Habari wakuu?
Kuna binti nipo nae kwenye mahusiano kwa miezi sita sasa. Nilikutana nae kwenye mgahawa mmoja nilipokuwa naenda kupata chakula. Mimi bado sijaoa na sina familia maisha yangu mengi nakula kwenye migahawa.
Nilimpenda kiukweli hatimaye nikawa nae. Binti huyu akuniambia mama ameolewa...
Habari wakuu?
Nina printer aina ya EPSON L850 changamoto niliyonayo nashidwa ku print PVC card. Naomba msaada wa jina la software ili niweze ku download nifanye hii shughuli.
Ahsante.
Wakuu habari?
Naomba msaada jinsi ya ku root Infinix S5 bila kutumia PC
Model: x652
Android version: 9 (Pie)
Nimejaribu kwa kingroot naona haifanyi kazi inagoma kuwa installed, Kama kuna app nyingine naomba mnijuze
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu?
Naomba kufahamu vitu vifuatavyo ili niweze kugharisha meno yangu kutoka unjano uliokelea nipate tabasamu zuri?
Gharama za ku bleach/ whitening kama ni kwa jino au kinywa kizima?
Matibabu yanachukua siku ngapi ili meno kubadilika kutoka unjano uliokolea haswa mpaka weupe?
Clinic...
Habarini wakuu?
Cheti changu cha kuzaliwa kimekosewa kuandikwa kidogo jina langu na limepishana na jina la liliopo kwenye vyeti vya kitaaluma. Ambapo nimepata changamoto halmashauri kunipokea katika ajira mpya.
Nilikuwa naomba kujua kwa hapa Dar es salaam mahakamani inayohusika ni ipi na iko...
Habarini wakuu?
Kuna dogo wangu ana certificate ya nursing anataka kwenda clinical officer.
Je anaruhusiwa kubadili fani?
Vigezo vipi vinatumika?
Nawasilisha...
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini wakuu?
Naomba kujua kama kuna mabasi yanafanya route za Mbeya to Mwanza
Basi nzuri ni lipi ?
Gharama zake zikoje?
Zitapita route ipi?
Na inachukua muda gani kufika mwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu, Kuna ndugu yangu kapangiwa huko kikazi naomba kujua mambo haya.
Gharama za usafiri kutoka Dar mpaka Kalambo na unapanda magari yanayoenda wapi?
Hali ya mazingira ikoje hasa kwa miundo mbinu kama maji na umeme
Gharama za gest house zikoje maana hana ndugu wa kufikia
Vyumba vya...
Habari wakuu?.
Nina simu yangu aina ya iPhone 3G imepasuka kioo na kugoma ku touch, naomba kujua gharama zina range kiasi gani kubadilisha kwa hapa Dar es Salaam. Kama mnavyojua wajanja ni wengi nisije nikavamia mafundi wasio na ubora nikapigwa pesa ambayo siyo halali na simu kutofanyiwa...
Habari wakuu?
Nina simu aina ya Vodafone VDF 301. ambayo inatumia laini mbili moja lazima iwe ya vodacom
Tatzo lipo kwenye kutumia data (internet) imekuwa guided kwa lain one tu ( ambayo ni ya vodacom) huwezi kutumia laini nyingine incase of internet.
Naomben Msaada wenu kwenye utatuzi wa...
Habari wakuu,
nilikuwa naomba kujua software ware ipi ambayo ni FREE kupakua katika mtandao ambayo itanisaidia kuchora graphs,hasa za takwimu ambazo sio ngumu ( not complicated mathematics)
Habari wakuu,
Nime install hii application ya GB Whatsapp lakini napata ugumu wa ku quote Ujumbe wa mtu binafsi katika group, tofaut na ile Whatsapp ya mwanzo niliyokuwa nnimezoea.
Kwa mwenye ujuzi wa hii kitu anijulishe
Habarini wakuu!
Kuna mdogo wangu hapa amemaliza chuo cha uuguzi (nursing) mwaka jana, ngazi ya Cheti na kupata GPA 4.5 na alikuwa anategemea kupata ajira mwaka huu (ambazo serikali hutoa kwa kuwapangia vituo vya kazi)
Alijaribu kutuma maombi sehemu mbalimbali katika hospitali binafsi na za...
Habari wakuu,
Nimeibiwa simu yangu aina ya TECNO J5 (lakini niliinstall avast anti-theft), nawezaje kuitrack simu yangu niipate?
Pia simu yangu ipo rooted, je hata akiiflash naweza kuipata tu?
Habari wakuu, nilijaribu kuingia YouTube ili niweze ku download movies tajwa hapo juu,nimeshindwa Kutokana na ninazozipata kuwa katika lugha ambayo ni tofaut na kiingereza.
Kwa aliye na link anisaidie ambayo aina barriers zozote Kama changamoto baadh zilizokutana wakat nataka ni download...
Wasalamu wakuu!!!!
Naomba kwa yeyote anayefahamu program nzuri nitayoweza kuinstall kwenye PC, ili iwe rahis kuamisha mafaili ,kwa sababu kuna shughuli nzito ya kuhamisha mafaili yenye GB kubwa nataka nifanye
Nawasilisha
Habari wakuu, naomba kufahamu Kama kuna app ya kublock call, ambayo akipiga simu isipatikane kabisa na Siyo itoe notification ya kwamba simu inatumika Kama app Zingine zinavyofanya.
Habari, wakuu kuna mdogo wangu amefanya malipo M PESA toka Jana 26.07.2016 saa 7.04pm cha ajabu hadi sasa navyojaribu kumfanyia application inagoma nakutania na Ujumbe wa namna hii
Habari wakuu,
Hii kitu imenitokea kwangu na ninahisi mwanaume mwezangu simtendei haki, kuna binti mmoja nilikuwa naye kwenye mahusiano kipindi cha nyuma, tukapotezana takribani miaka miwili, kutoka na shughuli za kimasomo na wakawa wamehama mkoa moja kwa moja.
Mimi na yeye tukakubaliana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.