Pure Scientific
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 692
- 546
Wakuu habari za asubuhi.
Poleni sana na janga ili la Corona linalotusumbua Dunia nzima kwa sasa.
Kilichonileta hapa ni kwamba serikali ilitoa siku 30 kwa Wanafunzi kuwa kuanzia ngazi ya Awali hadi vyuo vikuu ambapo mpaka sasa zimesalia wiki mbili wanafunzi kurudi mashuleni. Nimekuwa nikijiuliza maswali yafuatayo
1. Je, ni kweli Serikali itawaruhusu wanafunzi kurudi ikiwa bado mlipuko wa Corona unaendelea
2. Na kama wataruhusu wanafunzi je wanaweza kujikinga pindi wawapo mashuleni na vyuoni
3. Ikitokea serikali itahitaji kuongeza siku nyingine za likizo hii kama ugonjwa utazidi kuongezeka si inaweza kuathiri mfumo wa elimu kama kwa level ya Advance ambao ilibidi wafanye mtihani mwezi wa tano tena na pia wanafunzi wa ngazi ya vyuo vikuu ambao wengi wao kuanza mitihani ya kumaliza mwezi wa tano na kuendelea
4. Je, na kama Ugonjwa hautaisha kwa kipindi kirefu si inapelekea mfumo wa elimu kwa Mwaka huu kuharibika.
ASANTENI WAKUU NAWASILISHA
Poleni sana na janga ili la Corona linalotusumbua Dunia nzima kwa sasa.
Kilichonileta hapa ni kwamba serikali ilitoa siku 30 kwa Wanafunzi kuwa kuanzia ngazi ya Awali hadi vyuo vikuu ambapo mpaka sasa zimesalia wiki mbili wanafunzi kurudi mashuleni. Nimekuwa nikijiuliza maswali yafuatayo
1. Je, ni kweli Serikali itawaruhusu wanafunzi kurudi ikiwa bado mlipuko wa Corona unaendelea
2. Na kama wataruhusu wanafunzi je wanaweza kujikinga pindi wawapo mashuleni na vyuoni
3. Ikitokea serikali itahitaji kuongeza siku nyingine za likizo hii kama ugonjwa utazidi kuongezeka si inaweza kuathiri mfumo wa elimu kama kwa level ya Advance ambao ilibidi wafanye mtihani mwezi wa tano tena na pia wanafunzi wa ngazi ya vyuo vikuu ambao wengi wao kuanza mitihani ya kumaliza mwezi wa tano na kuendelea
4. Je, na kama Ugonjwa hautaisha kwa kipindi kirefu si inapelekea mfumo wa elimu kwa Mwaka huu kuharibika.
ASANTENI WAKUU NAWASILISHA