Habari za Kazi,
Mimi ni mwanaume mwenye umri 40+. Natafuta Mchumba baadae aje kuwa mke, nahitaji sana watoto kwa sasa.
Tafadhali naomba binti ambaye yuko tayari kuwa na mimi aje PM, umri usizidi 38, awe mcha Mungu kiasi au sana ni sawa tu, awe mfanyakazi na awe tayari kuja kuishi Dar kama...
Katika pitapita zangu kwa maeneo tofauti niliwahi kukutana na hii shutuma kuwa Wazazi wamekua chanzo kikubwa Cha ndoa za Watoto wao kuvunjika.
1. Je sababu zinaweza kuwa Nini?
2. Je kama mnapendana kwa dhati 3.Wazazi wanaweza kuwa na nafasi?
4. Nini nafasi ya maandiko matakatifu kuhusu Ndoa...
Anatupa fursa halafu tushindwe kuitumia? Mimi jamaa yangu alimuambia mukewe kuwa hataki House girl ni kuongeza tu cost, muwife ikashupaza shingo, akaleta muhousegirl mzuri sana.
Alikuja kumuondosha baada ya kuwafumania kitandani kwake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.