Poa wakuu tufanye cost breakdown ya hizo hekari na mabanda ya mwanzo kama ni fence au nini ili tujue vizuri....
Katika pita pita zangu pia nimeona hii (Raising Goats for Meat)
http://extension.umd.edu/publications/PDFs/FS816.pdf
This might be the begging of something good :)
Tena kama ardhi...
Mkuu don't you think this is a means to an end..?, hata kama motive za hao France ni self interest wouldn't you rather have a Somalia and East Africa without Al Shabab..?,Dont you think sometimes an enemy of my enemy is my friend ?, or would you rather have Al Shabab and everytime you shop or...
Tena huenda kutafuta wawekezaji wa kuwekeza ambayo huenda ikawa a complicated process na wakaonekana wana maslahi binafsi (10%) wanaweza waka-mobilize watu huko vijijini wakawajengea biofuels domes ambazo wakulima watatumia samadi na kupata gesi ya kupikia bila gharama ya kuni wala mafuta ya taa..,
I guess maybe you are writing a novel or something and you are putting up a plot nimeona hii online from yahoo answers maybe itakusaidia kwenye kitabu chako (or any creative work your doing) ila kama your suicidal talking to friends na solving the problems might help (no fun in running away from...
Duh Karibu hizi hodi nyingine kwakweli hata ukiwa bafuni unazisikia...!!!
Karibu Jamvini :)
The Return of.... per uur per uur....
karibu tena au ndio karibu ya mara ya kwanza ?
Anyway karibu is karibu
kwahiyo KARIBU
Mkuu hata kama ipo kichwani hio ni business plan, huwezi kwenda popote bila kuwa na plan (kwahiyo hata wewe kwenye project zako ulikuwa na plan) hata kuuza nyanya unakuwa na plan..
Ila uzuri wa kuwa na well written plan inakusaidia kujua at an instant time upo wapi na unatakiwa uende wapi na...
Mkuu welcome aboard to the really Tanzania, nadhani wananchi wameshachoka na kinachowaumiza sana sio wewe kupigwa waka kufungwa bali wenyewe kudhulumiwa na kupigwa na maisha magumu kila siku..
Huenda kupigwa kwako na wewe utaonja siri ya kata ambayo mtungi ndio unajua..., welcome to the really...
Nadhani hii inakuwa na manufaa sana kwako sababu kama mtu alimuua ndugu yako kwa mateso au hawa wanaotoa kiungo cha binadamu (au hata rape) inaweza kuacha kovu la maisha kwa mtu ambalo ni mateso kuliko hata kifo..., nadhani watu kama hawa kupewa instant kifo inakuwa ni kama wameget off lightly
Mkuu tatizo moja mtu akikubali kosa ili amuokoe mwingine (mfano mtoto wake) hapo tatizo lipo sababu jambazi anaweza akawa ameokoka na mtu mzuri ameokoka..,
Pili gharama ya kuhukumu kifo ni kubwa mno kwanza lazima watu wapate uhakika zaidi na zaidi kwamba kweli alifanya alafu ikija kubainika...
Mkuu inabidi usome mazingira nakumbuka kipindi England anafungwa na Brazil (Baada ya Ronaldinho, kumuaibisha David Seaman) nilikuwa nimezungukwa na washabiki wote wa England, kipindi hicho mechi zilikuwa asubuhi.., ilibidi nijikaze kushangilia na niende chooni kidogo ili nikashangilie huko na...
Its a Terrorist Attack "Inciting Terror to people" and no matter who has done it or what has caused it needs to be stopped.., and As I have told you first Al Shabab promised to do such incident, and remember I told you these Terrorists group they work in cells which means they have no one leader...
Okay kwa haraka haraka mbuzi kumnunua mdogo kabla ya kumlisha ni kiasi gani na akishafikia marketable price ni kiasi gani kumuuza
Na is it cheaper and more profitable kuwa-breed kabisa au..?
Na soko lake vipi hapo Bongo kuna mdau niliona kwenye post fulani anasema hii issue hata Comoro hii nyama...
Mkuu watu wanahamishwa sababu hapo ndio pazuri (ardhi yenye value)
Kuhusu huku kila mtu apewe ardhi 20000 nakupinga kabisa kwahiyo na population itakavyoongezeka zaidi hizo ardhi watu walizopewa zitakuwaje si ndio kuleta matabaka makubwa huku...
Binafsi nadhani turudi kwenye dhana za Mwalimu...
Hivi hili jambo najiuliza kila siku...!!!, kama kweli hizi venture ni this profitable kwanini serikali isifanye yenyewe na inacost kiasi gani (ili iweze ku-keep 100% profit)
Kwanini kwenda kuuza ili jamaa waje wafanye tena jamaa ambao hawana uchungu na jamii husika...?
Alafu unadhani mkulima wa...
Another point to remember...!!! kuna mazao yanaozea mashambani huko vijijini cha kufanya ni kushinikiza serikali ipeleke miundombinu mpaka huko ili mazao yaweze kufika sokoni kwa urahisi uone kama bei hazitashuka automatically...
Ni mengi ya kuyafanya na yote yanakuja kwenye jibu moja tu...
Mkuu huku ni ku-tackle tatizo kwa njia ambayo sio sahihi.., badala ya kulazimisha mtu auze sukari kwa 2,500/= hakikisha supply inaongezeka.., alafu kumbuka hakuna mfanyabiashara honest popote pale.., na hata kule kwa wenzetu competition inakuwa kubwa sababu ya purchasing power ya watu ni kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.