Tunaoenda Moshi leo Tar 24

Tunaoenda Moshi leo Tar 24

Rejao

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2010
Posts
9,219
Reaction score
4,087
Tuko blocked karibu na Mlandizi. Kuna foleni ya kufa mtu. Hatujui kama ni Ajali au nini. Kuna foleni ya gari ndogo zaidi ya kilometa 2
 
Asante kwa taarifa mkuu....ndo najiandaa nikapande dar xpress...expecting more updates!
 
Asante kwa taarifa mkuu....ndo najiandaa nikapande dar xpress...expecting more updates!
Bado hatujafanikiwa kuondoka. Foleni ni kubwa sana. Gari ndogo ni nyingi sana.
 
Tuko blocked karibu na Mlandizi. Kuna foleni ya kufa mtu. Hatujui kama ni Ajali au nini. Kuna foleni ya gari ndogo zaidi ya kilometa 2
Poleni sana nyooote mlio kwenye hiyo adha ya foleni. Kwa hizi foleni, Watz. aghalab zimekuwa kama ndio jadi yetu. Unaweza kukuta pengine ni uzembe wa dereva mmoja au wawili unasababisha foleni zisizo za lazima.
 
Nimefanikiwa kupita Mlandizi ila ni baada ya jitihada za kutanulia mashambani mwa watu. Tupo kama 3k kutoka Ruvu nako tumekwama kwa zaidi ya dk 20 now
 
[iQUOTE=Rejao;3022547]Tuko blocked karibu na Mlandizi. Kuna foleni ya kufa mtu. Hatujui kama ni Ajali au nini. Kuna foleni ya gari
ndogo zaidi ya kilometa 2[/QUOTE]
Mkuu vp folen imekwisha.. Bado 2po ubungo mambo ni hovyo hovyo vurugu tupu!
 
Asante kwa taarifa Rejao....tutapambana nayo hivyo hivyo. Mungu atulinde tufike salama.
 
Thx Rejao me nimefanikiwa kufika jana ucku ila kwa tunaoenda na magari yetu binafsi tujaribu kuwa makini sana barabarani tupunguze speed na TAHADHARI uksha pita segera kabla ya kufika korogwe mjini barabara ni mbaya sana kupita kiasi kuna mashimo makubwa sana yaliyopelekea tyre kubust mpaka eneo linaitwa Buiko kwenye kibao cha mpaka wa tanga na kilimanjaro then baada ya hapo eneo la same mpaka mwanga tujihadhari na upepo mkali..NAWATAKIA safari NJEMA karibu saaaana.
 
Thx Rejao me nimefanikiwa kufika jana ucku ila kwa tunaoenda na magari yetu binafsi tujaribu kuwa makini sana barabarani tupunguze speed na TAHADHARI uksha pita segera kabla ya kufika korogwe mjini barabara ni mbaya sana kupita kiasi kuna mashimo makubwa sana yaliyopelekea tyre kubust mpaka eneo linaitwa Buiko kwenye kibao cha mpaka wa tanga na kilimanjaro then baada ya hapo eneo la same mpaka mwanga tujihadhari na upepo mkali..NAWATAKIA safari NJEMA karibu saaaana.

ahsante kwa news updates..
 
Nimefanikiwa kupita Mlandizi ila ni baada ya jitihada za kutanulia mashambani mwa watu. Tupo kama 3k kutoka Ruvu nako tumekwama kwa zaidi ya dk 20 now

ukifika huko kawasalimie..
 
Hiyo mbege mwaka huu mtakunywa ngera tu! Haya, safirini salama. Umang'atini hadi helicopter, ntaenda siku nimekuwa rais wa nji hii!
 
Nimeingia dar toka songea saa 8 usiku.kabla ya ruvu kuna gari limepinduka limeziba njia yote.nilihisi watu watalala ruvu
 
Back
Top Bottom