Nimekutana na huyu kiumbe nje ya Nyumba yangu jioni, hii namfananisha na Nungu Nungu japo Sina hakika.
Mwenye ufahamu na haya maswala ya wanyama na wadudu au Kama ni ishara yeyote anijuze.
Eneo naloishi si rahisi kwa kiumbe wa namna hii kuonekana, Naishi Dar Es Salaam Tabata na hakuna mapori...
Wakuu Salaam Aleykum
Naomba kufahamu Ni lini Chuo Cha Uongozi kilicho chini ya Chama Cha Mapinduzi kinafungua lini dirisha la usahili na namna gani ya kuomba Nafasi Chuoni hapo.. pia...
Ada
Aina ya Course zinafundishwa
Nk Nk
Ahsante
Mh Rais, Mama Yetu mpendwa, Mama mnyenyekevu na msikivu Nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Bila kuchelewa, Ni maombi yangu kwako Kama Mtanzania, Naomba Umteue Bernard Camilus Membe Kuwa Director General wa Idara ya Usalama Wa Taifa ili atusaidie kurejesha nidhamu na kuunda...
Wakuu, Kheri ya Mwaka Mpya...
Hii Ni true Story, Na imetokea mtaani kwangu hapa hapa mjini Daslam, Huku mtaani kwetu bwana Kuna kaeneo wanakaita "Bagamoyo" Yani sikuwahi kujua kwanini wapaita Bagamoyo, Kumbe Ni Ushirikina ulikithiri.
Hapo Bagamoyo, Kuna visa kadhaa lakini leo nakupa hiki Cha...
Wakuu Habari za muda huu, niende moja kwa moja kwenye mada.
Hii inanihusu Mimi mwenyewe na hapa Nawaza na kuwazua na sipati jibu sahihi, Nachanganyikiwa.
Mimi Ni kijana mwenye miaka 26, Elimu yangu Ni kidato Cha Sita na pia nilisoma Certificate in Clearing and Forwarding, Naishi Dar kwa Wazazi...
Wakuu, Salaam.
Niende moja kwa moja katika mada. Mimi ndugu yenu nina tatizo la kuwa na hofu katika kila jambo ninalofanya na hili tatizo linapelekea kushindwa kufanya kwa ufanisi jambo lolote lililo mbele yangu.
Kipindi nikiwa Nasoma A Level mpaka Chuo nilikua nashindwa hata kufanya...
Mgombea Udiwani kupitia ACT Wazarendo kata ya Kinyerezi Ndugu Albert Nyange arudi CCM leo Tarehe 24/10/ 2020,
Tukio hilo limetokea katika kampeni za lala salama za mgombea wa CCM Kata ya Kinyerezi Bi Leah Mgitu. Ndugu Nyange alipanda jukwaa la kampeni za CCM na kuwatangazia wananchi wa kata ya...
Wakuu, Habari zilitufikia hivi punde ni kwamba aliyekua mkuu wa Kitengo cha EU, Wizara ya Fedha Leopord Lwajabe Amekutwa Amefariki huko Mkuranga.
Lwajabe alitekwa na watu wasiojulikana Akiwa ofisini kwake baada ya kupigiwa simu Stoke nje ya Ofisi, Walimshikilia kwa siku 3 kisha kumutelekeza...
Wakuu nawasalimu .
Nina mdogo wangu ana ndoto ya kuwa mwanasheria/wakili. Baada ya kumaliza advance level mwaka jana akapata division 2 ya points 12'
Lengo afanye Diploma ya sheria kisha degree.
Naomba mnipe msaada wa mawazo, kwa ufaulu wake ni vyema afanye anavyotaka, na faida na hasara za...
Salamu kwenu JF Doctors,
Naheshimu sana uwepo wenu katika jikwaa hili na natambua mchango wenu katika idara hii ya Afya,
Naomba nijikikite kwenye swala lililonileta hapa, Nina mtoto mwenye umri wa miaka 14, Kwa muda wa mwezi amepata mabadiliko katika balls(Pumbu). Badala ya kuwepo kwa zile...
Habari wanajamvi.
Leo tumeshuhudia kuachiwa huru kwa Wanamuziki maarufu nchini waliokuaa wakitumikia adhabu ya kifungo cha Maisha jela baada ya kukutwa na hatia ya kubaka na kulawiti watoto.
Babu Seya na mwanae Papii Kocha kwa msamaha wa Rais Magufuli leo wapo huru,
Habari nilizonazo kutoka...
Wakuu, bila kupoteza muda, Kwanza niwasalimu na niwape pole na mihangaiko ya siku nzima.
Nia ya huu uzi ni kutaka kufahamishwa ni zipi alama za ufaulu kwa kidato cha sita ambazo ni current.
Asanteni
Tanzania oyeee
Katika usajili unaoendelea wa dirisha dogo katika vyama vya siasa ngoma inogile,
Tumeshuhudia usajili wa Kiungo mkabaji Razalo Nyalandu toka Ccm kwenda Chadema, pia usajli kabambe kushinda ule wa Manchester city ya Uingereza na PSG ya Paris ambapo washambuliaji toka Act na...
Poleni Sana kwa majukumu ya kujenga Taifa..
Mzazi wangu Wa kike (Mama) umri kiaka 50s anasumbuliwa na uvimbe kwenye kizazi according to vipimo vya madakari.
Aliandikiwa dawa na anakaribia kuzimaliza, hofu ni kwamba tumbo lake linavimba na anasikia vichomi.
Nawaomba wakuu, Mnipe ushauri Wa...
Wakuu habari za muda huh...
Bila kupoteza time, Nina mpenzi wangu ambae nimedumu nae kwa muda Wa mwaka mmoja sasa, wiki kadhaa zilizopita aliniaga anaenda Arusha amepata kazi katika hotel ya kitalii
Ila Jana kanitumia picha WhatsApp akiwa na jamaa mwengine na kunitambulidha kuwa ni mume wake...
Rejea kichwa cha Habari hapo juu, kiwanja kizuri kipo maeneo ya tabata kinyerezi, Mbuyuni. Kipo eneo zuri na mazingira ya kuvutia.... Kina mapana ya mita 61 kwa 31....
Kwa maelezo zaidi na bei piga namba
0672211719
0716831663
0763141427
Natanguliza salam,
Bila Kumkwaza yeyote kwa imani yake, uwe mkristu, muislam ama mpagani,
Naomba kujua yupo wapi Yule Mungu wa kabla wakoloni kuja kututawala Afrika, hapo kale wa Afrika tulikua imani zetu, ibada zetu na shughuri zetu za kiuchumi, Kisiasa na kijamii.
Tulipokua katika taabu za...
Amani iwe daima nanyi..
Naomba mwenye uelewa kuhusu hiki Chuo cha diplomasia, join instruction na aina ya kozi wanazotoa pamoja na muda wa kozi na ada zao.
Nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.