Habari senyu kwa mpigo.
Kwa wale wenzangu na mimi vibonge suluhisho hili hapa. Hapa kati niliongezeka uzito kwa kiwango kikubwa sana, kasheshe ikawa ni jinsi gani nitapungua kufanya mazoezi kidogo ni mvivu na pia hata muda wa kufanya mazoezi sina. Nimekunywa juice ya ukwaju wapi? maji moto na...
Kuna hii stori wapendwa, maana kwanza nimecheka kuliko maelezo
Huyu mkaka ni kiwembe balaa, yaani sketi haimpiti kila siku kubadilisha tu wadada. Ila kuna siku akakutana na kiboko yake. Sasa juzi kati kakutana na mdada amekuja kwa ajili ya semina mahali, kama kawaida akamtongoza na hivi mdada...
Huwa najiuliza mara nyingi lakini nakosa jibu zuri, naomba nipate mawazo tofauti tofauti, inaweza kutusaidia wengi wetu.
Wanandoa wengi hasa wa miaka ya sasa, wakikorofishana korofishana baada ya muda wanachoamua ni tuachane bwana kila mtu ataanza nataka niishi kwa amani, nahitaji furaha mimi...
Leo asubuhi nimekutana na huyu mtoto akanikumbusha hichi kisa, kinaweza kutusaidia pia kujifunza kitu. Ni cha kweli wapendwa msianze kuchakachua
Kuna jirani yetu alizaa na mwanaume watoto wawili hawakufunga ndoa ila waliishi pamoja kwa muda na kuachana maisha yakaendelea. Kuna kipindi...
Habari zenu wana Jf,
nimepata kisa cha kusikitisha muda si mrefu na nimeamua nikiweke hapa jamvini kinaweza kutusaidia katika kufanya maamuzi yakikukuta.
Kuna mkaka namfahamu yeye ni mume wa mtu na amefumaniwa na mke wa mtu. Inasemekana mume wa huyo mdada mwizi na mke wa mkaka mwizi...
Hivi wapenzi, mtu unakua na mpenzi wa toka enzi hizo mko vijana anaondoka anaenda kusoma anarudi mnaanza tena mahusiano anakwambia anataka mzae unamwambia subiri kidogo nimalizie mambo Fulani, anasema poa hazipiti siku unamkuta na demu anakwambia huyu tulikutana tu sio mtu wangu kivile...
Wapwaz na binamuz habari za asubuhi, wakubwa shikamoni, natumaini mmeamka salama wapenzi. Hebu nisaidieni katika hili kwa nini inatokea anaekupenda wewe humpendi na matokeo yake unampenda ambae anakutamani tu lakini hana upendo na wewe na mwisho wa siku anakuumiza? Kwa wasioolewa nimelenga hasa...
Habari senu wana JF wote nafurahi kuwa pamoja nanyi kwani mmefanya maisha yangu kuwa ya furaha sana. Jamani mimi kama mimi toka nianze kuingia JF maisha yangu yamekuwa ya raha na furaha sana mpaka nimeanza kunenepa. Mkoloni akinikera nakuja malizia stress humu, wamoyo akinikera nakuja malizia...
Ladies and Gentle men!!!!
If Women Would Welcome Their Husband Like this There Will Be No Divorces
Pole kwa kazi mume wangu, unaanza na bia au kiburudisho?
Kazi kwenu kina mama/dada ..
Yaliyojiri sikukuu ya idd B/F akamualika G/F aende kwake kumtembelea gf akaenda baada ya muda bf akaaga naenda mjini mara moja halafu akatoa mzigo akamwambia usitoke kuna rafiki yangu atafuata huu mzigo ni wa muhimu dada akasubiri subiri na wewe ikafika ucku saa mbili ikabidi aukague huo mzigo...
Jamani hapa JF watu tunakuja kupunguza stress, tumekerwa na wenzi wetu, tumekerwa na mabosi na mengine mengi. Kwa upande wangu huwa baada ya kero kama hizo naingia JF mara moja kupunguza hizo stress na nikitoka humu nimefarijika vya kutosha. Sasa kinachonishangaza utakuta watu wanaleta mastress...
Kaka zangu pamoja na yote tunayozungumza humu wadada kwamba hatupendi mariooo, mara kibamia hitimisho ni kwamba mdada akikupenda kwa dhati hayo yote huwa hayajali kabisa kama huna pesa utapewa na kama una kibamia (ila kinachosimama) atakwambia tu nifanye hv na vile tukae staili hii ili mradi...
Nina rafiki yangu jana jioni aliniita na kuniomba ushauri sasa nimeshindwa hata cha kumshauri kwani sina uhakika, ndio maana nimeamua kulileta hapa kwenu mnisaidie mawazo.
Huyu dada anadai kazini kwao alikutana na mkaka siku moja wakati wa lunch yaani ile kumuona tu akatokea kumpenda ghafla...
Infi (hasa jinsia me) muwashukuru sana watengenezaji wa ze valuu na ze konyegi maana zinawasaidia sana kwenye ku du ze nidi fulu mana bila hizo wengi wangekuwa wanaadhirika uongo?
Waume wengi wa siku hizi (sio wote) ndio maana tunawaita wanaume suruali mwanaume kazi kupiga mizinga mara nitumie vocha, au anakuita kukupa ofa halafu anasema mimi nalipia chakula vinywaji unalipa wewe, sasa uliniitia nini kama unaona huna hela. Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima...
Wadau kuna huu msemo kwamba wanaume ni wachache wanawake wengi. Huo sio ukweli kabisa wanaume wako wengi sana ila wale wenye vigezo na wanaofaa ndio wachache. Nakaribisha mashambulizi
Wadau mimi sijui nijiite mdada au mmama, nina miaka 30 na nina mtoto mmoja ana miaka tisa. Nina kazi yangu nzuri kiasi inakidhi my basic needs including food, clothes and shelter.
Nimekaa najisikia mpweke nahitaji mwanaume ambaye ameshataliki au mkewe bahati mbaya amefariki lakini sio na ukimwi...
Wadau mimi sijui nijiite mdada au mmama, nina miaka 30 na nina mtoto mmoja ana miaka tisa. Nina kazi yangu nzuri kiasi inakidhi my basic needs including food, clothes and shelter.
Nimekaa najisikia mpweke nahitaji mwanaume ambaye ameshataliki au mkewe bahati mbaya amefariki lakini sio na ukimwi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.