Habari JF,
Mara nyingi humu ndani mtu akiandika kitu anaonekana hayuko serious, Juzi nimeweka Uzi apa nimesema kuwa nahitaji mchumba lkn watu wakatania tania tuu sikupata hata mumoja,
Kuna mumoja nikajaribu kumfata Pm nikamwomba tuwe marafiki tuu lkn hatujafika popote anadai kuwa yeye ni...
Natafuta mchumba ambae, anaye elewa maisha mvumilivu kwa kila Hali, mwenye hofu ya Mungu, mchapakazi ili tukiwa pamoja tujenge si sio kuvurugana.
Umri wake 25-29
Nipo Kilimanjaro Moshi mjini,
Nichek pm tuongee vizuri
Habari Za Leo Ndugu Zangu.
Mimi ni Mwanaume
Natafuta MCHUMBA Ambaye baadaye Tunaweza Kuwa Mume na Mke.
SIFA ZANGU.
1. Elimu Chuo
2. Umri Miaka 28
3. Nimeajiriwa
SIFA ZA MCHUMBA
1. Awe Anajitambua
2. Mkristo
3.Umri Asizidi Miaka 35
4. Elimu Yoyote Aliyonayo.
#MUNGU AWABARIKI.
Mimi ni kijana wa miaka 30, mkristo, naishi Dar es Salaam, ni mwajiriwa wa sekta binafsi nahitaji mwenza wa maisha ikiwa heri tuishi pamoja.
Sifa za mwenzi ninayemtaka
1. Awe na umri kuanzia miaka 25 na kuendelea.
2. Dini yoyote ila akiwa mkristo itapendeza zaidi.
3. Ajitegemee kiuchumi na awe...
Awe muislamu
Umri 20-30
Hajawahi kuolewa
kama ana mtoto asizidi mmoja
kabila lolote lile.
Elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea.
Sifa zangu
Umri 33
Mtumishi serikalini
Sijawahi kuoa
Mengine mengi tutajuzana PM
ALIYE INTERESTED ANICHEK PM,tukimatch tufunge Ndoa before mwezi wa sita mwaka huu...
Naitwa Abuubakari mkazi wa Dar es salaam
Nmeajiliwa
Natafuta mchumba ambae nitafunga nae ndoa,
Sifa awe na Umri kuanzia 20-28
Muislam
Mawasiliano zaidi 0759565300
Kama heading inavyosema mimi ni mwanume aged 30 ni mwembamba mrefu na mweusi nimeajiriwa private company.
Ninatafuta mwanamke aged 20 mpaka 35 awe na kazi au biashara nipo bagamoyo serious one hit my pm
NB serious relationship kuelekea ndoa
Habari za Kazi,
Mimi ni mwanaume mwenye umri 40+. Natafuta Mchumba baadae aje kuwa mke, nahitaji sana watoto kwa sasa.
Tafadhali naomba binti ambaye yuko tayari kuwa na mimi aje PM, umri usizidi 38, awe mcha Mungu kiasi au sana ni sawa tu, awe mfanyakazi na awe tayari kuja kuishi Dar kama...
Habari za wakati huu wakuu,
Mimi najitokeza kutafuta mchumba (binti) mwenye asili ya Mishamo, Katumba au Ulyankulu.
SIFA ZAKE
★ Umri 20-26.
★Awe mweupe kiasi (asiwe mweusi wala mweupe sana).
★Awe mrefu kiasi (asiwe mrefu sana wala mfupi sana).
★Awe na mwili wa kawaida, asiwe mnene sana
★Awe...
Hello! Mimi Ni kijana mtanzania Elimu shahada ya kwanza katika sayansi (Kemia) umri Miaka 28 nimejiajiri.
NATAFUTA mwanamke ambae atakua mchumba na Kisha kuwa mke.. dini awe mkristo na mcha Mungu.
Elimu angalau awe diploma..
Awe tayari kuishi mkoani Mbeya... asiwe na mtoto.... awe...
Naitwa Alex, Elimu yangu ni Degree pia ni mwajiriwa natafuta Mchumba yaani mwanamke wa kuoa.
SIFA
Awe na elimu kuanzia Diploma na kuendelea.
Awe mweupe au maji ya kunde.
Asiye kunywa pombe.
Awe mwenye hofu na Mungu.
Awe hajazaa na Kama amezaa asiwe na zaidi ya mtoto mmoja.
Awe mrefu au mfupi Ni...
Mimi ni mwanaume umri wangu ni miaka 27, natafte mwanamke ambaye ni mcha Mungu seriously na ameokoka, akiwa wa miaka 20-24 itapendeza sana. Kwa sasa nipo ruvuma ila nyumbani ni moshi. Naomba tukutane PM
Mimi ni Mwanaume miaka 28 mkazi wa Dar es Salaam natafuta mchumba
Mimi ni mtumishi wa serikali, mwanamke awe mkazi wa Dar umri 25 kushuka chini asiwe na mtoto elimu yake kidato cha nne na kuendelea awe mkristo
Awe mweusi,mweupe vyovyote ...
Awe mchangamfu [emoji1]
Karibu PM kama uko interested
Assalamu alaykum Wana jamiiforums
Bila kupoteza muda, baada ya kupitia mengi katika maisha ya uhusiano sasa naona ni muda muafaka kwangu kurudi katika maisha ya kutafuta mke.
Sifa.
1. Asiwe katika mahusiano
2. Dini: Awe muislamu, mchamungu, mwenye kuvaa hijab ya kisheria na mfanya ibada.
3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.