Kipigwe ban
Na we ni zao la hivyo vitabu? Soma title yako vizuri "tuhalibia" ndio nn
Shem angalia vizuriOngeza maneno kidogo tukupate
Ndio hasara ya shule za kata , mwingine huyuNa we ni zao la hivyo vitabu? Soma title yako vizuri "tuhalibia" ndio nn
Bado aiseeShem angalia vizuri
We akili yako ni kama ya hiyo wizara yako. Kwana nini wakubali kutoa Vitabu vya ovyo kiasi hicho kwa watoto wetu. Watu Wa aina yako wanaotetea ujinga ndo Wa...chawi Wa nchi hii kabisa.Wizara ishatoa ufafanuzi lakin bado mnabwabwaja tuu..
Haahah unakuta ni katibu Wa soko ....so sijui mihtasari anaandikaje....Ndio hasara ya shule za kata , mwingine huyuView attachment 765660
Kwenye suala la vitabu ,si kila kitabu kinachotolewa bas kimeidhinishwa na wizara kufundishia darasan hapana,labda ungetuonesha kwamba hicho kitabu kimeidhinishwa...pia kumbuka kupitia taarifa ya wizara waliyotoa Leo kuhusu issue ya vitabuWe akili yako ni kama ya hiyo wizara yako. Kwana nini wakubali kutoa Vitabu vya ovyo kiasi hicho kwa watoto wetu. Watu Wa aina yako wanaotetea ujinga ndo Wa...chawi Wa nchi hii kabisa.
Hicho kitabu kwa taarifa yako hakipo shuleni.We akili yako ni kama ya hiyo wizara yako. Kwana nini wakubali kutoa Vitabu vya ovyo kiasi hicho kwa watoto wetu. Watu Wa aina yako wanaotetea ujinga ndo Wa...chawi Wa nchi hii kabisa.
Hapo nimeelewa. Lakini napata hofu kidogo kwa sababu shule nyingi za serikali zinakuwa na uhaba wa vitabu. kwahiyo wakati mwingine unakuta mtu anapenda kumnunulia mtoto wake vitabu ili aendelee kujisomea halafu ghafla anakutana na kitabu kama hicho.