Jiajiri umiliki kampuni yako kama Mimi Mungu akipenda huwa nauhakika wa tsh 50.000.000 kwa mwezi. Naajiri vijana nawalipa laki nane before tax wananiana gwiji sana wakati sometimes naona huruma wataishije. Jichomoe upo kwenye trap mbaya sana mkuu
Ni vizuri zaidi ukaweka mawazo yako hapa ili kuwasaidia na vijana wengine wasio na ajira waweze kujiajiri mkuu kwani kusema tu jiajiri haitoshi kumkomboa asiye na ajira.
wanahitajika watu wenye uzoefu katika soko la ajira ili kuwasaidia wengine pia jinsi ya kujikwamua katika giza nene mkuu.