Kwa wajasiliamali, wafanyabiashara na wanaoelewa....

Husninyo

JF-Expert Member
Oct 24, 2010
23,723
9,189
Kama tayari una mawazo ya kufanya biashara, je ni kipi kifatie baada ya mawazo hayo.
A. Kutafuta mtaji hivyo utafanya biashara yako kutegemea na mtaji ulionao.
B. Kufikiria aina ya biashara unayotaka kufanya kwahiyo utatafuta mtaji na location kutokana na aina ya biashara unayoifikiria?
C. Kutafuta location ya biashara yako halafu uanze kufikiria aina ya biashara ya kufanya hapo.
Natanguliza shukrani.
 
kwa mtazamo wangu Husninyo, baada ya kufanya upembuzi yakinifu, kuhusu soko la bidhaa au huduma ninayotoa, kinachofuata ni kuandika business plan ili niweze kupata mkopo benki. Kama ulikuwa na savings itakuwa vizuri zaidi, au kama unaweza pata mtu akukopeshe bila riba.
Baada ya hapo ndiyo uanze kutafuta location. Ni vizuri kama utapata sehemu isiyo mbali sana na wateja wako, hii itakupunguzia gharama za usafirishaji.
 
Nadhani wazo B ni sahihi zaidi, ukiwa na wazo kwanza alafu ukalitafutia mtaji na location inakuwa rahisi kufanya yaliyo kichwani kuliko kufanya biashara usioipenda ila tu inakubaliana na mtaji!
 
Kwanza wazo linaanza, ukiwa na wazo la biashara ni muhimu kabla ya kuandika BP fanya ka-utafiti kidogo ili kukazia wazo lako ama kidhungu wanasema 'feasibility analysis'. takwimu utazopata kutokana na ka-utafiti ndio utatumia kuandaa BP ambayo nato utaitumia kama road map katika kuanzisha biashara yako...
 
Kila biashara huhitaji business plan lakini tokana na wazo lako zote ni njia zinazoweza tumika fanya biashara ikitegema kwa mfano mtaji wako ni elfu hamsini unaweza uka nza biashara nje kwako kama genge au biashara za mfano huo.kwa location unaweza kwenda mahali ukaangalia trafic ya watu ukaona hapo ni aina gani ya biashara good example of this is machinga this can also research.kila biashara itategemea na wewe mwenyewe unamsukumo gani na unataka kuanza vipi
 
Kama tayari una mawazo ya kufanya biashara, je ni kipi kifatie baada ya mawazo hayo.
Kwahiyo tayari unayo mawazo ya kufanya biashara inategemea hayo mawazo yanahusu nini ?, just biashara as biashara au biashara fulani kulingana na opportunity ulizoziona na unajua kwamba zitalipa. kwahiyo ni nini kifuate !!??? (swali juu ya swali)

A. Kutafuta mtaji hivyo utafanya biashara yako kutegemea na mtaji ulionao.
Ofcourse huwezi kuanza bila mtaji unless unaweza ukafanya mali kauli yaani unakopa bidhaa na kuzifanyia kazi alafu ndio unalipa.., mtaji ni bottleneck ambayo itakuwa ni limit kwako unaweza kufanya nini..?, ila sio lazima upate mtaji wote unaweza kuanza kidogo kidogo hatua kwa hatua na wewe unakua kulingana na mtaji unavyokua ukisubiri upate pesa zote huenda usiweze kuanza kabisa.

B. Kufikiria aina ya biashara unayotaka kufanya kwahiyo utatafuta mtaji na location kutokana na aina ya biashara unayoifikiria?
Kufikiria ni jambo muhimu sana planning is very important "People dont plan to fail they fail to plan" na "if you dont plan where you are going any road will take you there"..., hivyo basi kama haujafikiria cha kufanya lazima kwanza ufikirie A to Z ila nadhani hii utakuwa ulishanfanya kwenye swali lako

Kuhusu location; location haikusubiri kama utaipata kwa urahisi ni bora uichukue chap chap na kufanyia kazi mtaji pia kumbuka maisha ya sasa hayaitaji kufikiria biashara ndio utafute opportunity bali ukiona opportunity ifanyie kazi pale pale..."Opportunity Never Comes Twice.." inabidi kuact instantly..., wewe ukiona sehemu fulani unaweza kuuza sana nyanya usingoje kwanza mpaka uanze kuwaza na kuwazua wewe chukua meza weka nyanya zako na uanze kuuza.
C. Kutafuta location ya biashara yako halafu uanze kufikiria aina ya biashara ya kufanya hapo.
Mhh hapa utakuwa umeweka "a cart infront of a horse" sasa utajuate ni location gani unayotafuta ?

Unless upo kwenye biashara ya real estate ya kutafuta location na kuuza ila kumbuka location yoyote ambayo ipo karibu na watu ni mali sana ikipatikana hii chukua tu huwezi kukosa kazi ya kuifanyia worse case scenario utajenga frame au duka na kukodisha watu

Natanguliza shukrani.
Hapana Shukrani wewe kwa swali zuri :)
 
swali ilako ni nzuri na majibu yote yanawezekana kuukika kuanzia biashara madhlani mtaji ni muhimha kwa kuanzia biashara na kwa lugha ya kitaalamu inaitwa entry level kwa mfano ukiwa na mtaji wa elfu hamsini biashara utaakazo fikiria ni level ya genge kuuza magazeti au mgahawa na mtaji unavyoongezeka na mawazo yako yanapanuka.
kwa kutumia fikira mwisho wa siku utarudi kwenye mtaji maana huwezi kufikiria kuanzisha kiwanda ili hali mtaji wako ni mdogo .Fikira itakupa msukumo wa kujua biashara gani ya kuanzia
Location ni swala kubwa sana katika kulta mauzo na kuangalia ni biashara gani inaweza fanyika wapi a good example ni machinga na location waliokuwa nazo na aina ya biashara wanayofanya.Kwenye nchi zilizoendela kuna concept za mall kama mlimani city that is a good example ya location ilpofunguliwa kama utakumbuka vizuri kulikuwa na kampuni za nje then bank zikafuata leo hii ukienda mlimani city utakubali ni location nzuri ya biashara.
cha muhimu sana katika buashara yoyote ni businees plan na ukiandika business plan stick to it ilii uweze kufanya evaluation
 
kwa mtazamo wangu Husninyo, baada ya kufanya upembuzi yakinifu, kuhusu soko la bidhaa au huduma ninayotoa, kinachofuata ni kuandika business plan ili niweze kupata mkopo benki. Kama ulikuwa na savings itakuwa vizuri zaidi, au kama unaweza pata mtu akukopeshe bila riba.
Baada ya hapo ndiyo uanze kutafuta location. Ni vizuri kama utapata sehemu isiyo mbali sana na wateja wako, hii itakupunguzia gharama za usafirishaji.

Nadhani wazo B ni sahihi zaidi, ukiwa na wazo kwanza alafu ukalitafutia mtaji na location inakuwa rahisi kufanya yaliyo kichwani kuliko kufanya biashara usioipenda ila tu inakubaliana na mtaji!

from a good business idea, follows a bankable business plan

B Is a right jibu

B wazo kwanza, utafiti ikiwa ni pamoja na location inayofaa kisha mtaji

Kwanza wazo linaanza, ukiwa na wazo la biashara ni muhimu kabla ya kuandika BP fanya ka-utafiti kidogo ili kukazia wazo lako ama kidhungu wanasema 'feasibility analysis'. takwimu utazopata kutokana na ka-utafiti ndio utatumia kuandaa BP ambayo nato utaitumia kama road map katika kuanzisha biashara yako...

Kila biashara huhitaji business plan lakini tokana na wazo lako zote ni njia zinazoweza tumika fanya biashara ikitegema kwa mfano mtaji wako ni elfu hamsini unaweza uka nza biashara nje kwako kama genge au biashara za mfano huo.kwa location unaweza kwenda mahali ukaangalia trafic ya watu ukaona hapo ni aina gani ya biashara good example of this is machinga this can also research.kila biashara itategemea na wewe mwenyewe unamsukumo gani na unataka kuanza vipi
wakuu ahsanteni, naona sasa nina changamoto ya kuilewa hiyo red vizuri.

Kwahiyo tayari unayo mawazo ya kufanya biashara inategemea hayo mawazo yanahusu nini ?, just biashara as biashara au biashara fulani kulingana na opportunity ulizoziona na unajua kwamba zitalipa. kwahiyo ni nini kifuate !!??? (swali juu ya swali)


Ofcourse huwezi kuanza bila mtaji unless unaweza ukafanya mali kauli yaani unakopa bidhaa na kuzifanyia kazi alafu ndio unalipa.., mtaji ni bottleneck ambayo itakuwa ni limit kwako unaweza kufanya nini..?, ila sio lazima upate mtaji wote unaweza kuanza kidogo kidogo hatua kwa hatua na wewe unakua kulingana na mtaji unavyokua ukisubiri upate pesa zote huenda usiweze kuanza kabisa.


Kufikiria ni jambo muhimu sana planning is very important "People dont plan to fail they fail to plan" na "if you dont plan where you are going any road will take you there"..., hivyo basi kama haujafikiria cha kufanya lazima kwanza ufikirie A to Z ila nadhani hii utakuwa ulishanfanya kwenye swali lako

Kuhusu location; location haikusubiri kama utaipata kwa urahisi ni bora uichukue chap chap na kufanyia kazi mtaji pia kumbuka maisha ya sasa hayaitaji kufikiria biashara ndio utafute opportunity bali ukiona opportunity ifanyie kazi pale pale..."Opportunity Never Comes Twice.." inabidi kuact instantly..., wewe ukiona sehemu fulani unaweza kuuza sana nyanya usingoje kwanza mpaka uanze kuwaza na kuwazua wewe chukua meza weka nyanya zako na uanze kuuza.

Mhh hapa utakuwa umeweka "a cart infront of a horse" sasa utajuate ni location gani unayotafuta ?

Unless upo kwenye biashara ya real estate ya kutafuta location na kuuza ila kumbuka location yoyote ambayo ipo karibu na watu ni mali sana ikipatikana hii chukua tu huwezi kukosa kazi ya kuifanyia worse case scenario utajenga frame au duka na kukodisha watu


Hapana Shukrani wewe kwa swali zuri :)
barikiwa sana. nimejifunza vitu hapo.

swali ilako ni nzuri na majibu yote yanawezekana kuukika kuanzia biashara madhlani mtaji ni muhimha kwa kuanzia biashara na kwa lugha ya kitaalamu inaitwa entry level kwa mfano ukiwa na mtaji wa elfu hamsini biashara utaakazo fikiria ni level ya genge kuuza magazeti au mgahawa na mtaji unavyoongezeka na mawazo yako yanapanuka.
kwa kutumia fikira mwisho wa siku utarudi kwenye mtaji maana huwezi kufikiria kuanzisha kiwanda ili hali mtaji wako ni mdogo .Fikira itakupa msukumo wa kujua biashara gani ya kuanzia
Location ni swala kubwa sana katika kulta mauzo na kuangalia ni biashara gani inaweza fanyika wapi a good example ni machinga na location waliokuwa nazo na aina ya biashara wanayofanya.Kwenye nchi zilizoendela kuna concept za mall kama mlimani city that is a good example ya location ilpofunguliwa kama utakumbuka vizuri kulikuwa na kampuni za nje then bank zikafuata leo hii ukienda mlimani city utakubali ni location nzuri ya biashara.
cha muhimu sana katika buashara yoyote ni businees plan na ukiandika business plan stick to it ilii uweze kufanya evaluation
nashukuru kwa kuwekea mkazo hapo.
 
Duh! ata mimi nimepata Hamasa na bizness planning. hili neno nimelisikia 20yrs ago.Sijawahi kutumia Business plan kama ilivyosisitizwa na members hapo juu .nimeshafungua na kufunga miradi kibao na bizness plan huwa ipo kichwani Tu.
ukichunguza watanzania wengi tunaandika business plan za uongo uongo ili upate loan Bank,ukishapata loan hiyo biznes plan unaiweka kabatini full stop.
nimehamasika kuandika business plan ya ukweli ukweli kwa matumizi yangu binafsi Tu.kama mdau alivyosema hapo juu ,ili niweze kufanya Monitoring and Evaluation ya ukweli kufuatana na business plan niliyoipanga
 
Duh! ata mimi nimepata Hamasa na bizness planning. hili neno nimelisikia 20yrs ago.Sijawahi kutumia Business plan kama ilivyosisitizwa na members hapo juu .nimeshafungua na kufunga miradi kibao na bizness plan huwa ipo kichwani Tu.
ukichunguza watanzania wengi tunaandika business plan za uongo uongo ili upate loan Bank,ukishapata loan hiyo biznes plan unaiweka kabatini full stop.
nimehamasika kuandika business plan ya ukweli ukweli kwa matumizi yangu binafsi Tu.kama mdau alivyosema hapo juu ,ili niweze kufanya Monitoring and Evaluation ya ukweli kufuatana na business plan niliyoipanga

Mkuu hata kama ipo kichwani hio ni business plan, huwezi kwenda popote bila kuwa na plan (kwahiyo hata wewe kwenye project zako ulikuwa na plan) hata kuuza nyanya unakuwa na plan..

Ila uzuri wa kuwa na well written plan inakusaidia kujua at an instant time upo wapi na unatakiwa uende wapi na kama ume-meet objectives au una-lag behind.

  • A good business plan inakuonyesha strengths, weaknesses, threats na opportunies za kuweza kufanya..
  • A good business plan inakuwa na objectives ambazo ni SMART (Specific, Measurable, Achievable, Realistic, na within a Time Frame)
  • A good business plan inakuwa na financials zote (na inakwambia uuze nini kwa bei gani ili uweze kubreak even na lini utabreak even) kwahiyo hii ni indicator nzuri kuonyesha unapoanza kuanguka
  • A good business plan ni kama msaafu ambao ukifata yote uliyoandika basi utafika pale unapotaka na usipofika utajua ni kwa nini haujafika na unaweza ukai-tweak ili uweze kufika
 
jamani na mie nimehamasika. kuna yeyote ana sample/template ya business plan aka-share na sisi, please
 
Back
Top Bottom