Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
Wadau mimi sijui nijiite mdada au mmama, nina miaka 30 na nina mtoto mmoja ana miaka tisa. Nina kazi yangu nzuri kiasi inakidhi my basic needs including food, clothes and shelter.
Nimekaa najisikia mpweke nahitaji mwanaume ambaye ameshataliki au mkewe bahati mbaya amefariki lakini sio na ukimwi na ikiwezekana awe na mtoto mmoja tuishi pamoja na kulea watoto wetu kwa upendo na amani tele. Kama uko interested na uko serious kwani sihitaji uhusiano wa kupita nahitaji strong relationship nimezunguka zunguka sasa nahitaji kutulia. waweza wasiliana na mimi kwa kupitia matyshirima@gmali.com Pls NOTE. Mwanaume suruali simtaki nahitaji mwenye kazi yake yakueleweka tuweze kusaidiana kimaisha.
Nimekaa najisikia mpweke nahitaji mwanaume ambaye ameshataliki au mkewe bahati mbaya amefariki lakini sio na ukimwi na ikiwezekana awe na mtoto mmoja tuishi pamoja na kulea watoto wetu kwa upendo na amani tele. Kama uko interested na uko serious kwani sihitaji uhusiano wa kupita nahitaji strong relationship nimezunguka zunguka sasa nahitaji kutulia. waweza wasiliana na mimi kwa kupitia matyshirima@gmali.com Pls NOTE. Mwanaume suruali simtaki nahitaji mwenye kazi yake yakueleweka tuweze kusaidiana kimaisha.