Hili ndio tatizo la simu original hadi watu wengi wanaona bora tecno

hazole1

JF-Expert Member
Jan 3, 2015
4,319
3,911
Kama jinsi mnavyo fahamu simu original ni bei sana na wafanya biashara wanapo amua kufanya biashara wanaangalia ni wapi kwenye urahisi.

Mm kama fundi nimeweza kugundua kwamba simu nyingi ambazo zipo sokoni tanzania ni original saketi tu lakini vitu vingine vyote vinakua havina ubora ule unaotakiwa kuwa kwenye simu original.
Na hizi simu mapungufu yake ni kwamba kwanza
Zinaingiza vumbi kiurahisi pili zinaingiza maji kiurahisi
Na tatu hizi simu ni rahisi sana kupasuka touch pamoja kioo na grass ya nyuma.
Hata chaji yenyewe huwa hazikai sawa na simu ile yenyewe iliyotoka kiwandani.

Hizi simu ni za namna gani? hiz simu zinaitwa simu original walizo repair. kwamaana ya kwamba hizi simu ni zile mtu alinunua dukani huko mpya akaitumia akaona inamsumbua au ilipasusuka kioo kwahiyo china kuna makampuni yanadili na hizi simu sio kwamba labda simu ikiharibika kama ni samsung inatarudishwa samsung au iphone nk.

Na hizo simu mara nyingi zina zikisha fanyiwa matengenezo zinabandikwa na mastika mengi mengi ya kichina kwenye mfuniko au kwene sehemu ya kufungia nati.


Ukikutana na simu ya namna hiyo unaweza ukawa unazichukia simu original na ukaona ni bora utumie tecno au infinix kwa sababu infinix unapata ni mpya kama mpya. Na Unaikuta simu imewekwa ktk mazingira mazuri.

Kama mtu unataka simu original mpate jamaa anaye uza simu iriginal kutoka south kwa maana wale jamaa serikali yao ipo vizuri sana kuhusu kuingiza vitu fake. na ndio maana wao kila simu inayo ingia ingia south inakaguliwa vizuri sana kwa sababu wao bandarini nasikia maabara kwaajili ya kukagulia ubora wa vitu vinavyo ingia nchini mwao na simu nyingi lazima wazikipige nembo ya ICASA.


Au mtu kama unataka simu origanal kutoka nje agiza simu used ambayo labda unakuta kuta kule imetumika miezi mitatu na iwe ni ile ya grobal yani ambayo inatumika ulimwengu mzima.
Wasikuletee ile simu yenye 4g tu ili isije ikakusumbua network. kwa sababu afrika sehemu nyingi network hatuna network ya 4g Inatakiwa upate ile simu ambayo inasoma kuanzia 2g 3g na 4g

Tanzania watu wengi wameuziwa vitu ambavyo vipo chini ya kiwango kwa kutegemea tbs ipo. lakini toka tbs imezuia simu fake kuingia tanzania ukiangalia hamna kilicho badilika na kama simu fake ndio imekuwa kama ndio laana.
Na saizi kama unataka kununua kitu inatakiwa uwe makini sana.





Sent from my SM-G950F using Tapatalk
 
Kwahiyo Tecno sio orijino?

Hebu tuambie "original" kwa uelewa wako ni nini?
Hadi simu inaitwa original inamaana kunasehemu
Lazima ipitie na ikaguliwe vya kutosha na wa ndio waseme kwamba hii simu ni original. Lakini tecno hizo sehemu tecno hawajazipeleka simu zao wanaogopa kuabika. kwa mfano ukiingia gsmalena ktk listi ya makampuni ya simu ambayo wanayakagua wao tecno sijui itel hazipo.


Sent from my SM-G950F using Tapatalk
 
Hadi simu inaitwa original inamaana kunasehemu
Lazima ipitie na ikaguliwe vya kutosha na wa ndio waseme kwamba hii simu ni original. Lakini tecno hizo sehemu tecno hawajazipeleka simu zao wanaogopa kuabika. kwa mfano ukiingia gsmalena ktk listi ya makampuni ya simu ambayo wanayakagua wao tecno sijui itel hazipo.


Sent from my SM-G950F using Tapatalk

SWADAKTA, jibu murua kabisa!
 
Acha kudanganya watu mkuu, ungeongelea simu original na refurbished mfano original Samsung na refurbished Samsung.

Halafu mtu bila aibu eti ana rely kwenye gsmarena peke yake as if wao ndo wanatengeneza hardware au software ya hizo simu.

Basi kwa kifupi simu kama tecno au infinix huwezi kusema sio original ila unaweza kusema zimepitwa ubora na big brands, but that doesn't make them fake.

Hii link ni ya website ya android ambao ndo wanatoa certificates kwa makampuni mbalimbali ya simu duniani ili yaweze kutumia android os. Tusikariri jamani kwamba makampuni ya simu ni Samsung, HTC, Sony na brands nyingine kubwa tu kuna brands nyingine nyingi sana na zinatumika fresh tu. Soma hiyo list na utaziona simu ambazo wewe fundi unasema hazitambuliki, ila Google inazitambua na zipo certified.

Link Android – Certified - Partners

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kudanganya watu mkuu, ungeongelea simu original na refurbished mfano original Samsung na refurbished Samsung.

Halafu mtu bila aibu eti ana rely kwenye gsmarena peke yake as if wao ndo wanatengeneza hardware au software ya hizo simu.

Basi kwa kifupi simu kama tecno au infinix huwezi kusema sio original ila unaweza kusema zimepitwa ubora na big brands, but that doesn't make them fake.

Hii link ni ya website ya android ambao ndo wanatoa certificates kwa makampuni mbalimbali ya simu duniani ili yaweze kutumia android os. Tusikariri jamani kwamba makampuni ya simu ni Samsung, HTC, Sony na brands nyingine kubwa tu kuna brands nyingine nyingi sana na zinatumika fresh tu. Soma hiyo list na utaziona simu ambazo wewe fundi unasema hazitambuliki, ila Google inazitambua na zipo certified.

Link Android – Certified - Partners

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya hazole1 una la kujitetea hapa?
Swali la kizushi: Hakuna SamsunG feki?
 
Hadi simu inaitwa original inamaana kunasehemu
Lazima ipitie na ikaguliwe vya kutosha na wa ndio waseme kwamba hii simu ni original. Lakini tecno hizo sehemu tecno hawajazipeleka simu zao wanaogopa kuabika. kwa mfano ukiingia gsmalena ktk listi ya makampuni ya simu ambayo wanayakagua wao tecno sijui itel hazipo.


Sent from my SM-G950F using Tapatalk
Una kiwango gani cha elimu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kudanganya watu mkuu, ungeongelea simu original na refurbished mfano original Samsung na refurbished Samsung.

Halafu mtu bila aibu eti ana rely kwenye gsmarena peke yake as if wao ndo wanatengeneza hardware au software ya hizo simu.

Basi kwa kifupi simu kama tecno au infinix huwezi kusema sio original ila unaweza kusema zimepitwa ubora na big brands, but that doesn't make them fake.

Hii link ni ya website ya android ambao ndo wanatoa certificates kwa makampuni mbalimbali ya simu duniani ili yaweze kutumia android os. Tusikariri jamani kwamba makampuni ya simu ni Samsung, HTC, Sony na brands nyingine kubwa tu kuna brands nyingine nyingi sana na zinatumika fresh tu. Soma hiyo list na utaziona simu ambazo wewe fundi unasema hazitambuliki, ila Google inazitambua na zipo certified.

Link Android – Certified - Partners

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukizungumzia wataalamu wa kukagua simu bila kuwataja gsmalena unakuwa haujawazungumzia wakagua simu kamili.
Je ww unaweza ukaniambia ni kwanini tecno infinix itel hawaja peleka simu zao gsmalena zikaguliwe?

Sent from my SM-G950F using Tapatalk
 
Ukizungumzia wataalamu wa kukagua simu bila kuwataja gsmalena unakuwa haujawazungumzia wakagua simu kamili.
Je ww unaweza ukaniambia ni kwanini tecno infinix itel hawaja peleka simu zao gsmalena zikaguliwe?

Sent from my SM-G950F using Tapatalk
Ni gsmarena. Umeicheki hiyo list? Unadhani makampuni ndo yanapeleka simu gsmarena? Hiyo link niliyokupa umeona simu zote zipo listed gsmarena? Kwa hiyo na zenyewe ni fake? Majibu unayo kichwani kama kweli wewe ni fundi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni gsmarena. Umeicheki hiyo list? Unadhani makampuni ndo yanapeleka simu gsmarena? Hiyo link niliyokupa umeona simu zote zipo listed gsmarena? Kwa hiyo na zenyewe ni fake? Majibu unayo kichwani kama kweli wewe ni fundi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mm sijasema kwamba tecno sio kwamba sio nzuri sana ila ninacho sema tecno bado haijafikiwa kuwa na viwango vya kudunia.

Sent from my SM-G950F using Tapatalk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom