Trump aondolewa kugombea uraisi 2024 nchini marekani

101 East

JF-Expert Member
Feb 25, 2015
1,040
2,121
Wanachama na Wafuasi wa Chama cha Republican Nchini Marekani wamelalamikia uamuzi wa uliotolewa na Mahakama Kuu ya Colorado wa kuondoa jina la Rais wa zamani wa Nchi hiyo Donald Trump katika karatasi ya kura ya uchaguzi wa awali wa Republican unaotarajia kufanyika mwakani 2024

Mahakama hiyo imesema uamuzi huo ni kutokana na ushiriki wa Trump katika kubadilisha matokeo ya uchaguzi wa Rais wa mwaka 2020

Uamuzi huo umesimamishwa baada ya kuwasilishwa kwa rufaa katika Mahakama ya Juu ya Marekani lakini haujazuia wengi ndani ya Chama hicho ikijumuisha baadhi ya wapinzani wa Rais huyo wa zamani kujadili uamuzi huo na kusema si wa Kidemokrasia na ni miongoni mwa majaribio ya kuondoa uamuzi wa kuchagua mgombea Urais wa Republican mikononi mwa wapiga kura

Kutokana na Trump kuwekewa pingamizi na zaidi ya dazeni ya majimbo, Mwenyekiti wa Republican Ronna McDaniel ametumia mtandao wa kijamii wa X (zamani ikijulikana kama Tweeter) kueleza kutokubaliana kwake na uamuzi huo na kudai ni kuingilia mambo ya uchaguzi wa ndani ya Chama cha Republican

Sent from my 21061119AG using JamiiForums mobile app
 
Wanachama na Wafuasi wa Chama cha Republican Nchini Marekani wamelalamikia uamuzi wa uliotolewa na Mahakama Kuu ya Colorado wa kuondoa jina la Rais wa zamani wa Nchi hiyo Donald Trump katika karatasi ya kura ya uchaguzi wa awali wa Republican unaotarajia kufanyika mwakani 2024

Mahakama hiyo imesema uamuzi huo ni kutokana na ushiriki wa Trump katika kubadilisha matokeo ya uchaguzi wa Rais wa mwaka 2020

Uamuzi huo umesimamishwa baada ya kuwasilishwa kwa rufaa katika Mahakama ya Juu ya Marekani lakini haujazuia wengi ndani ya Chama hicho ikijumuisha baadhi ya wapinzani wa Rais huyo wa zamani kujadili uamuzi huo na kusema si wa Kidemokrasia na ni miongoni mwa majaribio ya kuondoa uamuzi wa kuchagua mgombea Urais wa Republican mikononi mwa wapiga kura

Kutokana na Trump kuwekewa pingamizi na zaidi ya dazeni ya majimbo, Mwenyekiti wa Republican Ronna McDaniel ametumia mtandao wa kijamii wa X (zamani ikijulikana kama Tweeter) kueleza kutokubaliana kwake na uamuzi huo na kudai ni kuingilia mambo ya uchaguzi wa ndani ya Chama cha Republican

Sent from my 21061119AG using JamiiForums mobile app
trump ni chawa wa VLADMIR PUTIN ndo kilichomponza!!! ata alivoingia madarakani U.S.A walilalamika RUSSIA waliingilia mfumo wa kidigitali wa USA,,,,,,,
 
Wanachama na Wafuasi wa Chama cha Republican Nchini Marekani wamelalamikia uamuzi wa uliotolewa na Mahakama Kuu ya Colorado wa kuondoa jina la Rais wa zamani wa Nchi hiyo Donald Trump katika karatasi ya kura ya uchaguzi wa awali wa Republican unaotarajia kufanyika mwakani 2024

Mahakama hiyo imesema uamuzi huo ni kutokana na ushiriki wa Trump katika kubadilisha matokeo ya uchaguzi wa Rais wa mwaka 2020

Uamuzi huo umesimamishwa baada ya kuwasilishwa kwa rufaa katika Mahakama ya Juu ya Marekani lakini haujazuia wengi ndani ya Chama hicho ikijumuisha baadhi ya wapinzani wa Rais huyo wa zamani kujadili uamuzi huo na kusema si wa Kidemokrasia na ni miongoni mwa majaribio ya kuondoa uamuzi wa kuchagua mgombea Urais wa Republican mikononi mwa wapiga kura

Kutokana na Trump kuwekewa pingamizi na zaidi ya dazeni ya majimbo, Mwenyekiti wa Republican Ronna McDaniel ametumia mtandao wa kijamii wa X (zamani ikijulikana kama Tweeter) kueleza kutokubaliana kwake na uamuzi huo na kudai ni kuingilia mambo ya uchaguzi wa ndani ya Chama cha Republican

Sent from my 21061119AG using JamiiForums mobile app

Habari yako haileweki. Kwenye heading yako unadai Trump kazuliliwa kugombea Urais Marekani, lakini ndani ukisoma ni kwamba Mahakama ya juu imemruhusu kugombea. Punguza utapeli.
 
trump ni chawa wa VLADMIR PUTIN ndo kilichomponza!!! ata alivoingia madarakani U.S.A walilalamika RUSSIA waliingili mfumo wa kidigitali wa USA,,,,,,,

Hakuna kitu Kama hicho. Ni propaganda za kumchafua. Shida ni kwamba Trump hatokei kwenye political class ni outsider.
 
trump ni chawa wa VLADMIR PUTIN ndo kilichomponza!!! ata alivoingia madarakani U.S.A walilalamika RUSSIA waliingilia mfumo wa kidigitali wa USA,,,,,,,
Sio kweli, Trump ni mmoja kati ya watu wanaopinga kazi za shetani ikiwemo ushoga. Hivyo hawa watu wa new world order freemasons wanaona ni adui wao na marekani imetekwa na shetani kwa sasa.
 
Hakuna kitu Kama hicho. Ni propaganda za kumchafua. Shida ni kwamba Trump hatokei kwenye political class ni outsider.
Unapobisha,bisha kwa evidence,ok mimi nakupa evidence ya kusapoti ninachokiamini,na wewe naomba upinge kwa evidence,,naanzia nyuma,bifu la USA na RUSSIA,halijaanza leo papaa!! bifu lilianza tangu tangu RUSSIA ikijulikana kama USSR, yaani muunngano wa nchi kibao kama kina CHECHNYIA na wenzake,unaona bhana,,,,sasa muungano wa AMERIKA[USA], ilikuwa na wivu na chuki sana juu ya muungano huo wa USSR,kwani USSR ya wakati huo ilikuwa na uchumi mkubwa,nguvu ya kubwa ya kisiasa za kimataifa na nguvu nene yenye kitambi ya kijeshi,,ndo enzi za vita baridi{sijui kama ulikwa umeshazaliwa au ulikuwa bado shahawa!!!,,,,sasa ilikuwa jambo la kawaida majasusi wa USA{CIA] na majasusi wa USSR{KGB} kubutuana na kuanzia mahotelini,barabarani,mpaka mitaani yaani likuwa balaa!!! hatimae majasusi wa USA wakashinda kwa kumpachika madarakani marehemu rais wa RUSSIA wa wakati huo kwa jina la MICHAEL GORBASHEV,,umeona wee dogo!!!!!,,,basi mission kubwa aliyopewa mzee huyo[GORBASHEV ni kuismbaratisha USSR,,na kweli alifanikiwa ndo mataifa kibao yakajitoa kwenye muungano wa USSR,,,,na ndo ikabaki RUSSIA unayoona leo[RUSSSIA iliyokonda]...mzee GORBASHEV baada kumaliza kazi yake huyoooo akaenda kuishi USA na akawa mwalimu wa chuo kikuu kimoja huko sina uhakika sana na icho chuo kwa jina ila nahisi kama HAVARD au OKLAHOMA!!!!,,,sasa huko RUSSIA wakatulia na wakaona m2 sahihi wa kuweka mambo saw ni KACHERO "VLADMIR PUTIN..unaona dogo!!!!!basi baada ya PUTIN kuingia madarakani,,,akakaa na majasusi wenzie kuona namna ya kulipiza kisasi,,,huku na huku ndo wakacontact na sponsor wa mieleka na ngumi TRUMP{kumbuka jamaa alishamsponsor TYSON] sasa muhuni TRUMP akachukua akachukua form na kugombea,,kama unakumbuka,,,kuna masanduku ya kura mengine yalipostiwa POLAND,BELARUS na nchi kadhaa za ulaya mashariki{hayo masanduku ni yale yaliyotokea kwenye majimbo yaliyokuwa yakitoa upinzani mkali kwa MUHUNI TRUMP!!!,,,,,ok,,,uku kwenye kura za online RUSSIA akaingilia,basi,TRUMP akawini mazee na USA walilalamika sana!!!!!,,kama unakumbuka wakti vita ya RUSSIA na UKRAINE imepamba moto,MUHUNI TRUMP lisikika akisema,,,nikirudi madarakani vita ya RUSSIA na UKRAINE itaisha faster!!!...okay,sasa pinga kwa hoja,,,usitumie blablaaa!!!
 
Back
Top Bottom