Wanajamii wenzangu naomba ushauri kuna tanroads wametangaza ajira mimi nipo kwenye mko husika ambako hizo ofisi za tanroads zinaajiiri nilituma maombi kwa njia ya posta ila nimesikia wenzangu wamepeleka pale pale ofisini kwa mkono, je nitapata haki sawa na wale waliopeleka kwa mkono? Au naweza andika tena barua halaf nikapeleka kwa mkono na mimi kama wenzangu naombeni ushauri kitaa kugumu