane Juu ya mfumo mzima wa Elimu ya Tanzania unavyondelea Juu ya likizo hii ya Corona 1..Hoja ya Kwanza mpaka sasa shule kuanzia ngazi ya awali hadi Vyuo vikuu haijaeleweka vinafunguliwa lini? Swali la kujiuliza kufunguliwa kwa vyuo si kwamba ugonjwa...
  12. Pure Scientific

    Ushauri Juu ya kuanza Biashara kwa mtaji wa laki moja

    Habari zenu Wakuu.. Mimi ni kijana ambaye ni muathirika wa likizo isiyojulikana.. Nimefanikiwa kupata laki moja nimeamua nianze kufanya biashara yoyote.. Naombeni Mawazo ya Biashara wakuu Tukizingatia na janga hili la korona Nipo Mkoani (Njombe) Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Pure Scientific

    Nataka nianze Maisha yangu, nitawezaje?

    Habari za mchana Wana MMU. Tukiwa tunaendelea kupambana na hili janga la Corona tunaamini ya kuwa Mungu atatufanyia wepesi na kuvuka katika hili. Kilichonileta humu ndani ni Ushauri wa mawazo wakuu kwa hali ninayopitia kwa sasa. Hiko hivi Mimi ni kijana mwenye miaka 25 na pia ni mwanafunzi wa...
  14. Pure Scientific

    Mfumo wa Elimu Tanzania utakuwaje Juu ya janga hili la Corona au Covid-19

    Wakuu habari za asubuhi. Poleni sana na janga ili la Corona linalotusumbua Dunia nzima kwa sasa. Kilichonileta hapa ni kwamba serikali ilitoa siku 30 kwa Wanafunzi kuwa kuanzia ngazi ya Awali hadi vyuo vikuu ambapo mpaka sasa zimesalia wiki mbili wanafunzi kurudi mashuleni. Nimekuwa...
  15. Pure Scientific

    Wakuu kwanini Jamii yetu inapenda kumuita Muuguzi wa kiume Daktari?

    Wakuu Habari za usiku, Mimi ni mwanafunzi wa Uuguzi na ukunga (Nursing and Midwifery) ambaye ninahakikisha unazaliwa vizuri bila shida yoyote na hata ukizaliwa pindi utakapoumwa nakuhudumia na pia nina hakikisha una kufa kwenye Kifo kizuri (Peaceful death) Tuachane na hayo nimekuwa nikijiuliza...
  16. Pure Scientific

    Sijamuelewa huyu dada

    Habari wakuu,, Huyu Dada nimetokea kuzoeana nae ni miezi sita sasa imepita sijawahi mtongoza ila maisha ninayoishi nae kama tupo kwenye mahusiano na hivyo ndivyo tujuavyo Kilichonileta hapa wiki kama mbili zilizopita ni kuwa nae chemba nikataka kumfanyia massage mwanzoni hakuonyesha...
  17. Pure Scientific

    Nauza vitabu vya PCB bei rahisi

    Habari,,, Hapa Nina Biological science nimeitumia elfu 20000 Chands physics elfu 15 Chands bios elfu 15 Navingine vingi tu Ni PM au nicheck whatsup 0714269713
  18. Pure Scientific

    Siku sita 6 zimebaki selection za NACTE kutoka

    Habari wakuu... Zikiwa zimebakia siku 6 kwa mujibu wa NACTE kutoa majina kwa waliochaguliwa kusoma cerificate na diploma kwa vyuo vya afya.... Lengo la kuanzisha thread ni kwa mambo makuu matano(5) 1..kupeana information juu ya mambo yanayoendelea juu ya mchakato wa central admission system...
  19. Pure Scientific

    NACTE tarehe 14 naomba msinisahau katika ufalme wenu

    Habari wakuu... Mtoto wa maskini mimi nimejitahidi kufanya vizuri kwa matokeo ya form four na vigezo vyote vya kusoma course za afya ninavyo... Japo kwa idadi ile ya watu walioapply course za afya kwa serikali ni Mungu tu anyeweza kukifanya ukapita salama.. Moyo wangu una amani kama siku moja...
  20. Pure Scientific

    Wakuu nimepoteza direction ya elimu yangu...

    Habari wakuu... Mwaka 2015 nilibahatika kumaliza form four shule moja mkoani....matokeo yangu yakawakama ifuatavyo phy-C chem-C bios-C math-D geo-C hist-C civics-C kiswahili-C english-C... Baada sikufanikiwa kupata selection za shule ila nilibahatika kwenda shule ya private mchepuo wa PCB sio...
Back
Top Bottom