nsharighe
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 1,439
- 2,211
Salamu kwenu JF Doctors,
Naheshimu sana uwepo wenu katika jikwaa hili na natambua mchango wenu katika idara hii ya Afya,
Naomba nijikikite kwenye swala lililonileta hapa, Nina mtoto mwenye umri wa miaka 14, Kwa muda wa mwezi amepata mabadiliko katika balls(Pumbu). Badala ya kuwepo kwa zile balls mbili, kuna kuwa na vibuja buja.
Nilimpeleka chekup Muhimbili wakaniambia ni Ugonjwa wa Hernia Inguinal. Na surgery ndio option peke.
Ivyo nimekuja hapa kupata ushauri zaidi ya ule wa madakatari, uzoefu juu ya ugonjwa huu na Tips anuai..
Pia kama kuna hospitali nzuri na gharama zake nikifahamu itasaidia.
Ahsanteni
Naheshimu sana uwepo wenu katika jikwaa hili na natambua mchango wenu katika idara hii ya Afya,
Naomba nijikikite kwenye swala lililonileta hapa, Nina mtoto mwenye umri wa miaka 14, Kwa muda wa mwezi amepata mabadiliko katika balls(Pumbu). Badala ya kuwepo kwa zile balls mbili, kuna kuwa na vibuja buja.
Nilimpeleka chekup Muhimbili wakaniambia ni Ugonjwa wa Hernia Inguinal. Na surgery ndio option peke.
Ivyo nimekuja hapa kupata ushauri zaidi ya ule wa madakatari, uzoefu juu ya ugonjwa huu na Tips anuai..
Pia kama kuna hospitali nzuri na gharama zake nikifahamu itasaidia.
Ahsanteni