Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
Jana mida ya jioni nilipanda dala dala kutoka maeneo ya Mwenge nikielekea Mbagala. Kama tunavyojua, kuna umbali mrefu kati ya maeneo haya!
Nimezoea kuona Shutuma nyingi sana dhidi ya serikali hapa jamvini lakini hizi zilikuwa kiboko!
Hapa jamvini watu tumekuwa tukiilaumu serikali na maisha magumu kwa mtanzania lakini kwa niliyoyaona jana nimegundua kuwa watu wengi hapa tuna fake! Haturepresent true picture ya hali halisi! Mtu utasemaje una maisha magumu wakati una uwezo wa kutumia Internet kukoment hapa JF 24/7?
Kwenye dala dala walikuwa real, na walichoongea kilikuwa na mguso wa aina yake!
Nawashauri pandeni dala dala mkitaka kujua mengi! Ilinigarimu tu 500 kutoka Mwenge mpaka Mbagala
Nimezoea kuona Shutuma nyingi sana dhidi ya serikali hapa jamvini lakini hizi zilikuwa kiboko!
Hapa jamvini watu tumekuwa tukiilaumu serikali na maisha magumu kwa mtanzania lakini kwa niliyoyaona jana nimegundua kuwa watu wengi hapa tuna fake! Haturepresent true picture ya hali halisi! Mtu utasemaje una maisha magumu wakati una uwezo wa kutumia Internet kukoment hapa JF 24/7?
Kwenye dala dala walikuwa real, na walichoongea kilikuwa na mguso wa aina yake!
Nawashauri pandeni dala dala mkitaka kujua mengi! Ilinigarimu tu 500 kutoka Mwenge mpaka Mbagala