Tatizo la kuwa na hofu

nsharighe

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
1,439
2,211
Wakuu, Salaam.
Niende moja kwa moja katika mada. Mimi ndugu yenu nina tatizo la kuwa na hofu katika kila jambo ninalofanya na hili tatizo linapelekea kushindwa kufanya kwa ufanisi jambo lolote lililo mbele yangu.

Kipindi nikiwa Nasoma A Level mpaka Chuo nilikua nashindwa hata kufanya presentation na ikitokea nimefanya basi jasho la kutosha litanimwagika na mapigo ya moyo kwenda kasi.

Katika maisha ya mahusiano Hofu inanipelekea kushindwa hata kutongoza wanawake na nikifanikiwa kumpata siku ya kuwa nae faragha basi hofu inanitawala mpaka kupelekea kushindwa kufanya tendo kwa ufanisi.

Tafadhali naomba msaada katika hili.

Natanguliza Shukrani za dhati.
 
Haya matatizo yanaanzia utotoni. Inaelekea wazazi wako hawakua wanakupa nafasi ya kujieleza, walikukaripia kila mara.

Katika malezi ni muhimu kumfahamisha mtoto ni kwanini afanye au asifanye kitendo fulani. Mfano, mtoto anapokataa kusalimia wageni pale pale mwambie hii si tabia nzuri ni lazima usalimie wageni na uwe na heshima kwa wanaokuzidi umri.

Wazazi wengi tunakaripia sana watoto na tunawafanya wapoteze kujiamni. Ukiwa na hasira zako na kwa bahati mbaya unazimalizia kwa mtoto muombe msamaha.

Jaribu kutoa hotuba fupi katika sherehe za marafiki zako. Hata kusoma masomo kanisani au kutoa ushuhuda inasaidia.
 
Haya matatizo yanaanzia utotoni. Inaelekea wazazi wako hawakua wanakupa nafasi ya kujieleza, walikukaripia kila mara.

Katika malezi ni muhimu kumfahamisha mtoto ni kwanini afanye au asifanye kitendo fulani. Mtoto anapokataa kusalimia wageni pale pale mwambie hii si tabia nzuri ni lazima usalimie wageni na iwe na heshima kwa wanaokuzidi umri.

Wazazi wengi tunakaripia sana watoto na tunawafanya wapoteze kujiamni. Ukiwa na hasira zako na kwa bahati mbaya unazimalizia kwa mtoto muombe msamaha.

Jaribu kutoa hotuba fupi katika sherehe za marafiki zako. Hata kusoma masomo kanisani au kutoa ushuhuda inasaidia.
Madam Sky Eclat turudi kwenye mada sasa, mtoa mada anasaidiwa vipi?
 
Haya matatizo yanaanzia utotoni. Inaelekea wazazi wako hawakua wanakupa nafasi ya kujieleza, walikukaripia kila mara.

Katika malezi ni muhimu kumfahamisha mtoto ni kwanini afanye au asifanye kitendo fulani. Mtoto anapokataa kusalimia wageni pale pale mwambie hii si tabia nzuri ni lazima usalimie wageni na uwe na heshima kwa wanaokuzidi umri.

Wazazi wengi tunakaripia sana watoto na tunawafanya wapoteze kujiamni. Ukiwa na hasira zako na kwa bahati mbaya unazimalizia kwa mtoto muombe msamaha.

Jaribu kutoa hotuba fupi katika sherehe za marafiki zako. Hata kusoma masomo kanisani au kutoa ushuhuda inasaidia.
Hujanikosea aisee nimepitia hii hali na tatizo hilo nnalo sana..
 
Tatizo ukishakifahamu si tatizo tena, pigana nalo. Hata ukikaribisha wageni nyumbani, simama na kutoa shukran kwa kufika kwao. Inasaidia.
Shukran... ngoja nilifanyie kazi maana linanikosesha vitu vingi sana kwenye harakati zangu za upambanaji wa maisha.
🙏
 
Wakuu, Salaam.
Niende moja kwa moja katika mada. Mimi ndugu yenu nina tatizo la kuwa na hofu katika kila jambo ninalofanya na hili tatizo linapelekea kushindwa kufanya kwa ufanisi jambo lolote lililo mbele yangu.

Kipindi nikiwa Nasoma A Level mpaka Chuo nilikua nashindwa hata kufanya presentation na ikitokea nimefanya basi jasho la kutosha litanimwagika na mapigo ya moyo kwenda kasi.

Katika maisha ya mahusiano Hofu inanipelekea kushindwa hata kutongoza wanawake na nikifanikiwa kumpata siku ya kua nae faragha basi hofu inanitawala mpaka kupelekea kushindwa kufanya tendo kwa ufanisi.

Tafadhari Naomba msaada katika hili.

Natamguliza Shukrani za dhati.
Jitahidi kujenga mitazamo ya kuwa unaweza kufanya jambo lolote pasipo kutegemea mtu yeyote amini Sana'a katika wewe, hiyo itakuongezeaa confidence mwenyewe.
Jitahidi kupangilia mambo yako vizuri kwa kupanga mikakati na taratibu zote za kulimaliza jambo lako kwa kuzingatia muda, hiyo itakusaidiaa kufanya jambo lako lijalo kiufanisi zaidi.
Ondoaa mawazo(stress) hii ni moja ya kitu inayopunguza confidence na kujenga hofu coz inakufanya unashindwaa kukabiliana na mambo yako muhimu unayopaswa kuyatekeleza.
 
Haya matatizo yanaanzia utotoni. Inaelekea wazazi wako hawakua wanakupa nafasi ya kujieleza, walikukaripia kila mara.

Katika malezi ni muhimu kumfahamisha mtoto ni kwanini afanye au asifanye kitendo fulani. Mtoto anapokataa kusalimia wageni pale pale mwambie hii si tabia nzuri ni lazima usalimie wageni na uwe na heshima kwa wanaokuzidi umri.

Wazazi wengi tunakaripia sana watoto na tunawafanya wapoteze kujiamni. Ukiwa na hasira zako na kwa bahati mbaya unazimalizia kwa mtoto muombe msamaha.

Jaribu kutoa hotuba fupi katika sherehe za marafiki zako. Hata kusoma masomo kanisani au kutoa ushuhuda inasaidia.
Nitazingatia haya Madam
 
Huu utawala ndio unakupa stress, na uoga maana ukigeuka huku simenti imepanda ukigeukia upande wa pili sukari imepanda sasa kwa nini usiwe na hofu mkuu
 
shukran ...ngoja nilifanyie kazi maana linanikosesha vitu vingi sana kwenye harakati zangu za upambanaji wa maisha.
🙏
Chochote unachofanya chukulia kawaida ukikosea..
Usiogope kuchekwa..jicheke mwenyewe halafu endelea...kubali makosa ni sehemu ya mafanikio ..slowly utaacha kupata hofu
 
Chochote unachofanya chukulia kawaida ukikosea..
Usiogope kuchekwa..jicheke mwenyewe halafu endelea...kubali makosa ni sehemu ya mafanikio ..slowly utaacha kupata hofu
Shukrani mkuu ...🙏

Maana hata walimu wangu walikua wananishangaa pale ambapo written exam nafanya vizuri lakini oral exam or maswali tu kawaida nashindwa kujibu... moyo unakua unakwenda kasi ya ajabu unahisi si muda utachana shati huku kichwa kinavurugika nasahau kila kitu hata pa kuanzia nakua sielewi.

Kuchangia kitu mpaka niwe pointed kwa kustukiza ila kwa kujipanga kwamba ninyooshe mkono kadiri muda unavyokwenda ndio kadiri nilipokua woga unazidi balaa mpaka naghairi.

Ni changamoto Kwa sababu dunia ya sasa haihitaji sana kuona ulifanya nini (vyeti) tu lakini pia unajua nini ndio hapo mtu atakuuliza mpo ana kwa ana mnatazamana usoni.

Kwenye interview nilizowahi kuhudhuria sijawahi waza kuhusu written sababu huko najua si shida sana... tatizo penye kujieleza mbele ya umati ndio balaa huanzia .....

Nitajitahidi kufanya hivyo mkuu na nitafurah siku moja hali hiyo initoke moja Kwa moja.......
 
Wakuu, Salaam.
Niende moja kwa moja katika mada. Mimi ndugu yenu nina tatizo la kuwa na hofu katika kila jambo ninalofanya na hili tatizo linapelekea kushindwa kufanya kwa ufanisi jambo lolote lililo mbele yangu.

Kipindi nikiwa Nasoma A Level mpaka Chuo nilikua nashindwa hata kufanya presentation na ikitokea nimefanya basi jasho la kutosha litanimwagika na mapigo ya moyo kwenda kasi.

Katika maisha ya mahusiano Hofu inanipelekea kushindwa hata kutongoza wanawake na nikifanikiwa kumpata siku ya kua nae faragha basi hofu inanitawala mpaka kupelekea kushindwa kufanya tendo kwa ufanisi.

Tafadhari Naomba msaada katika hili.

Natamguliza Shukrani za dhati.
Propranolol kidonge kimoja kila siku huenda zikakusaidia kwa tatizo hili.
 
Wakuu hili ni tatizo la akilii 'psychological' linaitwa anxiety yanakaribiana sana n bipolar na depression. Zamani yalikuwa kama malaria Tu kwa sasa hata dawa zake nadra mno kwani yalipatiwa chanjo.
Hofu kupita kiasi
Kujihisi kwamba watu wote wanakuangalia wewe muda wote
Kujivunia vitu/ sifa ambazo huna
Ushauri ************ dawa zipo mkuu na hilo ni tatizo linaeleweka kwa wataalam unapona kabisaaaa. Embu jaribu kubeba na uzito 'jim' kujaza bode kunaongeza komfidence
 
Wakuu, Salaam.
Niende moja kwa moja katika mada. Mimi ndugu yenu nina tatizo la kuwa na hofu katika kila jambo ninalofanya na hili tatizo linapelekea kushindwa kufanya kwa ufanisi jambo lolote lililo mbele yangu.

Kipindi nikiwa Nasoma A Level mpaka Chuo nilikua nashindwa hata kufanya presentation na ikitokea nimefanya basi jasho la kutosha litanimwagika na mapigo ya moyo kwenda kasi.

Katika maisha ya mahusiano Hofu inanipelekea kushindwa hata kutongoza wanawake na nikifanikiwa kumpata siku ya kua nae faragha basi hofu inanitawala mpaka kupelekea kushindwa kufanya tendo kwa ufanisi.

Tafadhari Naomba msaada katika hili.

Natamguliza Shukrani za dhati.
Ugonjwa wa wasiwasi unasabibishwa na nini? Kuna sababu nyingi zinazosababisha ugonjwa wa wasiwasi na zinahusiana. Sababu za aina ya magonjwa fulani ni tofauti na sio rahisi kutambulika. Sababu za kigenitiki (kurithiana) Inafahamika kuwa magonjwa ya wasiwasi hupatikana katika jamii fulani. Hali hii ni kama ile ipatikanayo katika jamii za watu walio na ugonjwa wa kisukari ama ugonjwa wa moyo. Watu waweza pia kushika hii tabia ya wasiwasi kutoka wazazi au watu wengine wa jamii. Sababu za kemikali Aina ya magonjwa ya wasiwasi mengine husababishwa, kidogo tu, na kukosekana na uzanifu wa kemikali zilizo kwenye ubongo Chembe akili (fahamu) ya bongo inayochunga hisia na tabia ya mtu linaweza kuhusika. Tabia Watu walio na tabia fulani hushikwa na magonjwa ya wasiwasi kwa njia rahisi kuliko wengine. Watu wanaoghafilika au kukasirika kwa haraka hushikwa na ugonjwa wa wasiwasi kwa urahisi.

Generalized Anxiety Disorder (GAD)​


Generalized Anxiety Disorder (GAD)​

  • Understanding GAD
  • Symptoms
  • Treatment Information
  • Tips to Manage Anxiety and Stress
  • Myths and Misconceptions
  • Helpful Resources

Understanding GAD​

Generalized Anxiety Disorder (GAD) is characterized by persistent and excessive worry about a number of different things. People with GAD may anticipate disaster and may be overly concerned about money, health, family, work, or other issues. Individuals with GAD find it difficult to control their worry. They may worry more than seems warranted about actual events or may expect the worst even when there is no apparent reason for concern.

GAD is diagnosed when a person finds it difficult to control worry on more days than not for at least six months and has three or more symptoms. This differentiates GAD from worry that may be specific to a set stressor or for a more limited period of time.

GAD affects 6.8 million adults, or 3.1% of the U.S. population, in any given year. Women are twice as likely to be affected. The disorder comes on gradually and can begin across the life cycle, though the risk is highest between childhood and middle age. Although the exact cause of GAD is unknown, there is evidence that biological factors, family background, and life experiences, particularly stressful ones, play a role.

Sometimes just the thought of getting through the day produces anxiety. People with GAD don’t know how to stop the worry cycle and feel it is beyond their control, even though they usually realize that their anxiety is more intense than the situation warrants. All anxiety disorders may relate to a difficulty tolerating uncertainty and therefore many people with GAD try to plan or control situations. Many people believe worry prevents bad things from happening so they view it is risky to give up worry. At times, people can struggle with physical symptoms such as stomachaches and headaches.

When their anxiety level is mild to moderate or with treatment, people with GAD can function socially, have full and meaningful lives, and be gainfully employed. Many with GAD may avoid situations because they have the disorder or they may not take advantage of opportunities due to their worry (social situations, travel, promotions, etc). Some people can have difficulty carrying out the simplest daily activities when their anxiety is severe. https://adaa.org/understanding-anxiety/generalized-anxiety-disorder-gad
Usipo pona kwa dawa za Kizungu aka (Hospitali) unaweza kutibiwa kwa dawa za Asili na ukapona kabisa maradhi yako.
 
 
Mkuu..huo ni ugonjwa tafuta wataalamu wa afya ya Akili..watakuandikia Dawa....uione haya Wala Aibu nenda mueleze doctor Hilo Tatizo UTAPATA TIBA SAHIHI...
 
Wakuu, Salaam.
Niende moja kwa moja katika mada. Mimi ndugu yenu nina tatizo la kuwa na hofu katika kila jambo ninalofanya na hili tatizo linapelekea kushindwa kufanya kwa ufanisi jambo lolote lililo mbele yangu.

Kipindi nikiwa Nasoma A Level mpaka Chuo nilikua nashindwa hata kufanya presentation na ikitokea nimefanya basi jasho la kutosha litanimwagika na mapigo ya moyo kwenda kasi.

Katika maisha ya mahusiano Hofu inanipelekea kushindwa hata kutongoza wanawake na nikifanikiwa kumpata siku ya kua nae faragha basi hofu inanitawala mpaka kupelekea kushindwa kufanya tendo kwa ufanisi.

Tafadhari Naomba msaada katika hili.

Natamguliza Shukrani za dhati.
Pole sana mkuu, nadhani una ugonjwa unaoingia katika makundi ya afya ya akili (mental health) unaitwa anxiety disorder...
Uzuri umeshajitambua na unaoambana kusolve..
Jaribu kuperuzi mtandaoni kwenye credible health education sources wanasuggest njia kadhaa za kupambana tatizo pia kutibia.

Usitie kidonge chochote mwilini bila kushauriwa na daktari hasa specialist wa afya ya akili.

*Ukipata access ya specialist wa afya ya akili, psychologist hata counsellor wanaweza kuwa na moja au mbili la kukusaidia.
*Jaribu kukaa na watu wanaokukubali kwa hali yako na unaokuwa nao huru zaidi na ufanyie mazoezi baadhi ya mambo unayoona yanakushinda sana kama hiyo low self esteem, public speaking, emotional inteligence issue n.k

UTAKAA SAWA NDUGU, MUNGU NI MWEMA SANA.
Best of luck.
 
Back
Top Bottom