TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
BBC kituo kikubwa cha habari Duniani, Jana jioni na Leo asubuhi wameendelea kusisitiza kuwa Mh. Zitto Kabwe amevuliwa nyadhifa zote za uongozi ndani ya chama hicho kwa sababu ya Kutangaza kugombea Uenyekiti.
BBC wanasema, Zitto, Mwigamba na Kitila wamevuliwa nyadhifa zao na huku wakipewa siku 14 kama hatima ya uanachama wao ndani ya CHADEMA.
BBC Wanasema "Zitto Kabwe ambaye ni Mbunge wa Kigoma ameingia kwenye mzozo na kashikashi ya kisiasa ndani ya CHADEMA siku za karibuni kutokana na hatua yake ya kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ndani ya chama hicho".
Nawasilisha.
Asante BBC kwa kusema ukweli, Haya ya WARAKA wanaoandaa akina BEN wala hayana tija. Huu ndio Ukweli. Vyombo vya habari vya Tanzania Viige Mfano huu wa kusema ukweli.
BBC wanasema, Zitto, Mwigamba na Kitila wamevuliwa nyadhifa zao na huku wakipewa siku 14 kama hatima ya uanachama wao ndani ya CHADEMA.
BBC Wanasema "Zitto Kabwe ambaye ni Mbunge wa Kigoma ameingia kwenye mzozo na kashikashi ya kisiasa ndani ya CHADEMA siku za karibuni kutokana na hatua yake ya kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ndani ya chama hicho".
Nawasilisha.
Asante BBC kwa kusema ukweli, Haya ya WARAKA wanaoandaa akina BEN wala hayana tija. Huu ndio Ukweli. Vyombo vya habari vya Tanzania Viige Mfano huu wa kusema ukweli.