Politics: Yeye alikuwa mwenezi na aliwafokea mawaziri na wakuu wa mikoa na wilaya pamoja na watendaji wa Serikali, tusubiri mwenezi ajaye aje kumfokea na yeye 🤣🤣
Katika mradi ambao LOWASSA alishiriki kuusimamia kikamilifu kama waziri mkuu wa Tanzania kipindi cha serikali ya awamu ya nne ni:
1. Ujenzi shule za kata
2. REA - Umeme vijijini
3. Uchimbaji visima vijijini
4. Upungufu wa umeme nchini (mgao)
5. Ufugaji wa ranch
Tuongezee mengine
RIP legend
Wazee wa Kata ya Kwekanga Wilayani Lushoto Mkoani Tanga wamezuia chanzo cha maji kutokutoa maji hadi kufanyike tambiko mara baadaya ya Mkandarasi kwenda kuanza mradi bila kuwashirikisha Wazee hao.
Akielezea sakata hilo Meneja wa Mamlaka ya Maji (RUWASA) Wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga Mhandisi...
Leo ni siku ya kuzaliwa nguli wa Tiba za kisayansi za mwili wa binaadamu hususani moyo na figo si mwengine ni professor MOHAMMED YAKUBU JANABI
LONG LIVE MZEE you really helped our country and society
Tunakupenda Sana professor Janabi
Happy birthday [emoji512][emoji324][emoji512] hope...
SOMA KWA UMAKINI
Kuna kitu kinaitwa cellular adaptation.
Ukijua hii huwezi kununua dawa za kuongeza uume au matako.
Iko hivi cells za mwili wa binadamu ukiziweka kwenye stress iwe ya muda mrefu au mfupi zinafanya adaptation.
Na hizi adaptation ziko kama ifuatavyo:-
1. Hypertrophy
Hapa cells...
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Halima Dendego amewataka Wanafunzi wa Vyuo vya Kati na Vyuo Vikuu Mkoani Iringa kuacha tabia ya kuanzisha ndoa zinazodumu miaka mitatu ya masomo yao na pindi wanapomaliza masomo ndoa hizo huishia hapo jambo ambalo linapelekea Wanashuka hao kushuka kitaaluma.
Dendego...
Wanachama na Wafuasi wa Chama cha Republican Nchini Marekani wamelalamikia uamuzi wa uliotolewa na Mahakama Kuu ya Colorado wa kuondoa jina la Rais wa zamani wa Nchi hiyo Donald Trump katika karatasi ya kura ya uchaguzi wa awali wa Republican unaotarajia kufanyika mwakani 2024
Mahakama hiyo...
Vatican imethibitisha marufuku iliyopo kwa waumini wa kanisa katoliki kuwa wanachama wa muungano wa Freemasons.
Waraka mpya uliotiwa saini na Papa Francis umesema mafundisho ya Kikatoliki na uanachama wa Freemason hayawezi kutangamana au hayapatani.
Barua hiyo iliyotolewa na ofisi ya...
Wizara ya Uchukuzi imesema inategema kukutana na Wizara ya Fedha ili kuweka utaratibu wa kusaidia sekta ya anga hasa kwa kampuni zinazounganisha na kutengeneza ndege nchini.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Profesa Godius Kahyrara ameyasema hayo baada ya kutembelea Kampuni ya Airplane Africa...
Mimi nakumbuka hapa niliwahi kupeleka mzazi feki shule halafu akanipiga kofi.[emoji23][emoji23]
Nilishapigana na Mwalimu tukigombania bint mmoja hivi cheupe wee alinimaindi mpaka namaliza shule[emoji1787][emoji1787]
Weka kituko chako hapa.
Naandika Huu Uzi nikiwa na hisia nzito Sana Kwa maana ya harakati za kimaisha.ni ukweli usio pingika kuwa kila mbuyu ulianza kama Mchicha Ila unapofika Hali ya kuwa kama mbuyu yaani namaanisha umeshakua vizuri kiuchumi,umetoboa au umeyapatia hapa kuna tatizo Huwa linaanza kujitokeza.
Tatizo...
Moja kati ya taarifa kubwa kuanzia Wiki iliyopita hadi Wiki hii ni taarifa ya uzazi na visababishi vyake kutoka kwenye Ripoti ya Afya ya Uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria ya 2022 iliyozinduliwa hivi karibuni na Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Ripoti hiyo inaonesha kuwa utafiri...
TAARIFA KWA UMMA
Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) unawaarifu abiria wetu wa usafıiri wa Mabasi Yaendayo Haraka maarufu Mwendokasi, kuwa leo Novemba 5, 2023 Saa 6:30 Mchana, barabara ya Morogoro eneo la Jangwani imefungwa.
Changamoto hii inasabishwa na Mvua kubwa inayoendelea kunyesha Dar...
#HABARI Vijana wawili ambao ni wezi wa simu kwa kutumia pikipiki maarufu kama 'Vishandu' ambao majina yao hayajajulikana mara moja wamenusurika kuuawa na wananchi katika eneo la Barabara ya Lenana Kilimani Nairobi nchini Kenya baada ya kukwapua simu kutoka kwa mwanamke mmoja na kushindwa...
Kwenye hii list masters zipo chache mno wengi Wana degree moja Tu
World Leaders Qualification
[emoji631] Joe Biden: Bachelor's in History & Political Science
[emoji2406] Yoon Suk-Yeol: Masters Law
[emoji635] Vladimir Putin: Law
[emoji1128] Narendra Modi: Masters Political Science
[emoji1191]...
Serikali ya Ufaransa imetangaza kurudisha dola milioni 150 [TZS bilioni 371.6] mali iliyoibwa kutoka kwa Wanigeria na aliyekuwa kiongozi wa zamani wa nchi hiyo, Hayati Jenerali Sani Abacha pamoja na familia yake.
Tangu kifo cha Abacha, ambaye alihudumu kama kiongozi wa kijeshi kuanzia mwaka...
Duniani kuna aina mbili za watu Aina ya kwanza ni ya watu walio Amua kufanikiwa;
Aina ya pili ni ya watu walioamua kuwasindikiza watu walioamua kufanikiwa;
Sifa za watu walioamua kufanikiwa.....
¹】Wana malengo ya muda mrefu na muda mfupi yalioandikwa
²】Wame tengeneza mipango itakayo wawezesha...
Kenya. Wanaume wawili
wamekamatwa na jeshi la Polisi nchini Kenya kwa kosa la kuficha magunia 26 ya dawa za kulevya aina ya bangi ndani ya kanisa.
Tovuti ya Taifa Leo ya nchini humo imesema mbali na magunia hayo ya bangi watuhumiwa pia wamekutwa na nyama ya mbuzi pamoja na vifaa vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.