Pure Scientific
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 692
- 546
Wakuu Habari za usiku,
Mimi ni mwanafunzi wa Uuguzi na ukunga (Nursing and Midwifery) ambaye ninahakikisha unazaliwa vizuri bila shida yoyote na hata ukizaliwa pindi utakapoumwa nakuhudumia na pia nina hakikisha una kufa kwenye Kifo kizuri (Peaceful death)
Tuachane na hayo nimekuwa nikijiuliza yafuatayo kuhusu kada yetu
1. Kwanini jamii inapenda kumwita Nurse wa kiume daktari popote pale anapokuwa nje ya kuvaa hata uniform zinazoashiria yeye ni Nurse?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mwanafunzi wa Uuguzi na ukunga (Nursing and Midwifery) ambaye ninahakikisha unazaliwa vizuri bila shida yoyote na hata ukizaliwa pindi utakapoumwa nakuhudumia na pia nina hakikisha una kufa kwenye Kifo kizuri (Peaceful death)
Tuachane na hayo nimekuwa nikijiuliza yafuatayo kuhusu kada yetu
1. Kwanini jamii inapenda kumwita Nurse wa kiume daktari popote pale anapokuwa nje ya kuvaa hata uniform zinazoashiria yeye ni Nurse?
Sent using Jamii Forums mobile app