hadi sijapaelewaKasomea sana ufupisho huyo!
Utata sana mkuu; inahitaji sarufi ya hali ya juu kuelewa hapohadi sijapaelewa
"Sekta binafsi waonyesha wachina nchi kipaumbele" sentensi tata hii.
Well said mkuuHao ndio waandishi wa kileo, ndio ujue elimu imeshuka sana. Mwanafunzi anayehesabiwa anajua kusoma na kuandika hadi leo hajui kutofautisha neno hamna - amna, hapana - apana..... kazi kweli kweli tubaki kusema kiswahili ni lugha yetu...... hii ni aibu
ni utovu nidhamu siyo utovu wa nidhamu mkuuDaktari ashangaa kukuta utovu wa nidhamu bungeni alooo
Tetetetetetetetetetetete
Utani na Wahaya huuHao ndio waandishi wa kileo, ndio ujue elimu imeshuka sana. Mwanafunzi anayehesabiwa anajua kusoma na kuandika hadi leo hajui kutofautisha neno hamna - amna, hapana - apana..... kazi kweli kweli tubaki kusema kiswahili ni lugha yetu...... hii ni aibu
Kinachonikela -- KinachonikeraWell said mkuu
Na hakuna kitu kinachonikela kama neno "EMBU" Kwenye sentence mfn "Embu twambie......"What is embu means??