Hili jibu maridhawa kbsaKutongoza ni sifa ya mwanamme halisi.
Niwipokutongoza nikufanye nini sasa kingine huku hatuna undugu wowote
Sent using Jamii Forums mobile app
weka picha tuone kama hutusingiziiTwende kwenye mada.
Nàuliza kwann mnapenda kutongoza kila mwanamke hata kama hammjui?
Mtu ukisimulia unayopitia basi ujiandae Na mipm kibao.
Hata kama ni umalaya wengine mmezidi. Loh!
Tunatakaga kuonja ladha tofauti ya papuchi..Nàuliza kwann mnapenda kutongoza kila mwanamke hata kama hammjui?
Nadhani ulitakata wanaume tutongozwe badala ya kutongoza?Twende kwenye mada.
Nàuliza kwann mnapenda kutongoza kila mwanamke hata kama hammjui?
Mtu ukisimulia unayopitia basi ujiandae Na mipm kibao.
Hata kama ni umalaya wengine mmezidi. Loh!
Wanaume wameumbwa kujaribu, sasa ni wewe na akili zako kutumbukia kwenye majaribu hayo, kutongozwa sio dhambi shida ni wewe baada ya mtongozo na maamuzi yako tu
Wanaume wameumbwa kujaribu, sasa ni wewe na akili zako kutumbukia kwenye majaribu hayo, kutongozwa sio dhambi shida ni wewe baada ya mtongozo na maamuzi yako tu
shukranMaelezo mazuri sana bibie haya.
ukweli halisi ni upi?Unaukaribia ukweli