Tangu bunge hili limeanza vikao vyake tangu 2020 lilipowekwa na jiwe sijawahi kupoteza muda wangu kulifuatilia, na sitolifuatilia hadi litakapoisha muda wake.
Habari wadau,kama ww ni mfuatiliaji wa muziki bila shaka utakuwa unawajua wanamuziki hawa.Je kwa mtazamo wako nani ana kipaji kuliko mwenzake?mimi kwa mtazamo wangu naonal Whitney houston ana kipaji kikubwa kuliko Celine Dion,wewe je unaonaje?
Habarini wakuu,naomba kuuliza hivi huyu jamaa O.T wa kitenge siku hizi yuko wapi?Nilikuwa namkubali sana enzi hizo EATV na kipindi cha JUKE BOX baadaye akahamia TBC.Nashauri wadau mlioko humu mnaomiliki vituo vya tv mtafuteni huyu jamaa muanzishe vipindi vya oldies,yaan mm napenda sana nyimbo za...
simu yangu aina ya huawei y540 imejizima ghafla nimeiflash mara mbili inatulia kwa muda wa kama wiki mbili then inazima vp hapo tatizo ni nini?na mpaka sasa nikiichaji haiingizi tena chaji
Habari wakuu,nasikia korea kusini na kaskazini ilikuwa taifa moja yaani korea.Sasa sababu gani ilsababisha taifa hili la korea kumeguka na kuzaliwa Korea mbili?mwenye data tafadhali
Nina simu yangu huawei y 540 ambapo mesagge zimekuwa zikijirudia rudia yaan mfano nimezima simu nikiiwasha messge hata nilizotumiwa cku za nyuma zinarudi hata kama nimeshazifuta je nn tatizo?nifanyeje kuondoa tatizo hili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.