Kimahesabu, CCM ndio washindi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kabla hata ya mwenda kwenye Box la Kupigia kura.
Ushindi huu wa CCM ambao umetokana na utekelezaji kabambe wa miradi mbali mbali chini ya serikali ya awamu ya tano.
HESABU ZA KISIASA zinaonesha majimbo yafuatayo ya Upinzani yanakwenda...
WanaJf, Kwa haya yanayoendelea nchini (uchapaji kazi wa Rais magufuli) na hasa kukubalika sana kwa wanachi wa kawaida na hata wa kipato cha kati na juu (Machinga, wakulima, Mamantilie, Wafanyabishara n.k) ambao asilimia 90 ndio wapiga kura katika nchi yetu, JE SI UUNGWANA NA MATUMIZI BORA ya...
Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi, Mh.Mwigulu Lameck Nchemba amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Sirro kuunda timu ya kuchunguza vitendo vya kikatili wanavyofanyiwa wanasiasa ikiwemo mauaji yaliyotokea Kinondoni Jijini Dar es salaam.
Waziri Nchemba ametoa maagizo hayo akiwa...
Nilipomuona jana Dr.Slaa nikakumbuka nyakati na majira yale nilipokuwa karibu naye katika kazi za kisiasa.
Amerejea nchini akiwa na afya njema,amerejea nchini akiwa na msimamo wake uleule kwamba KINACHOMPETA PAMOJA kati yake na JPM ni mapambano chanya dhidi ya Ufisadi, Majizi na kila aina ya...
Zika na NIMR
Dk. Mwele Ntuli Malecela leo si Mkurugenzi tena wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR). Ikulu leo imemtangaza Profesa Yunus Mgaya kuwa mbadala wake.
Kwanini Mwele kaondolewa? Nimeulizwa hili swali na baadhi ya watu nami nikauliza hapa na pale ili kupata majibu. Na...
Nyota ya Mwigula yazidi kung'ara urais
*Vijana wataka chama chake kimpe nafasi
Claudia Kayombo
WAKATI vyama vya siasa havijatangaza majina ya wagombea urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu, vijana mbalimbali wameanza kutoa maoni ya nani anafaa kumrithi Rais Jakaya Kikwete...
CCM ina bahati kuwapata Kinana,Mwigulu
Na Angela Kiwia
KATIKA kipindi cha mwaka mmoja sasa tumeweza kuona ni kwa jinsi gani viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) walivyoweza kusimama kidete katika kumtetea Mtanzania kupatiwa haki yake ya msingi kuanzia ngazi za vijijini.
Tumeweza kumshuhudia...
Mwigulu akisikiliza kwa makini maombi ya Bibi huyu(Hakufahamika jina) katika kijiji cha Kibaya Jimboni Iramba.
Mh.Mwigulu Nchemba akimsikiliza kwa makini mmoja ya wazee katika kijiji cha Mtekente Jimboni Iramba.
Mh:Mwigulu Nchemba akisikiliza kwa makini hitaji la kijana huyu mlemavu wa miguu...
YALIYOJIRI MAHAKAMANI HII LEO WAKATI ZITTO KABWE ANAWASILISHA PINGAMIZI LA KUTOJADILIWA NA KAMATI KUU YA CHADEMA HAPO KESHO,
Na, Hans Kasapa.
Leo Mahakama Kuu ya Tanzania, kanda ya Dar es Salaam imetoa zuio kwa Kamati Kuu ya Chadema kujadili na kuamua suala lolote linalomhusu Zitto Kabwe...
- Ni kuhusu wanachama wa chama hicho kuhudhuria mkutano wa amani.
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Wilbrod Slaa na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema wametofautiana kauli kuhusu wanachama na wafuasi wao kuhudhuria mkutano wa amani kwenye Uwanja wa Sheikh...
TUNTEMEKE NIPO LIVE HAPA KONKONO,
Nipo Live Muda huu hapa kakonko Kigoma kwenye Viwanja Vya Bunge(Wakazi wa hapa ndio wanaita hivyo).Maandamano ni makubwa sana,Ambapo Dr.slaa anategema kufanya Mkutano hapa Jioni ya leo.
Lakini hali si shwari kabisa kutokana na watu kuanza kuongezeka wakiwa...
Taarifa kutoka chanzo cha uhakika pale kahama ni kwamba,Mkutano wa Dr.slaa umekwama kufanyika,Licha ya maombi ya jitihada za maofisa wa chadema kuwabembeleza wananchadema na wananchi kuhudhuria mkutano huo.
Hadi nakuja hapa ni saa 11 na dakika 50 hali ni tete hapa Viwanja vya Kahama ,Wananchi...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika Uwanja wa shue ya Msingi Rujewa, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia za kuzitatua, katika wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, Des 2, 2013...
BBC kituo kikubwa cha habari Duniani, Jana jioni na Leo asubuhi wameendelea kusisitiza kuwa Mh. Zitto Kabwe amevuliwa nyadhifa zote za uongozi ndani ya chama hicho kwa sababu ya Kutangaza kugombea Uenyekiti.
BBC wanasema, Zitto, Mwigamba na Kitila wamevuliwa nyadhifa zao na huku wakipewa siku...
TAMKO KUHUSU SHUTUMA JUU YANGU KITILA MKUMBO(MJUMBE KAMATI KUU YA CHADEMA)
TAR.10/11/2013
(https://www.facebook.com/kitila.mkumbo.3/posts/10152401804973289)
Kufuatia taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuhongwa kwa Zitto naye kuhonga watu wengine, nikiwemo mimi, ili...
Kamanda Suleiman Kova akiongea na wanahabari kuhusu wahalifu mbalimbali waliotiwa nguvuni na Jeshi la Polisi.
Baadhi ya vitu IKIWAMO KOFIA YA CHADEMA walivyokutwa navyo wahalifu katika matukio mbalimbali jijini Dar es Salaam.
WATU 6 wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa kuhusika na tukio la...
TAARIFA KWA UMMA WA WANA MWANZA,WATANZANIA NA VYOMBO VYA USIMAMIZI WA SHERIA JUU YA UFISADI WA KUTISHA NA UBADHILIFU WA FEDHA ZA UMMA KATIKA MIRADI YA UJENZI WA JENGO LA KLINIKI YA MAMA NA MTOTO UTEMINI NA UJENZI WA OFISI NA STOO ZA MADAWA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA...
I. UTANGULIZI:
a) Maswali
Mheshimiwa Spika, nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kutekeleza na kukamilisha majukumu yetu katika muda uliopangwa. Katika Mkutano huu Maswali 120...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.