hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,911
Kuna mtoto wa kike nilikuta nae maeneo flani hivi nikaona ameng'oa meno yote ya mbele. Na alikuwa kama anamiaka 6 ambaye ni sawa na umri wa mtoto wangu. na mm hapa kuhusu mtoto wangu hajang'oa jino hata moja nikahisi labda mtoto wangu meno yanaweza kuja kuanza kuoteana. na ukizingatia watoto wa siku hizi wanakuwa haraka sana kama kuku. lakini nikaona sio mbaya hili swala naweza kulifikisha kwa wataalam wa hapa jf mnishauri kwa faida ya wengi.