Pure Scientific
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 692
- 546
Habari wakuu...
Mwaka 2015 nilibahatika kumaliza form four shule moja mkoani....matokeo yangu yakawakama ifuatavyo phy-C chem-C bios-C math-D geo-C hist-C civics-C kiswahili-C english-C...
Baada sikufanikiwa kupata selection za shule ila nilibahatika kwenda shule ya private mchepuo wa PCB sio siri matokeo yangu yote hayajawahi kuwa vizuri hata na hivyo nikawasilisha wazazi lengo la kutaka kurudia form five ila sio kwa mchepuo wa PCB bali HGE...
Familia ilinishauri niapply course za afya vyuo vya serikali kama nikipata nafasi niende kusoma na kama sitachaguliwa ninaweza kurudia form five kwa mchepuo wa HGE ili kama nikifanikiwa kupata one kali nisome Agrobusines,land valuation,IT
Wakuu...kama watalaamu wa elimu naombeni mnipe ushauri sielewi chochote juu ya maisha ya elimu kwa sasa naona kama nimepoteza my direction ya elimu sioni MWAGA KWA MUDA KIDOGO...
Mwaka 2015 nilibahatika kumaliza form four shule moja mkoani....matokeo yangu yakawakama ifuatavyo phy-C chem-C bios-C math-D geo-C hist-C civics-C kiswahili-C english-C...
Baada sikufanikiwa kupata selection za shule ila nilibahatika kwenda shule ya private mchepuo wa PCB sio siri matokeo yangu yote hayajawahi kuwa vizuri hata na hivyo nikawasilisha wazazi lengo la kutaka kurudia form five ila sio kwa mchepuo wa PCB bali HGE...
Familia ilinishauri niapply course za afya vyuo vya serikali kama nikipata nafasi niende kusoma na kama sitachaguliwa ninaweza kurudia form five kwa mchepuo wa HGE ili kama nikifanikiwa kupata one kali nisome Agrobusines,land valuation,IT
Wakuu...kama watalaamu wa elimu naombeni mnipe ushauri sielewi chochote juu ya maisha ya elimu kwa sasa naona kama nimepoteza my direction ya elimu sioni MWAGA KWA MUDA KIDOGO...