Nahitaji mwanaume alietaliki au kufiwa na mkewe

Maty

JF-Expert Member
Aug 24, 2010
2,167
725
Wadau mimi sijui nijiite mdada au mmama, nina miaka 30 na nina mtoto mmoja ana miaka tisa. Nina kazi yangu nzuri kiasi inakidhi my basic needs including food, clothes and shelter.
Nimekaa najisikia mpweke nahitaji mwanaume ambaye ameshataliki au mkewe bahati mbaya amefariki lakini sio na ukimwi na ikiwezekana awe na mtoto mmoja tuishi pamoja na kulea watoto wetu kwa upendo na amani tele. Kama uko interested na uko serious kwani sihitaji uhusiano wa kupita nahitaji strong relationship nimezunguka zunguka sasa nahitaji kutulia. waweza wasiliana na mimi kwa kupitia matyshirima@gmali.com Pls NOTE. Mwanaume suruali simtaki nahitaji mwenye kazi yake yakueleweka tuweze kusaidiana kimaisha.
 
. Kama uko interested na uko serious kwani sihitaji uhusiano wa kupita nahitaji strong relationship nimezunguka zunguka sasa nahitaji kutulia. waweza wasiliana na mimi kwa kupitia matyshirima@gmali.com Pls NOTE. Mwanaume suruali simtaki nahitaji mwenye kazi yake yakueleweka tuweze kusaidiana kimaisha.

Pole sana Dada!!! Mhhh Lakini hiyo haijatulia; Isije ikawa yale ya Kunguru afugiki?????? apia.
 
Wadau mimi sijui nijiite mdada au mmama, nina miaka 30 na nina mtoto mmoja ana miaka tisa. Nina kazi yangu nzuri kiasi inakidhi my basic needs including food, clothes and shelter.
Nimekaa najisikia mpweke nahitaji mwanaume ambaye ameshataliki au mkewe bahati mbaya amefariki lakini sio na ukimwi na ikiwezekana awe na mtoto mmoja tuishi pamoja na kulea watoto wetu kwa upendo na amani tele. Kama uko interested na uko serious kwani sihitaji uhusiano wa kupita nahitaji strong relationship nimezunguka zunguka sasa nahitaji kutulia. waweza wasiliana na mimi kwa kupitia matyshirima@gmali.com Pls NOTE. Mwanaume suruali simtaki nahitaji mwenye kazi yake yakueleweka tuweze kusaidiana kimaisha.

...sifa zote ninazo isipokuwa hapo kwenye rangi.......utanisaidia vipi sasa?
 
Una ceiling ya umri na je kama utaulizwa vitu gani viwili vya kuvutia ulivyonavyo (au hata kimoja tu) ili mtu yeyote mwenye kutaka kukuoa aone anachelewa kufanya hivyo utajibu ni vitu gani hivyo?
 
usiumize kichwa na maswali ya wahanga wewe muhimu umetoa concact interested persons watakutafuta mtakaa mpnage na mpangue.
ila tafadhali uwe makini na mwerevu kwa wepesi zaidi, more to come be attention.
 
Nimekupata...na mimi ni mjane wa kiume..kwa miaka mitatu sasa...nimesha achana na wanawake watatu sababu kuu wameshindwa kunilelea watoto wangu watatu ambao bond yangu na yao ni strong kiasi kwamba ni ngumu kwa mtu yeyote kunishawishi vinginevyo kuhusu wao.....yaani nikihisi unawazushia au hamuelewani ,mimi na wewe ndio basi..ila kama kwa ishu yako kama tutafika pazuri ni muhimu kwanza kupima manake na wewe umeruka ruka sana.Watoto wawili ndio nakaa nao,wanasoma shule nzuri hawana tatizo..ila mmoja yupo shule nje ya nchi
 
Nimekupata...na mimi ni mjane wa kiume..kwa miaka mitatu sasa...nimesha achana na wanawake watatu sababu kuu wameshindwa kunilelea watoto wangu watatu ambao bond yangu na yao ni strong kiasi kwamba ni ngumu kwa mtu yeyote kunishawishi vinginevyo kuhusu wao.....yaani nikihisi unawazushia au hamuelewani ,mimi na wewe ndio basi..ila kama kwa ishu yako kama tutafika pazuri ni muhimu kwanza kupima manake na wewe umeruka ruka sana.Watoto wawili ndio nakaa nao,wanasoma shule nzuri hawana tatizo..ila mmoja yupo shule nje ya nchi
Jaribu bahati yako!
 
Nimekupata...na mimi ni mjane wa kiume..kwa miaka mitatu sasa...nimesha achana na wanawake watatu sababu kuu wameshindwa kunilelea watoto wangu watatu ambao bond yangu na yao ni strong kiasi kwamba ni ngumu kwa mtu yeyote kunishawishi vinginevyo kuhusu wao.....yaani nikihisi unawazushia au hamuelewani ,mimi na wewe ndio basi..ila kama kwa ishu yako kama tutafika pazuri ni muhimu kwanza kupima manake na wewe umeruka ruka sana.Watoto wawili ndio nakaa nao,wanasoma shule nzuri hawana tatizo..ila mmoja yupo shule nje ya nchi

Ucjali kuhusu kupima. na kuhusu kuzunguka nikikwambia kuwa nilikuwa na baba wa mtoto tu sijawahi kuwa na mwingine huo utakuwa uongo mtakatifu. Kwani hata wewe umetaja hao watatu tu hatujui umepitia wengine wangapi inawezekana hata umenizidi kidogo. Ila hamna shida nitafute kwenye email yangu tulonge zaidi
 
Back
Top Bottom