Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
Nina rafiki yangu jana jioni aliniita na kuniomba ushauri sasa nimeshindwa hata cha kumshauri kwani sina uhakika, ndio maana nimeamua kulileta hapa kwenu mnisaidie mawazo.
Huyu dada anadai kazini kwao alikutana na mkaka siku moja wakati wa lunch yaani ile kumuona tu akatokea kumpenda ghafla mpaka akajishangaa kwani (hata mimi najua hilo) yy anapenda sana wanaume mahandisamu halafu weupe yaani akiwaona hao moyo wake huwa unashindwa kufanya kazi kabisa. Lakini akashangaa anampenda huyo kaka kwani si mbaya ila sio type ya wale anaozingukaga nao halafu ni black lakini akavutiwa nae sana ikabidi awe anaenda kula ile sehemu kila mara ili awe anamuona tu na akaniambia alikuwa hata anasali kuomba mungu huyo kaka itokee siku amtongoze na anatamani hata ikiwezekana awe mumewe lakini haikuwa hivyo ila huwa wanapeana hi ya juu juu wakikutana. Siku zikawa zinaenda tu mpaka ikakatika miezi sita. Wiki iliyopita yule mkaka akaanza kumzoea zoea taratibu wakikutana anamisimamisha anamuuliza hili na lile wakaanza kuzoeana taratibu ila si kiviile, sasa anasema juzi yule kaka akamuomba amtembelee ofisini kwake, yule dada akaenda wakapigapiga stori yule kaka akamwambia nilikuwa natamani kuzungumza na wewe toka siku nyingi ila ulikuwa uko serious sana mpka nikawa nakuogopa, hata kukwambia uje ofisini kwangu leo niliamua kujitosa tu nashukuru umekuja wakabidilishana mawazo baadae yule kaka akamsindikiza yule mdada mpaka maeneo ya kwao na wamepanga wakutane jmosi. Sasa akawa ananiuliza hivi inawezekana wakawa wanapendana kiukweli cause kwa maelezo yake inaonyesha yule dada alikuwa anamzimikia mshikaji na mshkaji alikuwa anamzimia demu ila kila mtu alikuwa anashindwa kumwambia mwenzie ila anasema kilichomshtua jamaa kamwambia hiyo jmosi wakutane kwake (kwa jamaa) ndio akaja kuniuliza je aende isije kuwa mshkaji anataka tu kummega na yeye hata kama anampenda hayuko tayari kumegana nae halafu yaishe yaani kama hana msimamo ni bora yaishe. So naombeni mauzoefu yenu wandugu labda kuna wengine ilishawahi kuwatokea hii na ikawaje
nategemea ushauri mzuri wapendwa na si madongo
Huyu dada anadai kazini kwao alikutana na mkaka siku moja wakati wa lunch yaani ile kumuona tu akatokea kumpenda ghafla mpaka akajishangaa kwani (hata mimi najua hilo) yy anapenda sana wanaume mahandisamu halafu weupe yaani akiwaona hao moyo wake huwa unashindwa kufanya kazi kabisa. Lakini akashangaa anampenda huyo kaka kwani si mbaya ila sio type ya wale anaozingukaga nao halafu ni black lakini akavutiwa nae sana ikabidi awe anaenda kula ile sehemu kila mara ili awe anamuona tu na akaniambia alikuwa hata anasali kuomba mungu huyo kaka itokee siku amtongoze na anatamani hata ikiwezekana awe mumewe lakini haikuwa hivyo ila huwa wanapeana hi ya juu juu wakikutana. Siku zikawa zinaenda tu mpaka ikakatika miezi sita. Wiki iliyopita yule mkaka akaanza kumzoea zoea taratibu wakikutana anamisimamisha anamuuliza hili na lile wakaanza kuzoeana taratibu ila si kiviile, sasa anasema juzi yule kaka akamuomba amtembelee ofisini kwake, yule dada akaenda wakapigapiga stori yule kaka akamwambia nilikuwa natamani kuzungumza na wewe toka siku nyingi ila ulikuwa uko serious sana mpka nikawa nakuogopa, hata kukwambia uje ofisini kwangu leo niliamua kujitosa tu nashukuru umekuja wakabidilishana mawazo baadae yule kaka akamsindikiza yule mdada mpaka maeneo ya kwao na wamepanga wakutane jmosi. Sasa akawa ananiuliza hivi inawezekana wakawa wanapendana kiukweli cause kwa maelezo yake inaonyesha yule dada alikuwa anamzimikia mshikaji na mshkaji alikuwa anamzimia demu ila kila mtu alikuwa anashindwa kumwambia mwenzie ila anasema kilichomshtua jamaa kamwambia hiyo jmosi wakutane kwake (kwa jamaa) ndio akaja kuniuliza je aende isije kuwa mshkaji anataka tu kummega na yeye hata kama anampenda hayuko tayari kumegana nae halafu yaishe yaani kama hana msimamo ni bora yaishe. So naombeni mauzoefu yenu wandugu labda kuna wengine ilishawahi kuwatokea hii na ikawaje
nategemea ushauri mzuri wapendwa na si madongo