Search results

  1. Rejao

    Faida za kuwa mtoto wa Kigogo!

    Hello wana Chit chat, Nipo mapumzikoni na nimeona nipumzike kidogo na nipo kistarehe zaidi. Nafikiri hapa ndipo kwenye jukwaa halisi la kupata burudani ya kila aina. Nilikuwa nafikiria kwa sauti faida mtu anazipata akiwa mtoto wa kigogo. Aisee nimeshangaa najifurahia mwenyewe! Mzazi wako...
  2. Rejao

    Majirani...

    Nimekuwa nikijaribu kufikiria maisha ya nyuma niliyoyaishi na ya sasa na naona kama kwa sasa nipo kwenye ulimwengu tofauti kabisa. Nimezaliwa na kukulia katika mazingira ya kawaida, ambapo nilikuwa na interactions sana na majirani. Nilikuwa nikicheza, kula na hata siku nyingine kulala kwa...
  3. Rejao

    Happy Birthday Cantalisia!!

    Cantalisia, you look more beautiful today than the day I first met you. My love for you grows and grows with each passing year. Growing old with you is one of my favorite things to do. Every year with you is sweeter than the last. I am so lucky to have a wife like you. Happy Birthday Honey...
  4. Rejao

    Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni

    Kwa taarifa tulizonazo na wanachi wengi wanavyofahamu, tayari hili gari V8 limekwisharudishwa na Mh. Freeman Mbowe. Lakini cha kushangaza bado huyu mkuu analitumia. Nashindwa kuwaelewa hawa CDM, kelele zote wanazopiga ni kutuhadaa tu wananchi? Kama kwa hili dogo huyu Mh. kashindwa kulitekeleza...
  5. Rejao

    Nitoke vipi baada ya ban!

    Devi kamwona mwenzie waliesoma nae siku nyingi akiwa amejiinamia kwa masikitiko kwenye baa. Akamsogelea, Devi: Aise Abuu, habari za siku nyingi? Abuu: Safi japo si safi sana, nina mawazo sana, maisha yamekuwa magumu sana ndugu yangu. Devi: Nini tatizo unaonekana uko hovyo sana Abuu: Niko...
  6. Rejao

    Sherehe za miaka 48 ya Muungano 2012

    Karibuni ndugu zangu tusheherekee miaka 48 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika uwanja wa Uhuru Dar es Salaam
  7. Rejao

    Kibonzo cha siasa!!

    Mtu akiwa ndani ya CCM anaonekana Fisadi.... Mtu huyo huyo anayeonekana Fisadi akiwa ndani ya CCM akihamia CDM anaonekana msafi... :bange::A S-coffee::A S-confused1:
  8. Rejao

    Mvua Dar es Salaam

    Kuna mvua kubwa inaendelea kunyesha hapa jijini... Wataalamu tujuzeni kunani cuz hizi radi zinaweza kutuangusha tulio magorofani...
  9. Rejao

    Next Generation...

    Have your say...
  10. Rejao

    Ngwabi wa kandiaku menyuki!

    Ndwete maka zawenau! Mimi atojina nyekwe ronying'anyaki! deeps ni muhimu kwa lihi! Niburika udawa!
  11. Rejao

    Indian Brains

    Japanese : Impossible! American : The question ' s all wrong! British : It ' s not found on the Internet And the Indian: F(IV)E This is the reason Indians are everywhere in the world: in finance, business, medicine, engineering.... anything to do with using both sides of the brain.
  12. Rejao

    Nimeipenda hii...Samahani ikikukwaza!!!

    A christian guy asked a muslim guy: 'Why do your females cover up their body and hair?'The muslim guy smiled and took out 2 sweets, he opened one and kept the other one wrapped. He threw them both on the dusty floor and asked the christian: 'Now if I ask you to take one of these sweets which one...
  13. Rejao

    Nimeipenda hii joke...Samahani ikikukwaza!!!

    A christian guy asked a muslim guy: 'Why do your females cover up their body and hair?'The muslim guy smiled and took out 2 sweets, he opened one and kept the other one wrapped. He threw them both on the dusty floor and asked the christian: 'Now if I ask you to take one of these sweets which one...
  14. Rejao

    Tunaoenda Moshi leo Tar 24

    Tuko blocked karibu na Mlandizi. Kuna foleni ya kufa mtu. Hatujui kama ni Ajali au nini. Kuna foleni ya gari ndogo zaidi ya kilometa 2
  15. Rejao

    Mzee David Mosha wa INTERCONSULT afariki kwa ajali

    kuna Taarifa kuwa David Mosha aliyekuwa mkurugenzi wa Inter consult amefariki dunia kwa ajali leo mchana
  16. Rejao

    Mtihani Darasa la Saba

    Nawatakia Mtihani mwema.. Nakumbuka miaka hiyo furaha niliyokuwa naiwazia baada ya kumaliza shule ya msingi. Wishing You All The Best!
  17. Rejao

    Maana ya neno "MASABURI"

    Kuna msamiati ambao umepanda chati sana hapa JamiiForum. Inanitatiza kujua maana yake... most of the comments watu wanatumia hili neno! Hivi lina maana gani? Naombeni kujua ili tuwe tunaenda wote sambamba.
  18. Rejao

    GBP Sinza hapafai

    Napita maeneo ya sinza na kuna kituo kimoja tu cha mafuta ndicho kinaonekana kuuza mafuta! Foleni ni kubwa sana, gari hazitembei! Trafiki mko wapi? Hali hapa GBP ni mbaya
  19. Rejao

    Jamani Pandeni Dala dala...kuna raha yake

    Jana mida ya jioni nilipanda dala dala kutoka maeneo ya Mwenge nikielekea Mbagala. Kama tunavyojua, kuna umbali mrefu kati ya maeneo haya! Nimezoea kuona Shutuma nyingi sana dhidi ya serikali hapa jamvini lakini hizi zilikuwa kiboko! Hapa jamvini watu tumekuwa tukiilaumu serikali na maisha...
  20. Rejao

    Mh. Zitto vs Mh. Mbilinyi mmmh!

    Nimekuwa nikisiliza Radio Clouds fm. Kwa takribani wiki mbili sasa kumekuwa na Tangazo ambapo inasikika sauti ya Mh. Zitto Kabwe akihamasisha wananchi washiriki kwa wingi katika Fiesta. Wiki chache zilizopita, tulisikia kutoka kwa Mh. Mbilinyi akipinga vikali uwepo wa Fiesta na hata kufikia...
Back
Top Bottom