Habari wakuu,
nimeibiwa simu yangu aina ya TECNO J5, nawezaje kuitrack simu yangu niipate, pia simu yangu ipo rooted je h
Hapo ni 50/50 km una imei naHabari wakuu,
nimeibiwa simu yangu aina ya TECNO J5, nawezaje kuitrack simu yangu niipate, pia simu yangu ipo rooted je hata akiiflash naweza kuipata tu?
50/50Habari wakuu,
nimeibiwa simu yangu aina ya TECNO J5, nawezaje kuitrack simu yangu niipate, pia simu yangu ipo rooted je hata akiiflash naweza kuipata tu?
...Habari wakuu,
nimeibiwa simu yangu aina ya TECNO J5, nawezaje kuitrack simu yangu niipate, pia simu yangu ipo rooted je hata akiiflash naweza kuipata tu?
Mkuu mimi nina imei ya simu yangu iliyoibiwa. nafanyaje ili kuweza kupata simu yangu?...
Fanya hivi piga huduma kwa wateja ya mtandao ulio kuwa unatumia kwenye hiyo simu.. Wape information zotee.. Ucjali kuhusu IMEI ...wao wanayo.. Then uta directiwa mpaka simu yako ilipo haijalishi imeflashiwa au imezima.... Inatrakika vizuri kabisaaaa.... ASANTE
Hauwezi kuipata wewe kama wewe.... kampuni za simu zinaweza kutrack hiyo kitu kwa imei.Mkuu mimi nina imei ya simu yangu iliyoibiwa. nafanyaje ili kuweza kupata simu yangu?