Mdudu gani huyu?

nsharighe

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
1,439
2,211
Nimekutana na huyu kiumbe nje ya Nyumba yangu jioni, hii namfananisha na Nungu Nungu japo Sina hakika.

Mwenye ufahamu na haya maswala ya wanyama na wadudu au Kama ni ishara yeyote anijuze.

Eneo naloishi si rahisi kwa kiumbe wa namna hii kuonekana, Naishi Dar Es Salaam Tabata na hakuna mapori

Ntanguliza Shukrani .
IMG_20221111_194015_650.jpg


Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Nimekutana na huyu kiumbe nje ya Nyumba yangu jioni, hii namfananisha na Nungu Nungu japo Sina hakika.

Mwenye ufahamu na haya maswala ya wanyama na wadudu au Kama ni ishara yeyote anijuze.

Eneo naloishi si rahisi kwa kiumbe wa namna hii kuonekana, Naishi Dar Es Salaam Tabata na hakuna mapori

Ntanguliza Shukrani .View attachment 2413880

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Mmh
 
Nimekutana na huyu kiumbe nje ya Nyumba yangu jioni, hii namfananisha na Nungu Nungu japo Sina hakika.

Mwenye ufahamu na haya maswala ya wanyama na wadudu au Kama ni ishara yeyote anijuze.

Eneo naloishi si rahisi kwa kiumbe wa namna hii kuonekana, Naishi Dar Es Salaam Tabata na hakuna mapori

Ntanguliza Shukrani .View attachment 2413880

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Huyu nikibahatika kumuona jioni kesho yake lazima nipige mpunga.
 
Mchomoe vimwiba vyake sita alafu chukua majivu, paka kwenye hiyo miba yake kisha mwambie karungeyeye usiye na baya na mtu nifikishie salamu zangu kwa mbaya wangu. Kesho muda kama huo ulionuiza utapata taarifa ya msiba, na huyo ambaye atakuwa amerehemika ndio mbaya wako.
 
singida wakati niko chuo walikuwa wengi sana usiku tukiwa tunaenda kupiga prepo tukiwa tunapita uwanjani
 
Anaitwa karunguyeye.

Wanapatikana kwa wingi sana Dodoma.

Na baadhi ya watu humla kama kitoweo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom