Huu ndio wakati sahihi wa shule na vyuo kufunguliwa

Pure Scientific

JF-Expert Member
Nov 19, 2015
692
546
Habari Wakuu.

Kiuhalisia sasa ni Muda sahihi wa serikali kufungua shule kuanzia shule za msingi hadi vyuo vikuu kama likishindikana hili basi Madarasa ya mtihani yangerudi kwenye system ya Elimu.

Kwanini Naongea Haya..

1. Turitarajia ugonjwa tuone ukiwa kwenye peak kubwa ya maambuzukizi tangia kuingia kwake Ila haijawaha hivyo hadi sasa.

2. Kwa maelezo ya watalaamu mbalimbali Corona si ugonjwa wa kuisha Leo au kesho mpaka pale chanzo ipatikane sasa kama tutakuwa tunasubiria kuisha hii itasaidia nini?

3. Je, kama hauishi hivi ina maana si kawaida kwa wanafunzi kurudi kwenye mfumo wa shule kama ilivyo kuwa awali.

Napendekeza Serikali itoe Tamko kati ya MEI au JUNE wanafunzi kurudi shule.
 
1: Hizi post zenye nembo ya Tanzia huzioni? Na sababu ya upumuaji huitambui? Au Mimi Ndio sioni yanayoendelea. Huenda tunaelekea kwenye peak maana China uliingia 2019 peak ikawa march.

2: Tunahitaji muongozo toka kwa wenzetu wanaopambana na janga hili kama tuendelee na shughuli au tutulie kidogo.

3: Hatuhitaji kuharakisha kwani bado hata dalili za kudhibiti bado hivyo tunahitaji muda na muongozo zaidi.
 
Mpaka leo hakuna mwanagunzi aliyekufa au kuambukizwa korona so korona ni kwa ajiri ya watu wazima ,hata ulaya wanaguzi waliopata hakuna hata mmoja aliyekufa so shule zifunguliwe tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1: Hizi post zenye nembo ya Tanzia huzioni? Na sababu ya upumuaji huitambui? Au Mimi Ndio sioni yanayoendelea. Huenda tunaelekea kwenye peak maana China uliingia 2019 peak ikawa march.

2: Tunahitaji muongozo toka kwa wenzetu wanaopambana na janga hili kama tuendelee na shughuli au tutulie kidogo.

3: Hatuhitaji kuharakisha kwani bado hata dalili za kudhibiti bado hivyo tunahitaji muda na muongozo zaidi.
Kwa Tz corona inaweza ikaendelea hadi mwisho wa mwaka ujao, angalau.
 
1: Hizi post zenye nembo ya Tanzia huzioni? Na sababu ya upumuaji huitambui? Au Mimi Ndio sioni yanayoendelea. Huenda tunaelekea kwenye peak maana China uliingia 2019 peak ikawa march.

2: Tunahitaji muongozo toka kwa wenzetu wanaopambana na janga hili kama tuendelee na shughuli au tutulie kidogo.

3: Hatuhitaji kuharakisha kwani bado hata dalili za kudhibiti bado hivyo tunahitaji muda na muongozo zaidi.
Umeeleza vizuri sana.
Hawa watu wanaosisitiza kufunguliwa vyuo/shule nahisi ni wadau wa shule binafsi, wanaogopa miradi yao kufa kwa kushindwa kulipa mishahara wafanyakazi wao.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema unataka boom tu
Habari Wakuu.

Kiuhalisia sasa ni Muda sahihi wa serikali kufungua shule kuanzia shule za msingi hadi vyuo vikuu kama likishindikana hili basi Madarasa ya mtihani yangerudi kwenye system ya Elimu.

Kwanini Naongea Haya..

1. Turitarajia ugonjwa tuone ukiwa kwenye peak kubwa ya maambuzukizi tangia kuingia kwake Ila haijawaha hivyo hadi sasa.

2. Kwa maelezo ya watalaamu mbalimbali Corona si ugonjwa wa kuisha Leo au kesho mpaka pale chanzo ipatikane sasa kama tutakuwa tunasubiria kuisha hii itasaidia nini?

3. Je, kama hauishi hivi ina maana si kawaida kwa wanafunzi kurudi kwenye mfumo wa shule kama ilivyo kuwa awali.

Napendekeza Serikali itoe Tamko kati ya MEI au JUNE wanafunzi kurudi shule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeeleza vizuri sana.
Hawa watu wanaosisitiza kufunguliwa vyuo/shule nahisi ni wadau wa shule binafsi, wanaogopa miradi yao kufa kwa kushindwa kulipa mishahara wafanyakazi wao.



Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi kama mbili za Africa kama Zambia, Kenya zinatarajia kufungua early June kitendo cha kuendelea kuusubiri ugonjwa usioisha haisaidii kitu hata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom