Hello wana Chit chat,
Nipo mapumzikoni na nimeona nipumzike kidogo na nipo kistarehe zaidi. Nafikiri hapa ndipo kwenye jukwaa halisi la kupata burudani ya kila aina.
Nilikuwa nafikiria kwa sauti faida mtu anazipata akiwa mtoto wa kigogo. Aisee nimeshangaa najifurahia mwenyewe! Mzazi wako...
Nimekuwa nikijaribu kufikiria maisha ya nyuma niliyoyaishi na ya sasa na naona kama kwa sasa nipo kwenye ulimwengu tofauti kabisa. Nimezaliwa na kukulia katika mazingira ya kawaida, ambapo nilikuwa na interactions sana na majirani. Nilikuwa nikicheza, kula na hata siku nyingine kulala kwa...
Cantalisia, you look more beautiful today than the day I first met you. My love for you grows and grows with each passing year. Growing old with you is one of my favorite things to do. Every year with you is sweeter than the last. I am so lucky to have a wife like you.
Happy Birthday Honey...
Kwa taarifa tulizonazo na wanachi wengi wanavyofahamu, tayari hili gari V8 limekwisharudishwa na Mh. Freeman Mbowe. Lakini cha kushangaza bado huyu mkuu analitumia.
Nashindwa kuwaelewa hawa CDM, kelele zote wanazopiga ni kutuhadaa tu wananchi? Kama kwa hili dogo huyu Mh. kashindwa kulitekeleza...
Devi kamwona mwenzie waliesoma nae siku nyingi akiwa amejiinamia kwa masikitiko kwenye baa. Akamsogelea,
Devi: Aise Abuu, habari za siku nyingi?
Abuu: Safi japo si safi sana, nina mawazo sana, maisha yamekuwa magumu sana ndugu yangu.
Devi: Nini tatizo unaonekana uko hovyo sana
Abuu: Niko...
Mtu akiwa ndani ya CCM anaonekana Fisadi....
Mtu huyo huyo anayeonekana Fisadi akiwa ndani ya CCM akihamia CDM anaonekana msafi...
:bange::A S-coffee::A S-confused1:
Japanese : Impossible!
American : The question ' s all wrong!
British : It ' s not found on the Internet
And the Indian: F(IV)E
This is the reason Indians are everywhere in the world: in finance, business, medicine, engineering.... anything to do with using both sides of the brain.
A christian guy asked a muslim guy: 'Why do your females cover up their body and hair?'The muslim guy smiled and took out 2 sweets, he opened one and kept the other one wrapped. He threw them both on the dusty floor and asked the christian: 'Now if I ask you to take one of these sweets which one...
A christian guy asked a muslim guy: 'Why do your females cover up their body and hair?'The muslim guy smiled and took out 2 sweets, he opened one and kept the other one wrapped. He threw them both on the dusty floor and asked the christian: 'Now if I ask you to take one of these sweets which one...
Kuna msamiati ambao umepanda chati sana hapa JamiiForum.
Inanitatiza kujua maana yake... most of the comments watu wanatumia hili neno!
Hivi lina maana gani? Naombeni kujua ili tuwe tunaenda wote sambamba.
Napita maeneo ya sinza na kuna kituo kimoja tu cha mafuta ndicho kinaonekana kuuza mafuta!
Foleni ni kubwa sana, gari hazitembei! Trafiki mko wapi?
Hali hapa GBP ni mbaya
Jana mida ya jioni nilipanda dala dala kutoka maeneo ya Mwenge nikielekea Mbagala. Kama tunavyojua, kuna umbali mrefu kati ya maeneo haya!
Nimezoea kuona Shutuma nyingi sana dhidi ya serikali hapa jamvini lakini hizi zilikuwa kiboko!
Hapa jamvini watu tumekuwa tukiilaumu serikali na maisha...
Nimekuwa nikisiliza Radio Clouds fm. Kwa takribani wiki mbili sasa kumekuwa na Tangazo ambapo inasikika sauti ya Mh. Zitto Kabwe akihamasisha wananchi washiriki kwa wingi katika Fiesta.
Wiki chache zilizopita, tulisikia kutoka kwa Mh. Mbilinyi akipinga vikali uwepo wa Fiesta na hata kufikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.