Twende kwenye mada.
Nàuliza kwann mnapenda kutongoza kila mwanamke hata kama hammjui?
Mtu ukisimulia unayopitia basi ujiandae Na mipm kibao.
Hata kama ni umalaya wengine mmezidi. Loh!
Wakuu huu ni uzi maalum wa kulaani matendo yote maovu yanayotokea ndani na nje ya nchi yetu.
Lengo la uzi huu nikuionesha jamii husika kwamba tunachukia matendo maovu yote yanayotishia na kuhatarisha maisha na amani ya nchi yetu.
Yanayotaka kuondoa umoja wa kitaifa tulionao tangu Uhuru mpaka...
Ni habari iliyousonenesha moyo wangu na kunifanya nishindwe kuyazuia machozi yangu....
Nimelia peke yangu nimeona Leo ni washirikishe nanyi huzuni hii pengine ntapata faraja...
Nakumbuka ilikuwa mwezi july tarehe 26 2017 tulikuwa tusafiri Mimi baba mama na wadogo zangu watatu kwenda kwenye...
Yaani haya mapenzi ni ya ajabu sana, kuna mtu nampenda sana ..kwakuwa anajua nampenda basi ndiyo ananinyanyasa kweli..
Nimekuwa mtu wa kulia tu...
Jana nimemkuta na msichana mwngine tena nahisi atakuwa bado mwanafunzi nikajifanya sijaona nikageuza haraka na kurudi home, nikijua atarudi home...
Yaani kuitwa mpnzi au shabiki wa simba lazima uwe na ufahamu mdogo..ndiyo lazima uamini kila unachoambiwa hata kama hakiwezekani.
Niliwaambia Niyonzima hawezi kuichezea simba hata iweje kwa sababu simba haina ubavu wa kuchukua mchezaji wa yanga ambaye bado anahitajika na yanga lkn nyie viumbe...
Yanga timu pekee yenye kufanya mambo yake kwa weledi mkubwa na akili nyingi imefanya kufuru kwa kusajiri wachezaji watatu wa kimataifa kutoka nchi Ghana.
Wachezaji nao ni wachezaji tegemewa kwenye kikosi cha timu yao ya taifa.
Habr za uhakika zinasema mmoja ya wachezaji hao ni beki kisiki...
Kamati ya usajili ya timu ya Yanga maarufu kama wakimataifa imekaa na kuazimia yafuatayo.
1.Kusajili wacheza vijana zaid.
2.Kusajili wachezaji wenye viwango
3.Kuwatema wachezaji wasio na mchango kwenye timu
Mbali na hayo kama imeeleza kuwa usajili utafanyika kimya kimya na kuweka wazi baada ya...
Nawaza tu kwa sauti, kama ingekuwa ukizini tu unawekewa alama usoni , nyuso zetu zingekuwa na alama ngapi?
Binafsi ningekuwa na alama chache sasa.
Kati ya wanaume na wanawake nani angekuwa na salama nyingi?
Nina maswali kadhaa kwenu wanaume lkn Leo ntauliza moja tu.
Kwanini mnapokuwa mnamtaka mwanamke mnakuwa wanyenyekevu watiii na watoaji sana lkn mkisha mpata tu mnageuka wakali mnajifanya hamna muda tena? Nijibiwe majibu ya kuridhisha
Wandugu naomba kuuliza je kunaweza kuwa na raha ya maisha bila mapenzi?
Binafsi nayapa heshima mapenzi maana bila hayo raha ya maisha ingekuwa kama haipo.
Watu hawajuani lkn wakipendana wanakuwa zaidi ya ndugu na kuanza familia pamoja.
Mapenzi nayapa heshima yake.
Niulize kuna raha zaidi ya...
Wakuu za weekend?
Nimefanya majaribio kwa wanaume wawili niliwapa offer ya papucha wamekuwa na tabia ya kulia na kutoka miguno kitu kiilicho nishangaza sana.
Unakuta mwanaume anatoa miguno mapaka analia utadhani demu.
Niliishia kushangaa tu.
Naomba msinisaidie wanaume je hiyo ni kawaida...
Habari njema ni kwamba serikali imefikia uamuzi wa kuanza kulipa malimbikizo na nyongeza zote kwa watumishi wa umma ikiwa ni pamoja na kupandisha vyeo.
Maazimio haya yanategemewa kuanza mwaka wa fedha 2017/2018
Serikali imeazimia kumaliza madeni yote ilikuondoa ktk lawama na shutuma ambazo...
Yaani Leo kila kona ni red tu.
Watu wanadanganyana eti wapenzi! Loh!
Eti Leo ni siku ya wapendanao! Nakataa kbsa.
Nakataa kbsa hata aje nani siwezi kukubali kuwa Leo ni siku ya wapenda nao.
Leo ni siku ya wazinzi wanaodanganyana kweli kabisa.
Natamani nipendwe kila siku but not only Feb 14...
Wakuu hbr za majukumu?
Niende moja kwa moja kwenye mada, kuna kauli zinanisumbua, mtu anoposema anataka akawe kiongozi wa malaika mbinguni huwa sielewi ana maanisha nini?
Nimejaribu kupitia biblia kuanzia mwanzo mpaka ufunuo sijaona mahali panaonesha ufanye jambo gani duniani ili baadae ukawe...
Wanajamvi Leo nimejipa muda wa kutosha kutafakari uongozi wa rais wetu wa awamu ya tano nikagundua kuwa kuna mazuri mengi amefanya kuliko hata mabaya.
Wanasema mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni.
Haya ndiyo mazuri yake:
Amerudisha nidhamu kazini,
Amekomesha uporaji wa fedha za umma...
Wandugu,
Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.
Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.
Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
Serikali imeanza kutuletea pesa kwenye h/mashauri na kutuonya kuwa tusijaribu kuzila ni za moto.
Huenda kweli zikawa za moto lkn wakumbuka joto hupotea linapokutana na baridi.
Tumejipanga kuziweka kwenye friji zipoe kisha ziliwe kirahisi.
Hivi Mimi kama mkuu wa idara nashindwaje kula hela...
Bila shaka mko poa!
Kama ambavyo head inajieleza, unatumia muda kiasi gani ktk kuimarisha mahusiano yako na mwenzi wako?
Binafsi natumia muda wa jion na asbh at least kwa saa moja kufanya mambo kadhaa ktk kuhakikisha naboresha mahusiano na mwenzi wangu.
Huwa najitahidi kumsikiliza, kufanya...
Wanajamvi habari za majukumu?
Nina mambo kadhaa yanayonisumbua akili yangu na kuninyima amani sana. Kwa wale wanaokumbuka tatizo nilopata la aliyekuwa mume wangu kumpa mimba mdogo wangu, hichi nadhani ndo kimekuwa chanzo cha kuniweka katika wakati mgumu.Tangu nilipoamua kuachana nae nimekuwa...
Habari zenu wadau wa MMU,
Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru mods na members wenzangu wote kwa mawazo, ushauri na michango yenu katika thread niliyoleta huku kipindi cha nyuma yenye kichwa kisemacho "mume wangu amempa mimba mdogo wangu"
Nimepata muda wa kutosha kutafakari michango ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.