apologize
JF-Expert Member
- Jul 22, 2015
- 710
- 568
Habari wakuu?
Naomba kufahamu vitu vifuatavyo ili niweze kugharisha meno yangu kutoka unjano uliokelea nipate tabasamu zuri?
Gharama za ku bleach/ whitening kama ni kwa jino au kinywa kizima?
Matibabu yanachukua siku ngapi ili meno kubadilika kutoka unjano uliokolea haswa mpaka weupe?
Clinic zinazotoa huduma hizo? ( kwa Dar es salaam au Mbeya itakuwa njema kwa location hizo) hata ukitaja na mikoa mingine uzi utakuwa faida kwa wengine.
Nawasilisha
Naomba kufahamu vitu vifuatavyo ili niweze kugharisha meno yangu kutoka unjano uliokelea nipate tabasamu zuri?
Gharama za ku bleach/ whitening kama ni kwa jino au kinywa kizima?
Matibabu yanachukua siku ngapi ili meno kubadilika kutoka unjano uliokolea haswa mpaka weupe?
Clinic zinazotoa huduma hizo? ( kwa Dar es salaam au Mbeya itakuwa njema kwa location hizo) hata ukitaja na mikoa mingine uzi utakuwa faida kwa wengine.
Nawasilisha