Kuna mtoto wa kike nilikuta nae maeneo flani hivi nikaona ameng'oa meno yote ya mbele. Na alikuwa kama anamiaka 6 ambaye ni sawa na umri wa mtoto wangu. na mm hapa kuhusu mtoto wangu hajang'oa jino hata moja nikahisi labda mtoto wangu meno yanaweza kuja kuanza kuoteana. na ukizingatia watoto...
Najua ktk nchi hii kuna matatizo mengi sana zaidi ya yale ambayo tunayaona. kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikiwaona polisi wakiwa ktk hali ambayo sii ya kulidhisha. kuanzia kimuonekano wa kimavazi nk.
Na ukizingatia polisi hawa watu wanawatumia ktk mambo yao mengi sana.
Lakini juzi nimeshangaa...
Sisi mwalimu nyerere tulikuwa tunamfahamu jamaa haiwezekani akachukue picha ya babu yake halafu akawadanganyishia watu kwamba ndio mwalimu nyerere.
Sent from my SM-G950F using Tapatalk
Kuna mtu mwingine kufafana na mtu fulani inakuwa ni kosa. Kwa jinsi saizi maisha yalivyo magumu kuna watu wanaweza wakamkuta huyo mzee wakamtandika makofi wakijua ni makufuli kabisa.
Kwahiyo serikali ingefikira kumtafutia ulinzi.
Sent from my SM-G950F using Tapatalk
Wakati duniani watu wanajitahidi kutafuta marafiki wa kweli. hata wakuja kuzikana tu.
lakini huu ndio urafiki wa fisi mm nikajuaga fisi huwa wanatamaa kwa vitu vingine tu. Kumbe huwa wanajifanyaga wanauomoja wanawinda pamoja wakula mifupa pamoja.
Lakini kumbe ni wanafiki tu. na kila fisi...
Duniani mtu haitakiwi ujiulize utafia wapi. ila cha msingi inabidi ujiulize siku ukifa utakumbukwaje.
Leo ktk pita pita zangu nimekutana na hiyo picha na nimependa jinsi alivyo kumbukwa na nikataka kumjua kiundani zaidi huyo shujaa ni nani.
Na inawezekana kabisa mwaka 2020 upinzani wasipate mbunge hata mmoja. kila kitu duniani ukitaka kufanikiwa ni lazima ucheze tekniki kali sana. hasa kwenye maswala ya kisiasa. Hata vyama vingi vikubwa afrika na duinani kwa ujumla wanafanya hivyo.
Tunajua ktk nchi yetu upinzani umepitia ktk...
Kama jinsi mnavyo fahamu simu original ni bei sana na wafanya biashara wanapo amua kufanya biashara wanaangalia ni wapi kwenye urahisi.
Mm kama fundi nimeweza kugundua kwamba simu nyingi ambazo zipo sokoni tanzania ni original saketi tu lakini vitu vingine vyote vinakua havina ubora ule...
Kuna watu ukiwaambia maswala ya kucheza game atakuambia hayo maswala ya kucheza game ni watoto tu. lakini wanasahau kwamba watu wanaotengeza hayo magame ni watu wenye akili nyingi sana.
Mm ni mcheza magame mzuri sana ikipita siku mbili sijacheza sijiskii vizuri.
Na siku moja nilijiuliza hivi...
Siku zote imekuwa ni kawaida mitandao ya kijamii kubadilishana habari na ninadhani utamaduni wa habari ndio upo hivyo kwa sababu hii dunia ni kubwa sana kwahiyo chombo kimoja cha habari tu hakiwezi kujikamilisha.
Na ninawashukuru sana uongozi wa JF ukileta hapa habari lazima waombe na chanzo...
Barabarani nimeona imekuwa ni kawaida kwa wiki lazima nikute mbwa wawili au tatu wamekufa kwa kugongwa na magari na tena mara nyingine unakuta ni katikati ya mji lakini unakuta yule mbwa kila gari linalopita pale lazima liikanyage hadi unakuta mbwa amebaki vipande vipande.
Afadhali hapo Iringa...
Najiuliza kwanini pasaka kila mwaka inakuwa na tarehe yake?
Na kwanini pasaka ya leo wasinge itenganisha na siku kuu ya wajinga. Ili kuipa pasaka uzito?
Kwasababu leo watu wengi kila kitu wanakichukulia ni masihara tu.
Au kuwekwa sikuu ya wajinga na pasaka siku moja ni fumbo ambalo wakristo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.