Habari natafuta mtu wa kuuza duka la vifaa vya kompyuta
Vigezo
Awe mkazi wa Arusha Mjini.
Awe anajua kufanya troubleshooting za kompyuta.
Awe anajua vizuri spea za kompyuta na desktop na jinsi ya kubadilisha.
Awe anajua kutoa kauli nzuri kwa wateja( high capable in customer care).
Awe anajua...
Nafasi ya kazi kuuza duka la vifaa vya TEHAMA:
Kituo cha kazi: Arusha mjini
Mwisho wa kupokea maombi: 14 May 2021
Taarifa kuhusu kazi:
Anahitajika mfanyakazi wa kuuza duka la vifaa vya TEHAMA (Computer networking accessories).
Kazi za kufanya:
• Kuuza vifaa vya data kwa wateja watakaofika...
Habari natafuta mtu wa kuuza duka la vifaa vya kompyuta ambapo vile vile dukani hapo inatolewa huduma za kiufundi.
Vigezo
Awe mkazi wa Arusha Mjini.
Awe anajua kufanya troubleshooting za kompyuta.
Awe anajua vizuri spea za laptop na desktop na jinsi ya kubadilisha.
Awe anajua kutoa kauli nzuri...
Habari mimi ni mtafuta kazi naomba kuuliza hawa auxiliary police wanajiunga vipi na depo wanapigia wapi na malipo yao nataka nijiunge elimu yangu ni diploma umri ni miaka 24
jamani watu tumesoma kwa shida inafikia mtu unatembea toka ubungo mpaka posta kutafuta degree sababu ya ugumu wa maisha unapata ajira serikali inasitisha ajira kupisha uhakiki mpaka leo mambo hayaeleweki watoto wa masikini mnatuua jamani kila jitihada zinashindikana tu.
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES
INTERNAL ADVERTISEMENT
Background – TANESCO TANESCO - Welcome to TANESCO website
Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products for Tanzanians. Next to its current...
Habar wadau naomba msaada ninataka kufungua internet cafe vifaa nilivyonavyo ni computer (8) switch( 16ports) Rj-45 na cable modem naombeni simple explanation about how to connect between switch and computer and how to determine if computer is connected to switch welcome
Wanajamii wenzangu naomba ushauri kuna tanroads wametangaza ajira mimi nipo kwenye mko husika ambako hizo ofisi za tanroads zinaajiiri nilituma maombi kwa njia ya posta ila nimesikia wenzangu wamepeleka pale pale ofisini kwa mkono, je nitapata haki sawa na wale waliopeleka kwa mkono? Au naweza...
Wadau naomba kujuzwa kuhusu hawa viettel wametoa same posts kwa awamu tatu tofauti kuna MTU ashawah itwa kwenye usaili katika kipindi cha april , June and July?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.