101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,040
- 2,121
Katika mradi ambao LOWASSA alishiriki kuusimamia kikamilifu kama waziri mkuu wa Tanzania kipindi cha serikali ya awamu ya nne ni:
1. Ujenzi shule za kata
2. REA - Umeme vijijini
3. Uchimbaji visima vijijini
4. Upungufu wa umeme nchini (mgao)
5. Ufugaji wa ranch
Tuongezee mengine
RIP legend
1. Ujenzi shule za kata
2. REA - Umeme vijijini
3. Uchimbaji visima vijijini
4. Upungufu wa umeme nchini (mgao)
5. Ufugaji wa ranch
Tuongezee mengine
RIP legend