Inakaribia sasa wiki sasa bila taarifa kwa wateja channel za Upendo na Joy Tv zimeondolewa king'amuzi cha Azam.
Hii imetokana na nini? Anayejua atujuze tafadhali maana hiyo ilikuwa sababu mojawapo ya kununua king'amuzi hicho.
Kama vipi tujue la kufanya.
Ukifuatilia mkanganyiko uliopo sasa kwenye fani ya udereva haswa mafunzo na usimamizi wa leseni unabaki unajiuliza maswali mengi sana. Mfano.
1. Kwa sasa mamlaka inayotoa leseni ( issuing authority) ni Tanzania Revenue Authority- TRA. Lakini anayependekeza madaraja ni Polisi ( vehicles...
Sio wengi wametafakari maana ya muafaka uliofikiwa na huu msemo wa "siasa za kistaarabu" kama wanavyounadi viongozi wakuu wa vyama vya siasa.
Kwa upande wa CCM nawaona haswa wabunge, madiwani na makada wao (haswa UVCCM na UWT) wakipata taabu kwani wamezoea siasa za kejeli, kununua wapinzani nk...
Kwa jinsi mambo yalivyoanza, mianya ya uharibifu ni mingi sana. Hebu twende pamoja.
1. DAY CARE CENTRES.
Hivi kweli kuna muongozo wowote wa uanzishwaji wake, ukaguzi wa hayo majengo kuona kama ni salama kwa mtoto?
Waalimu wake wanajulikana elimu zao? Maadili je?
Hivi kesho pakitokea vitendo vya...
Kujadili hoja yangu nitajikita kwenye maeneo haya:
1. Mafunzo ya udereva
Hivi kweli tunaweza kusema kuna mafunzo ya udereva hapa chini?
Je, tuna mtaala (sylubus) ya mafunzo ya awali ya udereva?
Je, tuna mafunzo ya waalimu wa shule za udereva?
Nani anaangalia umahiri wao?
Wanafunzi wanakaa muda...
Imekuwa sasa ni kama kawaida nchi zetu kila kiongozi anapoingia madakani kuunda serikali ya ukubwa anaoutaka na kila mwaka kuongeza bajeti anavyotaka kwa kisingizio cha kuhudumia wananchi.
1. Hivi haiwekekani kuwepo na ukubwa wa serikali ( idadi ya wizara) kikatiba?
2. Idadi ya watumishi ( japo...
Nimelifuatilia gonjwa hili, dalili na nini kifanyike.
Kwa upande wa tahadhari hapo naona serikali, taasisi zake, mashirika binafsi na watu kwa ujumla hawajafanya vya kutosha. Hebu tuangalie maisha yetu ya kawaida yalivyo hatarini.
1. MAOFISINI.
Mtu ungetegemea uone tahadhari za kueleweka haswa...
Salam wana JF
Nimekuwa nikiugulia maumivu ya makato ya mtandao wa voda ambayo yanepanda kimya kimya na sijui kama ni kwa bsraka za tume ya maeasiliano au tunalipia zile faini walizotozwa.
Mfano
KUTOA.
KIASI GHARAMA
400,000 ..7,000
250,000 ..5,300
800,000 ..8,000
600,000 ..8,000
1,000,000 ..8,000...
Katika mkakati mzuri wa sera ya viwanda ya awamu ya tano lipo jambo ambalo naliona muhimu lakini halipewi umuhimu unaostahili.
Nchi inaweza kuzalisha na kuuza bidhaa zake sehemu nyingi duniani ila hazitambuliki kwa kukosa utambulisho.
Wafanyabiashara wengi wa nchi jirani wananunua bidhaa...
Ninaliona tatizo kubwa la kimawasiliano kati ya mbunge jimboni na mbunge bungeni.
1. Hebu jiulize, mmbunge wako wmamewahi kufanya mikutano mingapi jimboni kusikiliza kero za wananchi? Na je, aliziwakilisha kunakohusika na kuleta mrejesho?
2. Mbunge wako amechangia hoja mara ngapi bungeni...
Nimepata bahati ya kutembelea ofisi mbalimbali za serikali kwa shughuli mbalimbali na pia maeneo ambapo serikali inapata huduma.
Cha kushangaza sana ni kiwango cha uharibu wa mali za umma na zinaachwa kuoza bila matengenezo au kuuzwa kabla hazijaharibika zaidi.
MAGARI.
Pita karakana za...
French President Emmanuel Macron said: *"With a family that has seven, eight children in Africa, even if you invest billions, nothing will change, because the challenge of Africa is civilizational".* The Guinean sociologist Amadou Douno, a professor at the Ahmadou-Dieng University of Conakry...
Amani kwenu
Natafuta supplier wa simple school management software yenye user friendly manus kwa bei poa sana.
Sitaki dalali
Mwenye nayo anitext whatup
0755556600
Sent using Jamii Forums mobile app
Amani kwa wote.
Natafuta kununua pikipiki used ya honda 110 kawaida au ikiwezekana ile yenye special gear. Dar au moshi/Arusha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawapongeza waliobuni miundombinu hii na kwa wale walioufuatilia, nimeleta uzi huu tuwashauri SUMATRA na TRA kwa ajili ya kuuboresha zaidi.
Ushauri wangu baada ya kuusikiliza kwenye TV;
1. Mfumo uwe shirikishi - wenye mabasi/mameneja walioidhinishwa waweze kuingia na kuhuisha taarifa muhimu...
Nalisalim jukwaa la JF,
Ukisikiliza hotuba na kauli mbalimbali za Rais wetu JPM zinaonyesha wazi kuwa dhamira yake ni njema na ni kuwasaidia watanzania wanyonge ili waondokane na umaskini walio nao. Lakini kinachonisononesha pia ni kauli mbalimbali za viongozi waandamizi wa serikali wanazotoa na...
Salam Zangu kwa WanaJamvi Wote,
Nimefuatilia mjadala wa Wanafunzi wa UDOM na maelezo kuwa hawakuwa na sifa wengine.
Sasa hapa nina chuo Kikuu Kimeshamwaga degree mtaani na hakina Mwalimu (kusema Profesa), hakina muundo wa uongozi (kusema structure, vikao, systems) na kinatoa degree 2 tu...
Natafuta gari la kununua (Dar)
Engine isizidi cc 2,000,
Liwe kwenye hali nzuri,
Makes ninazopendelea ni
Toyota, Suzuki,
Budget yangu ni 4m
Sipendelei saloon cars.
Nipe offer yako na picha ukitaja specs zake kwenye pm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.